Shebby01
JF-Expert Member
- Nov 11, 2020
- 2,520
- 5,872
Tulia mzee Baba 🙂ujenzi not complited fully 🙂Hahaha. Terminal ambayo imezungukwa na matope kote kote? Basi zitakwama sana kwanza kumbuka msimu wa mvua unakuja. Yaani hamuwezi kuweka cabro works au hata lami? Wajinga sana nyie.



Daresalaam ni oyster bay na masaki tu

