Nicxie
JF-Expert Member
- Jun 20, 2017
- 20,609
- 15,712
Nairobi hakuna dream houses ndugu yangu. Mbona unaona haya kukubali hapo ni Dar?umepotea njia unachanganya hadi picha za kenya![]()
Kataa na hizi hapa basi 😂 😂
Nairobi hakuna dream houses ndugu yangu. Mbona unaona haya kukubali hapo ni Dar?umepotea njia unachanganya hadi picha za kenya![]()
Nieleze ni picha gani hapo imeandikwa Nairobi ama Kenya. Mimi naona tu neno Dar na Tanzaniaumepotea njia unachanganya hadi picha za kenya![]()
Jamaa wanatamani hata wakumeze ili usiendelee kuposti picha😁😁🤣Kuna picha ziko humu ndani za kimataifa 🤣🤣🤣🤣🤣subiri tu mchizi wangu
ukiambiwa umekosea njia jua humaanisha kuwa wewe ni kichaa.....Nieleze ni picha gani hapo imeandikwa Nairobi ama Kenya. Mimi naona tu neno Dar na Tanzania



?Duh!!pole yake mzee wa watu, km kalazimishwa kufanya press kw ajili ya show off Mungu ata deal nao na km mataka yeye basi itabidi sisi wengine tuchukue tahadhari na tumuombee memaHivi ndivyo mnavyowatesa mawaziri wenu wanaougua corona? Eti mnawalazimisha kufanya press conference ili kuonyesha kwamba hawana corona? Washenzi sana. Hamna huruma kwa wagonjwa
Cc Geza Ulole
Na wewe vipi, naomba uanze kunitajia vizuri vya kweli ndio nijue km umeacha unafikiHuyu jamaa Tony254 yuko Poa, ndio mkenya pekee ninayesoma comment zake, namfuatilia mpaka kule Skyscraper yuko vizuri, kitu kizuri huwa anakikubali sio wale wanaopinga kila kitu.


Nairobi sehemu kubwa imepangika bro sio kama hiyo Dar yenu. Take a look at Komarock below deep in Eastlands for instance and compare with your confused residential areas.kiuhalisia mkipewa na nafasi ya kujenga nairobi kama jinsi tulivyo mtaharibu mara mbili ya hapo,,,maana estate ndiyo zinazowabeba kwenye mpangilio mkija kwenye nyumba moja moja ya kila mkenya binafsi anayejenga kama sisi huwa mnatoa vituko....huwa hamna wajenzi kabisa huko na hamuwezi kuefford ujenzi![]()
Hapa umepiga mpira njekiuhalisia mkipewa na nafasi ya kujenga nairobi kama jinsi tulivyo mtaharibu mara mbili ya hapo,,,maana estate ndiyo zinazowabeba kwenye mpangilio mkija kwenye nyumba moja moja ya kila mkenya binafsi anayejenga kama sisi huwa mnatoa vituko....huwa hamna wajenzi kabisa huko na hamuwezi kuefford ujenzi![]()


., fungua thread ya estates ama residentials., tudhibitishe kikamilifu.Umepanic kaka..ni bora muishie kujenga estate mabox ya kufanana tu,,,huku hampawezi
Nionyeshe picha ya Kenya niliyoleta hapo. Wewe umeishiwa hoja.ukiambiwa umekosea njia jua humaanisha kuwa wewe ni kichaa.....
unamix mapicha ,,kwa kugoogle unaweka mapicha ya looong time ago unaweka hadi mapicha ya nchi yenu,,,are u craizzzyy?
Hapo kwa estates and residentials hawawezi thubutu hata kwa dawa 😂Hapa umepiga mpira nje., fungua thread ya estates ama residentials., tudhibitishe kikamilifu.
Hapo ni wapi? Kilifi bado?
Can you name those five and their passenger numbers?
Mashinanini bora muishie kujenga estate mabox ya kufanana tu,,,huku hampawezi
Km vile wewe ulivyoipita hiiWakunya hii post wataipita kama awaioni vile!
Hii post wakunya wataipita kama awaioni vile



Hivi ndivyo mnavyowatesa mawaziri wenu wanaougua corona? Eti mnawalazimisha kufanya press conference ili kuonyesha kwamba hawana corona? Washenzi sana. Hamna huruma kwa wagonjwa
Cc Geza Ulole
Hapo ni mombasa jomba, sehemu moja tamu sana walai..Hapo ni wapi? Kilifi bado?
Htari sanaHapo ni wapi? Kilifi bado?