The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Wachafu sana hawa jamaa alafu co civilised people, mradi ukifunguliwa leo huwa wanawahi kupiga picha cz miezi michache tu patakuwa hapatamaniki, ni wachafu sana Wakenya.
Wachafu sana hawa jamaa alafu co civilised people, mradi ukifunguliwa leo huwa wanawahi kupiga picha cz miezi michache tu patakuwa hapatamaniki, ni wachafu sana Wakenya.
And that's it... kumbe hata wewe pia unaona zinafanana tu na kibera! 😂 😂haya leta za kibera tuone kama zina mitaa hivi!
Wachafu mnoo.kumepaukaaa
serkali yao inajitahidi kujenga lakini raia wao wanawarudisha nyuma hawana ustaarabu kabisa
Hujapenda unachokiona 😂 😂 😂 Sema haingekuwa na maandishi ungekana sio Dar ila ndo basi 😂 😂Bora unyamaze ukiendelea na makelele yako ntamwita Shebby01 😂😂😂
Wataelewa tu.Tanzania kimataifa zaidi
Alafu nafurahi jinsi mnavyolinganisha Dar na Kibera. Yani 1500 square kilometers inalinganishwa na eneo la 2.5 square kilometers! Tukisema huwa tunawafurahisha tu humu ndani tunajua tunachosema vijana wa midreamhouses. Dar mnaweza tu linganisha na kibera kwa sababu it's the only thing in Nairobi worth comparing with DarNjoo kwa ground usitishwe na hayo mabati yenye kutu jombaa, usifikiri hapo ni sawa na Kibera mwenzako mmoja alikuja akaishia kuhangaika kule jangwani akaondoka huku roho yake kimuuma sana..hakupata kabisa mtaa wa mabanda Dar haina slums sema ina makazi yasiyokuwa kwny mpangilio mzuri!!Full stop!!!
Bado anaumizwa na Knight FrankLatest wealth Report by Night Frank.
Ultra High Net Worth Individuals.($30m)
Top 3 in Africa.
1. Nigeria - 867
2. South Africa - 742
3. Egypt - 583
Top three in East Africa.
1. Kenya -90
2. Tanzania -83
3. Uganda -16



Kazi imeanza, na kibao kimeshabadilika ss








The number of dollars millionaires in Tanzania has reduced from 5,000 to 3,700.
Top 3 in East Africa. ($1m)
1. Tanzania - 3,700
2. Kenya - 3,323
3. Uganda - 1,138
Which is which, tuamini ya juu au ya chini, Knight Frank itakuumiza snLatest wealth Report by Night Frank.
Ultra High Net Worth Individuals.($30m)
Top 3 in Africa.
1. Nigeria - 867
2. South Africa - 742
3. Egypt - 583
Top three in East Africa.
1. Kenya -90
2. Tanzania -83
3. Uganda -16








Hivi hawawezi wakaingia kimya kimya bila kelele za honi?
Walichagua kwenda kwa ombaomba wenzao mana Tz co mahala pa ombaomba, so wameona waende kwa nchi ombaombaKabla hatujamtoa, usisahsu kutoa wale omba omba wenu pale Tom Mboya Street na kurudi nao. Hata wao pia hawana makazi




Sijaona mkifungua uzi huku mkianza na kichwa cha habari "akili kubwa" huku mkitukana nchi zingine za Africa



The first one is millionaires (over $1M) while the second one is ultra high net worth (over $30M) you idiot.Which is which, tuamini ya juu au ya chini, Knight Frank itakuumiza sn![]()
Kenya ni kuchafuMkuu mbona mnatubambika mipicha ambayo si yetu mfano picha ya pili cheki hayo maflat pembeni si kwenu kweli hapo halafu habari imeandwika Tanzania.Dah kweli hasira mbaya mfukuzeni Shebby huko Nai ili amani yenu irudi....maana hamna raha kbs, kujiamini kumepotea.Shebby rudi nyumbani kaka.
Kenya ni chafu sana... Watu wanakaa kwenye hizo flat ni wachafu sana au hawajali.Bora!!!!najua mipicha kama yote kaka kuna watu wamekimbia toka walivyojua uko kwa ardhi ya KenyaBattle linakosa ushindani kbs hahahaha noma sana full mitope pavements na udongo huwezi kutofautisha!!! Maeneo mengi ya Kenya kama palipigwa bomu,afu pakaachwa hivyo hivyo,wananchi wakarudi kwny makazi yao kuendelea na maisha
![]()
haya leta za kibera tuone kama zina mitaa hivi!






Mtakana hadi lini wenzangu? At this rate, you'll even deny your own existence!
Tz kila mtu anataka kupewa si bira waje huku amabako kuna watu wanatoaWalichagua kwenda kwa ombaomba wenzao mana Tz co mahala pa ombaomba, so wameona waende kwa nchi ombaomba![]()