Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Alafu hapa chini kanaendelea kukaza kwamba ni pesa zake, ona mpangilio wa hizo pesa anazosema zake na hizo tulizotoa mtandaoni na bado kanakuambia mpangilio umefanana tu, nahisi haka kademu katakuwa kana maisha magumu sn, alafu pia nahisi katakuwa bado kanasoma haka
Screenshot_20210301-183953.jpg
JamiiForums1259466927.jpg
Screenshot_20210301-143241.jpg
 
Ungepiga picha ya barabara inayojengwa hapo yani waiyaki way....na bila kusahau mountain estate na mall kubwa sana abayo huwezi pata huko dar slum....imebidii upige eneo la kutupa taka sababu hapo kuna soko la kangemi.Hebu compare hiyo kangemi na hizo takataka zenu sijui mbezi,ousterby na zingine halafu unipe malejesho...na usisahau Kangemi ni slum hapa Nairobi
Mjitahidi kusafisha mji wenu🙂maneno mengi kama mpiga ramli haisaidi🙂🙂 Nairobi is dirty 🙂
 
Nipige picha barabara inayojengwa Westlands na ushuzi mnaoita mountain view mall wakati yupo huku kangemi slums sema hukutaka watu waone uchafu mnaoficha
Nairobi Kwa uchafu hatuwawezi
Wewe unasubuliwa na uzalendo wa kijinga....hebu compare hiyo kangemi na hiyo dar slum yenu.kama unataka kunijua fika kikuyu town ndio home....pasafi organized kuliko mwanza au arusha
 
Wewe unasubuliwa na uzalendo wa kijinga....hebu compare hiyo kangemi na hiyo dar slum yenu.kama unataka kunijua fika kikuyu town ndio home....pasafi organized kuliko mwanza au arusha
Wewe c ndio unatumia Tecno ya 2015 niliku expose humu ukaniuliza kwani inashida gn? Leo umeanza na wewe kutisha watu kwamba wakitaka kukujua wafike kikuyu unatafuta attention au sio au unabisha nikuripue saizi
 
Back
Top Bottom