Teargass
JF-Expert Member
- Apr 23, 2018
- 26,960
- 27,955
I'm not your mate fool. This is the first and the last time I'm posting my personal life. The only reason I have taken this picture is because you requested for it. Next time if you ask me to show you even my nails I won't show you. View attachment 1714737
Sijasema kitu. View attachment 1714743
Kwamba hata mamba hawezi kuishiKwa mazingira ya vile mamba na hippo hawatoboi
![]()



Hiyo picha imepostiwa kwenye pages nyingi halafu anatudanganya humu kuwa ni yakelabda yey ndo admin wa hio page Freemason Kenya
![]()



Nimemuona kani quote wala sijajisumbua kumjibu mana nmemdharau mpk anatia kinyaaHiyo picha imepostiwa kwenye pages nyingi halafu anatudanganya humu kuwa ni yake![]()





Endelea kufatilia maisha ya watu ambao hata huwajui. That's what idle people doLikizo fupi au sio, naona unatoka kwa muajiri wako unarudi nyumbani kusalimia zen unavuka border unarudi tena![]()
Update: Ikulu Dodoma
Hawa ni wasaka tonge wa 2022Wengine hawa hapa.
View attachment 1714168
We jamaa bado unakazawewe Ni kabila gani mzee
Apa tuliwapiga 3-0
Hehehehee mkiguswa kwenye real life mnarukaa km mmeguswa makalio, au tuipost ile picha yako yenye macho mekundu km witchEndelea kufatilia maisha ya watu ambao hata huwajui. That's what idle people do








Huyo ni mkenya original kabisa tena yule wa zamani za kale sn, mwenzie Nicxie alipotea humu mwezi mzima baada ya kuwa exposed ila yeye anakaza japo anaona hayahuyo ni jembe mi nilidhani atapotea haka ka mwezi kote hata saa halijaisha anaibuka tena huyo jamaa ukenya upo damuni kabisa







We achana na haya bado tunajadiri zile pesa zako mkuu umepanga kununua nini







Ungepiga picha ya barabara inayojengwa hapo yani waiyaki way....na bila kusahau mountain estate na mall kubwa sana abayo huwezi pata huko dar slum....imebidii upige eneo la kutupa taka sababu hapo kuna soko la kangemi.Hebu compare hiyo kangemi na hizo takataka zenu sijui mbezi,ousterby na zingine halafu unipe malejesho...na usisahau Kangemi ni slum hapa Nairobiutaskia hapo makazi ya watu
Kwa uchafu jamaa walishindikana
View attachment 1714831View attachment 1714832View attachment 1714833View attachment 1714834View attachment 1714835View attachment 1714836View attachment 1714837




Are you aware that Nairobi is one of the dirtiest cities in Africa? That's it looks like slum in all angles including the white house?Ungepiga picha ya barabara inayojengwa hapo yani waiyaki way....na bila kusahau mountain estate na mall kubwa sana abayo huwezi pata huko dar slum....imebidii upige eneo la kutupa taka sababu hapo kuna soko la kangemi.Hebu compare hiyo kangemi na hizo takataka zenu sijui mbezi,ousterby na zingine halafu unipe malejesho...na usisahau Kangemi ni slum hapa Nairobi![]()