Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sio maringo ila mimi Jameson siwezi floss nayo mitandaoni
Angetuwekea hata picha ya Kilimanjaro
Nishakuambia iyo ngoma kabla na baada ya kuzaliwa ilikuwa trend acha kutudanganya kwamba wew fundi wa pombe zenye majina
 
Sasa izo zenu zinafanya nn Au huzijui zenu ni worse

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
Screenshot_20210226-191334.jpg
 
Mkuu mbona mnatubambika mipicha ambayo si yetu mfano picha ya pili cheki hayo maflat pembeni si kwenu kweli hapo halafu habari imeandwika Tanzania.Dah kweli hasira mbaya mfukuzeni Shebby huko Nai ili amani yenu irudi....maana hamna raha kbs, kujiamini kumepotea.Shebby rudi nyumbani kaka.
Mtakana hizi makazi zenu hadi lini?
Screenshot_20210225-234112.png
Screenshot_20210225-234145.png
Screenshot_20210226-192503.png
Screenshot_20210226-192715.png
Screenshot_20210226-192742.png
 
Halafu huyu jamaa hajavaa mask amekaa katikati ya madaktari wawili halafu anakohoa sio mchezo. Yaani anaambukiza hao madaktari live na madaktari hawashtuki wala nini. Wanajifanya kwamba mambo yapo sawa ila rohoni wanahofia kwamba wameambukizwa. Hata Tundu Lissu amekashifu kitendo hiki cha CCM






ichoboy01 The best 007 Geza Ulole

Kwani unajua anaumwa ugonjwa gani mpaka avae barakoa?
 
Yani huyo jomba nimemshangaa sana. Alihakikisha picha imeshika hiyo lebo vizuri sana kisha akajiambia "baas, acha niringie wakenya."
we mzee baba umejua kuuwa kabisa yani..
Pole yake, naona wala hatorudia tena⁷
 
Tena Dar usiombe na lile joto Mji unanuka hatari ,maeneo kama ya uswahilini inatakiwa ujifanye nguruwe Ili uishi huko.

Bora miji ya baridi hata kama kuna uchafu ila smell haiwi kubwa kama uvundo wa miji ya joto
Yani ww akili yako ni km toilet paper, kuwa na upishano wa mitazamo sio sababu ya chuki za kijinga km mwehu
 
juzijuzi nilikuwa namuwaza huyu jamaa katoka ulecturer udsm ambako huwa wanalipwa zaidi ya 3M kaenda ukatibu mkuu CCM, nikajiuliza CCM watakuwa wanamlipa zaidi ya 3M? leo moyo umefurah kusikia kawa katibu mkuu JMT


from Lecturer UDSM to uKatibu Mkuu CCM then to Ubalozi na Ukatibu Mkuu JMT. The guy is very cool (i personally know him a bit)

na ukiangalia.. malecturers wenzake wengi wamekuwa makatibu wakuu wa wizara, lkn yeye kawa katibu mkuu CCM, but surprisingly kawaovertake wenzake wote kawa Katibu Mkuu Kiongozi (what a life journey to him)
 
Back
Top Bottom