Lusematic
JF-Expert Member
- Feb 2, 2017
- 12,051
- 11,839
uwe serious.....Hahaha. Si ni kweli. Makamu wa rais mstaafu amekufa kwa corona. Kwani ni uongo?
ulimpima...?
uwe serious.....Hahaha. Si ni kweli. Makamu wa rais mstaafu amekufa kwa corona. Kwani ni uongo?
Acha kuongea usicho juaa...funga tu bakulWalibomoa hilo daraja mwaka uliopita kwa hivyo kama bado hawajaanza kuijenga basi mradi utakamilika mwaka ujao.
Huyo huwa hajui mambo mengi sana c tu Tz hata ya nchini mwake hajui [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Unaongea kitu usichokijua.
Na ukifuatilia jamii forums ndo utadata kabisa, watu kila dk wanapost msiba ili ionekane covid imeshika hatamu, unajua siasa mby sn, kuna watu hawakufurahi ile technique ya Magu ya "No lockdown na kuhimiza kujifukiza" jinsi ilivyomaliza corona ya kwanza, yn siasa maji taka imewafanya mpk wanaombea mabaya nchi yao as if wao hawaishi humu.Mhh ila hii misiba ya viongozi imeongozana kupita kiasi mpaka inatisha jamani.
Tatizo la wakenya ni ujinga wa akili, eti wanafurahia Kenya kuwa na bajeti kubwa kuliko nchi zote za EA[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tony254 umependa nn?
Walishakula ban tangu mwaka jana kwenye kingamuzi cha startimes.Citizentv needs to be banned from airing within Tanzania!
Soma tena nilichoandika. Nimesema kwamba nimefurahi jinsi IMF imeweka masharti kwamba bajeti isiongezeke.Tatizo la wakenya ni ujinga wa akili, eti wanafurahia Kenya kuwa na bajeti kubwa kuliko nchi zote za EA[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Another Kenyan media outlet 😂 😂hata ya ebola juzi.. wamesema tanzania ina ebola.. sikumbuki media lkn they have been saying this for a long time
You can as well ban these other "Kenyan" new channels 😂 😂Walishakula ban tangu mwaka jana kwenye kingamuzi cha startimes.
You can as well ban these other "Kenyan" new channels 😂 😂
Another Kenyan media outlet [emoji23] [emoji23]
Nyie akili zenu tumezishikilia mkononi soon tu mtaanza kutupongeza, kwn nani asiyejua kwamba Kenya ni nchi isiyo na msimamo? Kwa tafsiri nzuri ni kwamba Kenya ni nchi ya kimalaya malaya yn mnapambana kulazimisha corona ipo kwa wingi Tz utadhani kwenu hamna, hii ni tabia ya kimalaya.You can as well ban these other "Kenyan" new channels [emoji23] [emoji23]
Watafute pa kujificha
Kenya tumekubali uwepo wa corona from day one wala hakuna siku kiongozi au mtu yeyote yule aliwahikutuhadaa kwamba corona haipo. Nyie mnaambiwa kirusi hakipo kwenu wakati viongozi wenu wanadondonshwa na kirusi chenyewe. Huoni kwamba nyinyi Ni vilaza?Nyie akili zenu tumezishikilia mkononi soon tu mtaanza kutupongeza, kwn nani asiyejua kwamba Kenya ni nchi isiyo na msimamo? Kwa tafsiri nzuri ni kwamba Kenya ni nchi ya kimalaya malaya yn mnapambana kulazimisha corona ipo kwa wingi Tz utadhani kwenu hamna, hii ni tabia ya kimalaya.
Magufuli is a well-read president but the way he handled this virus and hoodwinked his people shows a man who is intellectually starved
Magufuli is a well-read president but the way he handled this virus and hoodwinked his people shows a man who is intellectually starved
They baptized corona and gave it a new name called "changamoto ya kupumua" all in an effort to deny the existence of corona! And "changamoto ya kupumua" kept killing people while the government criminalized the publication of such information to the public! Only a few days ago, Zanzibar's first VP opened up about his covid status and publicly said that he tested positive to the virus. Sadly, he died today!
Nyie akili zenu tumezishikilia mkononi soon tu mtaanza kutupongeza, kwn nani asiyejua kwamba Kenya ni nchi isiyo na msimamo? Kwa tafsiri nzuri ni kwamba Kenya ni nchi ya kimalaya malaya yn mnapambana kulazimisha corona ipo kwa wingi Tz utadhani kwenu hamna, hii ni tabia ya kimalaya.
......[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Umenifrahisha sana!!They baptized corona and gave it a new name called "changamoto ya kupumua" all in an effort to deny the existence of corona! And "changamoto ya kupumua" kept killing people while the government criminalized the publication of such information to the public! Only a few days ago, Zanzibar's first VP opened up about his covid status and publicly said that he tested positive to the virus. Sadly, he died today!
Kuna mambo mengine siasa na hisia za kijinga hazifai kuingizwa. This is about human health and involves an invisible enemy. I still ask myself what it benefited Magufuli to lie to his people about the existence of a virus like this one. Kwa kweli hapa alifeli vibaya sana......[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Umenifrahisha sana!!
Tunajilinda tu japo ndio kama unavyoona Siasa inazuia wataalamu kufanya, kusema,kinachostahili watu wasikie instead porojo na misamiati isioeleweka inaundwa