Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Arusha 🇹🇿🇹🇿🇹🇿

EvAwMjsXYAERcmM.jpg
EvAwMyuXUAIYkym.jpg
EvAwNCfXIAETXog.jpg
EvAwNScWYAIOx2_.jpg
 
Kama ujazaji wa maji utakamilika April 2022 basi pia uzalishaji wa umeme utaanza April 2022. Wewe ulikuwa unaongopa kwamba JNHPP itaanza j
Kuzalisha umeme mwaka huu. Ya Ethiopia itawatangulia.
nimesema wataanza kufunga turbine mwaka huu! ujazaji wa maji na ufungaji wa turbines huenda pamoja!
 
Nilitaka niwaoneshe Wakenya kwamba ni ngumu sana kupata slums Dar au Tz cz Watz wanajenga, hapa ni Kivule which is too far from CBD lkn kumewaka kwa vijumba vzr vzr, bado nina tour ya kule kivule nitaweka hapa picha mzione View attachment 1709752View attachment 1709753View attachment 1709754View attachment 1709755View attachment 1709756View attachment 1709757View attachment 1709758View attachment 1709759
Wabongo tuko vizuri kwenye kujenga hawa mungiki hawatupati hata kidogo
 
Back
Top Bottom