Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nairobi sehemu kubwa imepangika bro sio kama hiyo Dar yenu. Take a look at Komarock below deep in Eastlands for instance and compare with your confused residential areas.
View attachment 1711992View attachment 1711995View attachment 1711996View attachment 1711997

And what do you even meanby estates?

Hata tukija kwenye swala la nyumba moja moja ya watu binafsi, bado tumewaacha mbali tena sana. Take a look at Ruai and Kawaha Sukari below which are just ordinary neighbourhoods
View attachment 1712000View attachment 1712001
[emoji1][emoji1][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] unapenda kuongea vitu vys ndoto nadharia,,,,,,,,
ushasahau report ya World bank,kuwa dar ipo ahead mbele ya nairobi...

usijitoe akili
 
[emoji1][emoji1][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] unapenda kuongea vitu vys ndoto nadharia,,,,,,,,
ushasahau report ya World bank,kuwa dar ipo ahead mbele ya nairobi...

usijitoe akili
Fungueni thread ndio mkione..
Garissa vs tanga mjengo mmoja mmoja
 
Fungueni thread ndio mkione..
Garissa vs tanga mjengo mmoja mmoja
usihofu anzisha tu si kila kitu aanzishe mtz,,,,

huoni hii thread konk kutoka kwa comrad annael ,,mkali,mnyamwezi,mjanja kutoka Tz....

vip upande wenu[emoji1787][emoji1787]
mnakosaje ubunifu wa thread iliyo strong ya kijanja
 
usihofu anzisha tu si kila kitu aanzishe mtz,,,,

huoni hii thread konk kutoka kwa comrad annael ,,mkali,mnyamwezi,mjanja kutoka Tz....

vip upande wenu[emoji1787][emoji1787]
mnakosaje ubunifu wa thread iliyo strong ya kijanja
Hatuna ushamba huo wa kukomalia kitu kimoja, ndio manake naweza anzisha uzi na ukute tuuchangie alafu mi mwnywe niupotezee
 
hakuna cha passanger number elewa kilichomaanishwa usipagawe ni mambo madogo tu[emoji3][emoji1][emoji1][emoji1]
Kwa hivyo ni magofu tu ama? Hebu taja hizo tano coz nakumbuka hata Kenya ziko tano pia
 
usipagawe komora ,,,,,hivyo ni vitu easy tu,,kuwa mpole mambo ni taratibu.....
Kenya vitu km hvyo ni vya kawaida sana siku hzi..
Wala hatushtuki, hizi picha sehemu zingine nazifahamu na nimeshawahi kufika..
Km hapo
images.jpeg-33.jpg
 
sina mda nipo bize naenjoyment kidogo nikiamua nitakuonyesha ulipokwama....

kwa sasa take a time chukua mda wako binafsi kutizama ulichopost[emoji1787][emoji1787]
Kojoa ulale. Huna jipya. Kama huwezi Sena ni picha ipi nilipost ta Kenya and at the same time you are insisting picha ni ya Kenya si unions wewe Ni mjinga tu WA kupuuzwa?
 
Hatuna ushamba huo wa kukomalia kitu kimoja, ndio manake naweza anzisha uzi na ukute tuuchangie alafu mi mwnywe niupotezee
huna lolote wakenya mmefulia,,,,,
usisahau kuchamba punde unapoingia toilet utoe harufu chafu za mwilini[emoji1787][emoji1787]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]we ndiyo mshamba wa kutupwa ,,mi bado kijana damu inachemka bado na mda wa kuenjoy punde napopata mda....

kwenye kujiburudisha hakuna umri acha ushambai.....

blessed ni mwendo wa tungi mpaka jumapili....ujinyinge sasaView attachment 1712041
Sasa unamtangazia nani[emoji2960][emoji2960]
Watu wanapiga vitu chini ya maji, we unaanika hapa ndio ili uonekane na wewe unajua ku party..
Au una visenti vinakusumbua ndio ukaamua na wewe leo angalau uteremshe na kutangaza kabis aili watu wajue
 
Back
Top Bottom