komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
Kapiga picha mpka lebo kabisa ili tushtuke, kumbe anasahau km hvyo viroba watoto wa highschool ndio wanajibugiaJamani Jameson iliishiwa ladha kitambo sana. Hii si iliachiwa watoto wa shule! Kumbe kule bongo bado ni big deal sana [emoji23] [emoji23]
Alafu hapo kando naona kitu inafanana na ile kinywaji chao wanachokienzi iitwayo Konyagi. Dah! Huyu jamaa bana!!