komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,549
- 5,646
Mbona km sizielewi hizi data!!?Kwahyo tumewapiga?Raha sana
Mbona km sizielewi hizi data!!?Kwahyo tumewapiga?Raha sana
Nilitegemea tupande nashangaa huo ukoko vpMbona km sizielewi hizi data!!?
Credible source??The number of dollars millionaires in Tanzania has reduced from 5,000 to 3,700.
Top 3 in East Africa. ($1m)
1. Tanzania - 3,700
2. Kenya - 3,323
3. Uganda - 1,138
Then look even at the quality of his pictures. Msee wa UNHCR anamiliki simu inapiga picha utadhani he was in a fast moving vehicle 😂 😂Hakuna UNHCR hapo... hawa ni wale wa Chagaa wa Gikomba. The areas anaranda randa ni route za kwenda Gikomba..... kwanza on foot.
Kama ndani ya miezi tayar pamekuwa ushuzi iviiiDowntown itamtoa matege aisee
Yani pamechoka ...wakat juzi tu walikuw wanapa sifiaKumechakaa vilivyo
Hahaha siku nyingine usome vichwa vya habar hatuwez zidiw na mafukara km nyieMbona km sizielewi hizi data!!?
Kabla hatujamtoa, usisahsu kutoa wale omba omba wenu pale Tom Mboya Street na kurudi nao. Hata wao pia hawana makaziMbona msimtoe huyo jamaa hapo🙄 ndo makazi yake?
Imekuaje tena data zinasoma tofauti na mwaka janaHahaha siku nyingine usome vichwa vya habar hatuwez zidiw na mafukara km nyie
Picha yenyewe kwanza mbovu, haileweki je ukizoom itakuajeKama ndani ya miezi tayar pamekuwa ushuzi iviiiView attachment 1711900
Yale tale yaliyotukuta 2020, hawa jamaa nimeshaanza kuwaona wapuuzi..Nilitegemea tupande nashangaa huo ukoko vp
Kenya maisha magumu sana..na usikekuta Happ Chini pakabaki hivyo hivyo..Nairobi highway finishing
Mshikaji kapewa eneoView attachment 1711584
Unataka tufanye usafi jinsi nyinyi pia mlivyofanya na kudumisha usafi hapo Dar?Muwe mnajitahidi hata na kufanya usafi basi
View attachment 1711622
Asante kwa tbtUnataka tufanye usafi jinsi nyinyi pia mlivyofanya na kudumisha usafi hapo Dar? View attachment 1711926View attachment 1711928View attachment 1711929View attachment 1711930View attachment 1711931
Kweli mkuu 🙂vitu wanavyojengewa ni unclassic local contruction...
local flyover
Kuna picha ziko humu ndani za kimataifa 🤣🤣🤣🤣🤣subiri tu mchizi wanguVipanya vinabeba abiria??!!!...duh nairobi bado sana..mkuu shebby endelea kuposti picha za nairoslum,sisi wengine tuzi-save kwa matumizi ya baadae