Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Anakwambia Kenya inazidi Tz kwa namba ya millionaires hahahahahaaaa, ngoja niweke hapa alafu aje abishe uone source yake, Oya Teargass hebu kuja na source yako to dispute this View attachment 1714925
Endelea kuishi na data za 2019.

tapatalk_1614606795998.jpeg
 
Wewe c ndio unatumia Tecno ya 2015 niliku expose humu ukaniuliza kwani inashida gn? Leo umeanza na wewe kutisha watu kwamba wakitaka kukujua wafike kikuyu unatafuta attention au sio au unabisha nikuripue saizi
Huyo mwenzako ni fala wa kawaida kutoka hapo dar slum....phone ni na mob....unataka type gani nikuazime
 
The whole CBD inafanana hivo doted with three blue buildings
poverty imefukuza wengi kutoka vijijini wanepwleka umasikini wao Dar., 80-90% low life., ni kelele tu za chura hapa., hakuna Eastlands in Dar.,ni full poor ushago kinda life., .,
 
Dar nikiamua kuwatesa humu watanichukia, am not stopping low, kazi yake drones zilimaliza, a poverty stricken city, too obvious ata kwa mgeni., mashambani ndani ya city.
Acha nitafute picha za ground view nilete tucheke pamoja
 
Hebu screenshot tuone, nilishangaa sana kuona unatumia Tecno ya 2015 2G
Mnakam hapa gikomba mkiuza viatu miezi kadha mnaona ni kama mmeomoka mnaanza show-off na sisi....show huyo fala wenu acheze chini sisi tutamficha
 
Back
Top Bottom