Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ndioo sema kuna picha zingine Noma kupiga hata simu yangu inaweza kuchanganyikiwa🤣🤣🤣kwa uchafu🤣🤣
Lakini Nairobi ina sehemu nyingi nzuri mbona unapotosha wenzako hapa kwamba Nairobi nzima ni chafu? Hilo hata wewe unajua sio kweli. Unachaguachagua picha mbaya za kupost. Kama ungekuwa mngwana ungepost picha zote nzuri na mbaya lakini kuchagua mbaya ili kufurahisha wenzako sio jambo nzuri. Nairobi ipo tu sawa kwa usafi hususan kwenye city centre. Pia Nairobi imejengeka sana mbona usipost picha za skyscrapers ama unaona woga kwamba wenzako watakupiga?
 
Dongo kundu phase 2, pray for Dar slum because mombasa is coming thick and fast. Two bridges to be build mteza 1.4km and mwache 600m
IMG_20210225_110808.jpg
IMG_20210225_110842.jpg
 
Wamekuwa wakisumbuliwa na Egypt sana. Wanajenga mradi wa $4.5 billion (6,000MW) kwa pesa yao ya ndani kwa sababu hakuna benki yoyote inayoweza kuwakopesha. Mama mboga na wamachinga wa huko ndio wanachangia ile pesa kidogo wanayo. Ila wamepiga hatua kubwa maana turbines mbili zitaanza kuzalisha umeme mwaka huu. Turbines zingine na nyumba za turbines zingine zitaendelea kujengwa polepole lakini hizi hapa chini mbili ziko karibu kukamilika.
View attachment 1711535
Hapo juu umezungumzia kuwa kenya ishalink na ethiopia tayari kununua umeme na kwa namna unavyoshare inaonesha kuwa unakubali kuwa kwenye kujenga bwawa la umeme Ethiopia wamefanya kitu cha maana
Ila sisi la kwetu mnaona sio jambo jema kumbe kimoyomoyo mnaumia! 😀
 
kutokana na majibu yako inaokena umeishi kenya sana...je wajua ni kwa nini?? ni kwa sababu ulikuja kujitafutia riziki huku kenya kwa maana kwenu tz mna viongozi bure na nchi yote kwa jumla ni watu wa vivu, wanyonge na ndio kwa maana hakuna kazi wala njia za kujipatia mkate wa kila siku... hizi slums za kenya zime jaa wageni kutoka nje sanasana kutokea tz... je wajua omba omba wote kenya ni wakutokea tz pia ...kwa hivyo karibuni sana ndigu zetu sisi twawakaribisha na twa wapenda....kenya hapa east africa ni nchi ilio stawi na ndio kwa maana wa tz huja huku kujitaftia riziki
Omba omba kama huyu?
Screenshot_20210208-221846_DuckDuckGo.jpg
 
Lakini Nairobi ina sehemu nyingi nzuri mbona unapotosha wenzako hapa kwamba Nairobi nzima ni chafu? Hilo hata wewe unajua sio kweli. Unachaguachagua picha mbaya za kupost. Kama ungekuwa mngwana ungepost picha zote nzuri na mbaya lakini kuchagua mbaya ili kufurahisha wenzako sio jambo nzuri. Nairobi ipo tu sawa kwa usafi hususan kwenye city centre. Pia Nairobi imejengeka sana mbona usipost picha za skyscrapers ama unaona woga kwamba wenzako watakupiga?
Usijali nta post hata moja basi
 
Waru wa maji maji rebellion naskia history is about to repeat itself 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 corona ipo ama haipo tanzania??? Mliomba ikaisha.... Sasa tuambiane ukweli. Ama rahisi wenyu alikua ready to sacrifice you all to ensure election is not postponed lucky you corona is not that vicious we could dancing on top of your graves just coz your president wanted to be re elected
 
Hapo juu umezungumzia kuwa kenya ishalink na ethiopia tayari kununua umeme na kwa namna unavyoshare inaonesha kuwa unakubali kuwa kwenye kujenga bwawa la umeme Ethiopia wamefanya kitu cha maana
Ila sisi la kwetu mnaona sio jambo jema kumbe kimoyomoyo mnaumia! 😀
Wacha ujinga. Ethiopia tayari wanaconsume more than 4,000 MW. Halafu wana deficit ya umeme. Yaani hio 4,000 MW haiwatoshi maana wana industries nyingi. Wao wanahitaji umeme mwingi na kampuni nyingi za kichina zinahamia Ethiopia sasa hivi. Nyinyi upande mwingine mnaconsume only 1,400 MW ya umeme na mnajenga dams kama nne with total output of more than 3,000 MW. Nyinyi hamtumii umeme kwa wingi kama Ethiopia.
 
Wabongo wanaosema kwamba vaccine haifanyi kazi

Cc Lusematic Geza Ulole joto la jiwe





 
Back
Top Bottom