Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Attachments

  • 2704412_Screenshot_20210301-143519.jpg
    2704412_Screenshot_20210301-143519.jpg
    54.1 KB · Views: 5
Nimekuambia compare hayo maeneo na dar slum ndio uwambie wenzako ni jinsi gani Nairobi na dar nikama mbingu na ardhi....halafu ndio utokwe na ushamba wa dar slum kama thogoto tupatane
We hujitambui 🙄thogoto ni wapi? Sasa Huko kote nakujua mpaka hospital ya macho ya Kikuyu Ingekua hata umefika hata mpakani ingekua afadhali 🙂lakini we ninavyo kuona ndo wale hamnazo wababaishe wenzako huko 🙂
 
Wewe c ndio unatumia Tecno ya 2015 niliku expose humu ukaniuliza kwani inashida gn? Leo umeanza na wewe kutisha watu kwamba wakitaka kukujua wafike kikuyu unatafuta attention au sio au unabisha nikuripue saizi
Jamaa nimempa task simple ataje hata mtaa mmoja basi mwanza kimya🙄sijui njoo thogoto maeneo hayo yote nayajua hamna kitu🤣🤣🤣🤣
 
ni kama umefukuza jamaa! wewe ni noma!!! 🤣 🤣 🤣
🤣🤣🤣🤣🤣 Jamaa kajiumbua mwenyewe Tanzania hatupendi longolongo na maisha ya kuigiza 🤣🤣🤣😊ukishtukiwa utaicheza Ngoma ya sebene🤣mbona Sisi tunamapungufu yetu tena mengi Sana lakini tumejiridhisha tu Ila majirani zetu🤣
 
Back
Top Bottom