Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

The 127m MNF tower and fifth tallest in Tanzania
tapatalk_1614283946883.jpg
 
Hivi ndivyo mnavyowatesa mawaziri wenu wanaougua corona? Eti mnawalazimisha kufanya press conference ili kuonyesha kwamba hawana corona? Washenzi sana. Hamna huruma kwa wagonjwa



Cc Geza Ulole

It's so sad how a whole president can lie to a whole country only for this to happen. This is what happens when blind people are led by a blind person.
 
It's so sad how a whole president can lie to a whole country only this to happen. This is what happens when blind people are led by a blind person.

ujue sijawah kuwaelewa.. kama sis tunakufa, nyie inawauma nn?
 
kiuhalisia mkipewa na nafasi ya kujenga nairobi kama jinsi tulivyo mtaharibu mara mbili ya hapo,,,maana estate ndiyo zinazowabeba kwenye mpangilio mkija kwenye nyumba moja moja ya kila mkenya binafsi anayejenga kama sisi huwa mnatoa vituko....huwa hamna wajenzi kabisa huko na hamuwezi kuefford ujenzi
 
Back
Top Bottom