Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

We hujitambui thogoto ni wapi? Sasa Huko kote nakujua mpaka hospital ya macho ya Kikuyu Ingekua hata umefika hata mpakani ingekua afadhali lakini we ninavyo kuona ndo wale hamnazo wababaishe wenzako huko
Bado wewe fala unajibizana na mimi?
 
Modern studio EFM🇹🇿🇹🇿
18B0B082-5F61-41A3-834C-102BB4298CBD.jpeg

 
We huoni angle umepost ni tofauti na hii angle. By the way hii ni picture ya 2020View attachment 1714934
Usitake kuwaaminisha watu uwongo wa namna hii,kama ni bongo labda kitambo sana sana,hii ni prime area bro,business district,kama eneo hili lipo hiv mpk leo trust me kuna mgogoro unaendelea si bure!!!yaani kama jamaa akiuza hapo amini anakununua mpk we na jamaa yako yaani ule ujinga wa ndugu yako wa kucrop crop picha huyo muhusika anayatia kitandani mabunda kama hayo asbh kweupe.
 
Usi

Usitake kuwaaminisha watu uwongo wa namna hii,kama ni bongo labda kitambo sana sana,hii ni prime area bro,business district,kama eneo hili lipo hiv mpk leo trust me kuna mgogoro unaendelea si bure!!!yaani kama jamaa akiuza hapo amini anakununua mpk we na jamaa yako yaani ule ujinga wa ndugu yako wa kucrop crop picha huyo muhusika anayatia kitandani mabunda kama hayo asbh kweupe.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Ungepiga picha ya barabara inayojengwa hapo yani waiyaki way....na bila kusahau mountain estate na mall kubwa sana abayo huwezi pata huko dar slum....imebidii upige eneo la kutupa taka sababu hapo kuna soko la kangemi.Hebu compare hiyo kangemi na hizo takataka zenu sijui mbezi,ousterby na zingine halafu unipe malejesho...na usisahau Kangemi ni slum hapa Nairobi
Mounte inapiga estate zote Tanzania na iko Kangemi kwa slum
 
Mounte inapiga estate zote Tanzania na iko Kangemi kwa slum
..huyo jamaa yani anajifanya hajaona mounte na estate zingine zenye ziko Kangemi....eti ameona takataka tuu...hii ndio bongolala mentality
 
Wewe utakuwa umeomba uhamisho wa kituo cha kazi. Life ya Nairobi imekupeleka puta sasa lindo limehamia branch ya Kisumu angalau upate ahueni ya maisha. 😃 😃 😃
Sawasawa bongolala. Kuna siku nitapata uhamisho hadi huko Dar mwaka huu Mungu akijalia. Nitakutafuta siku ya uhamisho ikifika tujuane hali unitembeze uswazini. Mungu atupe tu uhai
 
Sawasawa bongolala. Kuna siku nitapata uhamisho hadi huko Dar mwaka huu Mungu akijalia. Nitakutafuta siku ya uhamisho ikifika tujuane hali unitembeze uswazini. Mungu atupe tu uhai
Kweli kabisa tuombe Mungu atupe uhai na akuwezeshe kutoka katika nchi ya mateso (KE) na uje nchi ya Maziwa na Asali (TZ). Naamini ukikanyaga ardhi ya TZ utasahau % kubwa sana ya shida zako na usipokuwa mwangalifu KE hautarudi tena! Wenzako wapo huko walishagalowea hadi wana vitukuu! Ukija nitakukutanisha nao!
 
Kweli kabisa tuombe Mungu atupe uhai na akuwezeshe kutoka katika nchi ya mateso (KE) na uje nchi ya Maziwa na Asali (TZ). Naamini ukikanyaga ardhi ya TZ utasahau % kubwa sana ya shida zako na usipokuwa mwangalifu KE hautarudi tena! Wenzako wapo huko walishagalowea hadi wana vitukuu! Ukija nitakukutanisha nao!
Na hawa watanzania wenzako ninaokutana nao na kuishi nao mbona walitoka nchi ya asali na maziwa na kuja nchi ya mateso? Hata sasa hivi niko na wawili kwa nyumba Kutoka eneo iitwayo Goribe (hope I have gotten the name right) mkoa wa Mara
 
Back
Top Bottom