Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Njoo kwa ground usitishwe na hayo mabati yenye kutu jombaa, usifikiri hapo ni sawa na Kibera mwenzako mmoja alikuja akaishia kuhangaika kule jangwani akaondoka huku roho yake kimuuma sana..hakupata kabisa mtaa wa mabanda Dar haina slums sema ina makazi yasiyokuwa kwny mpangilio mzuri!!Full stop!!!
Alafu nafurahi jinsi mnavyolinganisha Dar na Kibera. Yani 1500 square kilometers inalinganishwa na eneo la 2.5 square kilometers! Tukisema huwa tunawafurahisha tu humu ndani tunajua tunachosema vijana wa midreamhouses. Dar mnaweza tu linganisha na kibera kwa sababu it's the only thing in Nairobi worth comparing with Dar
 
Latest wealth Report by Night Frank.

Ultra High Net Worth Individuals.($30m)

Top 3 in Africa.

1. Nigeria - 867
2. South Africa - 742
3. Egypt - 583


Top three in East Africa.

1. Kenya -90
2. Tanzania -83
3. Uganda -16
Bado anaumizwa na Knight Frank
 
The number of dollars millionaires in Tanzania has reduced from 5,000 to 3,700.

Top 3 in East Africa. ($1m)

1. Tanzania - 3,700
2. Kenya - 3,323
3. Uganda - 1,138
Latest wealth Report by Night Frank.

Ultra High Net Worth Individuals.($30m)

Top 3 in Africa.

1. Nigeria - 867
2. South Africa - 742
3. Egypt - 583


Top three in East Africa.

1. Kenya -90
2. Tanzania -83
3. Uganda -16
Which is which, tuamini ya juu au ya chini, Knight Frank itakuumiza sn
 
Kabla hatujamtoa, usisahsu kutoa wale omba omba wenu pale Tom Mboya Street na kurudi nao. Hata wao pia hawana makazi
Walichagua kwenda kwa ombaomba wenzao mana Tz co mahala pa ombaomba, so wameona waende kwa nchi ombaomba
 
Mkuu mbona mnatubambika mipicha ambayo si yetu mfano picha ya pili cheki hayo maflat pembeni si kwenu kweli hapo halafu habari imeandwika Tanzania.Dah kweli hasira mbaya mfukuzeni Shebby huko Nai ili amani yenu irudi....maana hamna raha kbs, kujiamini kumepotea.Shebby rudi nyumbani kaka.
Kenya ni kuchafu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bora!!!!najua mipicha kama yote kaka kuna watu wamekimbia toka walivyojua uko kwa ardhi ya Kenya Battle linakosa ushindani kbs hahahaha noma sana full mitope pavements na udongo huwezi kutofautisha!!! Maeneo mengi ya Kenya kama palipigwa bomu,afu pakaachwa hivyo hivyo,wananchi wakarudi kwny makazi yao kuendelea na maisha
Kenya ni chafu sana... Watu wanakaa kwenye hizo flat ni wachafu sana au hawajali.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo Mandera road sio Tanzania

Sent using Jamii Forums mobile app
Mtakana hadi lini wenzangu? At this rate, you'll even deny your own existence!

Ulisema Mandera road sio Tanzania? 😂 😂 😂
Screenshot_20210226-214427.png
 
Back
Top Bottom