Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hakuna UNHCR hapo... hawa ni wale wa Chagaa wa Gikomba. The areas anaranda randa ni route za kwenda Gikomba..... kwanza on foot.
Then look even at the quality of his pictures. Msee wa UNHCR anamiliki simu inapiga picha utadhani he was in a fast moving vehicle 😂 😂
 
Downtown itamtoa matege aisee
Kama ndani ya miezi tayar pamekuwa ushuzi iviii
JamiiForums-222512906.jpg
 
Hivi ndivyo mnavyowatesa mawaziri wenu wanaougua corona? Eti mnawalazimisha kufanya press conference ili kuonyesha kwamba hawana corona? Washenzi sana. Hamna huruma kwa wagonjwa



Cc Geza Ulole
 
Back
Top Bottom