Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

umepotea njia unachanganya hadi picha za kenya
Nairobi hakuna dream houses ndugu yangu. Mbona unaona haya kukubali hapo ni Dar?
Kataa na hizi hapa basi 😂 😂
Screenshot_20210225-234145.png
Screenshot_20210225-234112.png
 
Nieleze ni picha gani hapo imeandikwa Nairobi ama Kenya. Mimi naona tu neno Dar na Tanzania
ukiambiwa umekosea njia jua humaanisha kuwa wewe ni kichaa.....


unamix mapicha ,,kwa kugoogle unaweka mapicha ya looong time ago unaweka hadi mapicha ya nchi yenu,,,are u craizzzyy?
 
Hivi ndivyo mnavyowatesa mawaziri wenu wanaougua corona? Eti mnawalazimisha kufanya press conference ili kuonyesha kwamba hawana corona? Washenzi sana. Hamna huruma kwa wagonjwa



Cc Geza Ulole
Duh!!pole yake mzee wa watu, km kalazimishwa kufanya press kw ajili ya show off Mungu ata deal nao na km mataka yeye basi itabidi sisi wengine tuchukue tahadhari na tumuombee mema
 
Huyu jamaa Tony254 yuko Poa, ndio mkenya pekee ninayesoma comment zake, namfuatilia mpaka kule Skyscraper yuko vizuri, kitu kizuri huwa anakikubali sio wale wanaopinga kila kitu.
Na wewe vipi, naomba uanze kunitajia vizuri vya kweli ndio nijue km umeacha unafiki
Yani raha yako wewe mwenzako awe natural lkn ikija swala la nyinyi kuwa negative kw masuala ya kenya swa..

Umebakisha stage moja tu ya kuwa mchawi
 
kiuhalisia mkipewa na nafasi ya kujenga nairobi kama jinsi tulivyo mtaharibu mara mbili ya hapo,,,maana estate ndiyo zinazowabeba kwenye mpangilio mkija kwenye nyumba moja moja ya kila mkenya binafsi anayejenga kama sisi huwa mnatoa vituko....huwa hamna wajenzi kabisa huko na hamuwezi kuefford ujenzi
Nairobi sehemu kubwa imepangika bro sio kama hiyo Dar yenu. Take a look at Komarock below deep in Eastlands for instance and compare with your confused residential areas.
Screenshot_20210202-111420~2.png
Screenshot_20210202-110411~2.png
Screenshot_20210202-112306~2.png
Screenshot_20210202-111532~2.png


And what do you even meanby estates?

Hata tukija kwenye swala la nyumba moja moja ya watu binafsi, bado tumewaacha mbali tena sana. Take a look at Ruai and Kawaha Sukari below which are just ordinary neighbourhoods
Screenshot_20200321-140039.png
Screenshot_20210226-000351~3.png
 
kiuhalisia mkipewa na nafasi ya kujenga nairobi kama jinsi tulivyo mtaharibu mara mbili ya hapo,,,maana estate ndiyo zinazowabeba kwenye mpangilio mkija kwenye nyumba moja moja ya kila mkenya binafsi anayejenga kama sisi huwa mnatoa vituko....huwa hamna wajenzi kabisa huko na hamuwezi kuefford ujenzi
Hapa umepiga mpira nje., fungua thread ya estates ama residentials., tudhibitishe kikamilifu.
 
ukiambiwa umekosea njia jua humaanisha kuwa wewe ni kichaa.....


unamix mapicha ,,kwa kugoogle unaweka mapicha ya looong time ago unaweka hadi mapicha ya nchi yenu,,,are u craizzzyy?
Nionyeshe picha ya Kenya niliyoleta hapo. Wewe umeishiwa hoja.
 
Back
Top Bottom