Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Zaidi ya waziri wenu Msomali wa Kilimo kulia sana mitandaoni hakuna jambo lolote mlichotufanya. Mumekaa kimya.
 
Inaonekana mnajua kwamba sisi ndio superpower wa ukanda huu wa Afrika Mashariki na kati na hakuna jambo lolote mnaloweza kutufanya. Endeleeni kukaa kimya. Na siku nyingine msirudie tena kusema kwamba mnatulisha. Mkome kutoa kauli hiyo.
 
Siku ya tatu hii inaisha na bado hakuna kitu chochote mlichotufanya. Tunangoja kipigo au mnatuogopa?
Sisi tunajua mahali pa kuwafinya hadi mtoe unyende. Nyimbo za "tunawalisha" zimekatika ghafla. Hahaha. Nyinyi mtajua baba yenu ni nani ukanda huu.
Zaidi ya waziri wenu Msomali wa Kilimo kulia sana mitandaoni hakuna jambo lolote mlichotufanya. Mumekaa kimya.
Inaonekana mnajua kwamba sisi ndio superpower wa ukanda huu wa Afrika Mashariki na kati na hakuna jambo lolote mnaloweza kutufanya. Endeleeni kukaa kimya. Na siku nyingine msirudie tena kusema kwamba mnatulisha. Mkome kutoa kauli hiyo.
dawa nzuri sharti iandaliwe vyema.

isiwe kama chanjo ya covid.
subiri kitambo si kingi utajua maana ya ujinga mliofanya.
 
Juzi nimepita ile njia ya Kilwa Road nikaona ule mradi wa BRT wachina wanajenga,
That's purely substandard,
Hivi ile Shekilango alijenga nani? Nilipoiona wakati inajengwa niliiponda kuwa jamaa wanaungaunga tu, ila ilipoisha ndio nikajua wale watu wanajua wanachokifanya. Hata hii kilwa road nilisema jamaa wanaungaunga ila kwa nilichokiona Shekilango baada ya kuisha, naondoka kauli yangu kuwa jamaa wanaungaunga, ikikamilka nitatoa verdict.
Btw ndio njia yangu kila siku, wanafunga jukwaa uhasibu ili wamwage zege la flyover.
 
Hivi ile Shekilango alijenga nani? Nilipoiona wakati inajengwa niliiponda kuwa jamaa wanaungaunga tu, ila ilipoisha ndio nikajua wale watu wanajua wanachokifanya. Hata hii kilwa road nilisema jamaa wanaungaunga ila kwa nilichokiona Shekilango baada ya kuisha, naondoka kauli yangu kuwa jamaa wanaungaunga, ikikamilka nitatoa verdict.
Btw ndio njia yangu kila siku, wanafunga jukwaa uhasibu ili wamwage zege la flyover.
Picha mkuu.
 
56BE416C-11E1-43F8-83E3-84EE94BCD3E1.jpeg
 
hili jambo la aflatoxins kwa mahindi ya Tz na Ug ni ukweli, imekua kwa muda, I knew it in 2018 or 2019 through maize business, mahindi ya Ug na Tz zilikua zikifanyiwa test if u are especially selling kwa maize millars level za aflatoxins zilikua zaidi ya viwango, inabidi uuze kwa masoko ama animal feeds, ilisemekana pia wakulima hawakaushi mahindi vizuri ipasavyo. But naona kama kawaida mnaweka siasa. Inawezekana inaeza kua tactic ya ku protect wakulima wa Rift valley na trans nzoia kwa maana wao ndio wakulima wakubwa wa mahindi na ngano., but sidhani. Nahurumia wakulima na wanabiashara wa Tz., ni pigo!
Ninyi ni watu wa hovyo sana, kamwe hamtoweza kuelewana na jirani yoyote. Kwanini hamfuati taratibu za kutatua migogoro kati ya nchi za EA kama tulivyojiwekea katika EAC?.

Kenya ilipaswa kufuata taratibu zote za kutatua migogoro kwa kuzitaarifa nchi za Tanzania na Uganda kwa maandishi na kutoa "evidences" ili hizo nchi zichukue hatua za kurekebisha hayo mapungufu kabla ya kuzuia hayo mahindi.

Hata Uhuru Kenyatta alikurupuka kuzuia gari na wasafiri toka Somalia na Tanzania wakati wa Corona, Tanzania kupitia mkuu wa mkoa wa Tanga alipozuia Magari toka Kenya kama kulipiza kisasi, mlianza kulialia, tulipopiga marufuku ndege za Kenya kuja Tanzania ndio mkashika adabu, kwanini hamjifunzi kuishi na majirani wenu kwa Amani na kuheshimiana?, Somalia, Uganda, Tanzania, kote huko mnaanzisha migogoro.

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Zanzibar unaeza linganisha na Seychelles kuikweli?, An upper middle income, zero poverty! pengine wanamaanisha beaches na starehe za kipwani, kwingine Zanzibar ni ushuzi 90%., tusidanganyane , Seychelles na Mauritius ziko ligi yao ya juu hapa Africa.
Kwani ni mm niliopiga kura?? Unanilaumu mm waiopiga kura ni hao hao wazungu hususan watalii wanaoijua vyema zanzibar na maritius 🤣🤣🤣🤣 usinilaumu mm na hakuna haja ya kulia sasa
 
yaani viongozi wa kenya ni zeroo kabisa,,,tuendelee kujionea vituko,,,,wamekaa watu wachache mezani kwasababu wana hila na chuki zao binafsi na Tz ,,wakapanga ya kwao wakapata cha kukizusha na kukiibua public ili waaminishe dunia kuwa Tanzania na Uganda kuwa mahindi yetu yana sumu,,
mwisho wa picha mahindi hayo hayo wanayosema kuwa yanasumu yanaruhusiwa kupita border na jamii ya kenya inaendelea kuenjoy msosi.....

mwisho wa siku dunia nzima inasema STUPIDITY KENYAN
 
Back
Top Bottom