Shebby01
JF-Expert Member
- Nov 11, 2020
- 2,520
- 5,872
Mkuu Fanya Subira kuna mshikaji nimemuacha field nasubiria mapicha mengine ya vibanda🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣tuzi post humu ndani 🙂Ila jamaa ni wabishi bado wataileta hiyo picha, but nilikuwa naitafuta sana hii Picha ss nmeipata, popote watakapoweka upuuzi wao nawawekea hii mpk wataelewa, najua hawa ni vichwa ngumu ila mm huwa siwachoki natembea nao tu![]()


ungefunga mapema sana kama una kende





