Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hahaha. Terminal ambayo imezungukwa na matope kote kote? Basi zitakwama sana kwanza kumbuka msimu wa mvua unakuja. Yaani hamuwezi kuweka cabro works au hata lami? Wajinga sana nyie.
Tulia mzee Baba 🙂ujenzi not complited fully 🙂
 
Ameandika kwa uchungu sana
Utadhani Tanzania ndio imefanya nchi yao iwe failed state.

Tunashindana na kunya!..kwani wana bus terminal kama hiyo!

Maendeleo ya Tanzania yanawaumiza hawa wakunya kinoma.
yaani hilo eneo laiti angelijua hata asingeongea huo ujinga
 
Ni kweli mkuu uko sahihi kabisa wabongo nchi Yao imetulia Sana hawana hata mpango wowote ule na ujenzi Kenya inajenga Sana mpaka Raha Daresalaam ni oyster bay na masaki tu
kabisa.......hapa duniani ni kenya pekee ndiyo ina posh builfing
 
Tanzania uwa atufuatiliagi habari za kunyaland,ila hao wenzetu kwenye news zao,youtuber wao,macomedian wao,tv and redio zao huwezi kukosa habari za Tanzania,na hata kwenye matatu 95% ya nyimbo zinazopigwa mle ni za Tanzania,ukija kwenye chakula 60% wanategemea kutoka Tanzania
Wakenya wanawajua Watanzania kama malazy wasiopenda kazi na pia wapole wasiojua lolote. Hata comedians wetu huwa wanawakejeli sana.
 
Hahaha. Terminal ambayo imezungukwa na matope kote kote? Basi zitakwama sana kwanza kumbuka msimu wa mvua unakuja. Yaani hamuwezi kuweka cabro works au hata lami? Wajinga sana nyie.
unadhani rami hujengwa jengwa tu hovyo hovyo kwenye makazi ya watu,,,,hizo si project estate mzee ,hizo nyumba kila mtu kajenga kwa time yake na hapo mvua ikinyesha huwa hakuna tope gari zinapita vizuri kabisa....

ila hongereni sana naona makazi yote ya nairobi mmechapa rami
images (18).jpg
images (17).jpg
images (16).jpg
images (9).jpg
 
kumbe wameshindwa kumaliza mkuu hebu nielekeze hapo maana sielewi,inamaana ujenzi haundelei kabisa.....?..

hawa watanzania ni shida kwa kweli
Yaani hata time frame hamna...mradi unastahili ujulikane unaanza lini na utaisha lini ...lakini hapa ni kubahatisha tu....
Halafu bus station ndio inamaana ganai ikawa na kuta kuuuubwa kibonzo bonzo yaani kufanya mabo pasipo na hekima balaa
 
Yaani hata time frame hamna...mradi unastahili ujulikane unaanza lini na utaisha lini ...lakini hapa ni kubahatisha tu....
Halafu bus station ndio inamaana ganai ikawa na kuta kuuuubwa kibonzo bonzo yaani kufanya mabo pasipo na hekima balaa
daah mi sijui hayo mkuu inawezekana huu mradi ulishuka kutoka mbinguni aisee yaani hata hsuna time plsn haujulikani umeanza lini wala haujulikani itaisha lini duuj,,,kumbe kuna liukuta kubwaa,,,daah kweli Tz ni miyeyusho yaani huea sielewi kabisa hayo mambo
 
Hahaha. Terminal ambayo imezungukwa na matope kote kote? Basi zitakwama sana kwanza kumbuka msimu wa mvua unakuja. Yaani hamuwezi kuweka cabro works au hata lami? Wajinga sana nyie.
Pamoja na kuponda lakini rohoni umeikubali kwamba wanaume wanafanya vituz ktk kanda hii
 
Huyu Kikwete ni Rais wa hovyo kupata tokea. Yeye humuongelea mbovu Magufuli kidiplomasia na ndio kiongozi or mwanachama wa Group la kina Mwandosya na Balozi Hamis Khagasheki.

Group hili, linaratibu matukio mengi sana ya kimtandao.

Neno " kuji Mwambafy" ndani ya Chuo Kikuu Dar es salaam na madongo mengi ya dhidi ya Magufuli kwenye msiba wa Mkapa aliongea in Mtwara.

Magufuli anachukiwa sana na wengi including fellow presidents kwakua, amefanya na anafanya walioyosema impossible kwa raia, hivyo kufanikisha kwake mambo mengi kuna waumbua uongozi wao.

Ndio kisa cha chuki ba wivu.

Sasa kwa mbulula usiyejua A-B, ukiona barakoa unatafsiri kivyako.
Yapi aliyofanya huyo Jiwe ya maana kwa nchi na kuboesha hali za maisha ya watu zaidi ya kuharibu uchumi na kujisifia na timu yake ya praise team? Subiri amalize temu yake matusi atakayooga hata kaa asahau na aamini.

Huyu ndio rais aliyefanya mamiradi ya hovyo na yasiyo na tija hadi wenzake bungeni wameanza kumchana,mbaya zaidi amekopa kuliko rais mwingine yeyote na kujengea mamiradi yasiyo na tija kama alivyosema Musukuma kwa fasihi.

Kazi yenu na wenzio ni kupiga piga vipicha vya Dar aliyoipendezesha JK,hadi saizi kimradi cha km 200 za reli hakijakamilika na asipokamilsha kwa miaka iliyosalia hakuna rais ataendeleza kufukia pesa kwenye mradi wa kutia hasara.
 
Yapi aliyofanya huyo Jiwe ya maana kwa nchi na kuboesha hali za maisha ya watu zaidi ya kuharibu uchumi na kujisifia na timu yake ya praise team? Subiri amalize temu yake matusi atakayooga hata kaa asahau na aamini.

Huyu ndio rais aliyefanya mamiradi ya hovyo na yasiyo na tija hadi wenzake bungeni wameanza kumchana,mbaya zaidi amekopa kuliko rais mwingine yeyote na kujengea mamiradi yasiyo na tija kama alivyosema Musukuma kwa fasihi.
pole kwa kifinyo mama, ulitakiwa kujua mapema wizi ubabaishaji una mwisho.

kavae barakoa kumuenzi jk.
 
Huyu Kikwete ni Rais wa hovyo kupata tokea. Yeye humuongelea mbovu Magufuli kidiplomasia na ndio kiongozi or mwanachama wa Group la kina Mwandosya na Balozi Hamis Khagasheki.

Group hili, linaratibu matukio mengi sana ya kimtandao.

Neno " kuji Mwambafy" ndani ya Chuo Kikuu Dar es salaam na madongo mengi ya dhidi ya Magufuli kwenye msiba wa Mkapa aliongea in Mtwara.

Magufuli anachukiwa sana na wengi including fellow presidents kwakua, amefanya na anafanya walioyosema impossible kwa raia, hivyo kufanikisha kwake mambo mengi kuna waumbua uongozi wao.

Ndio kisa cha chuki ba wivu.

Sasa kwa mbulula usiyejua A-B, ukiona barakoa unatafsiri kivyako.
Tatizo la Mkwere ni kupenda sifa sana.
Kuna ile slogan yake kwamba nchi za africa haziwezi bila misaada. Nilikuwa siupendi huu basi tu.
Miradi aliyofanya Magufuli for 5yrs pamoja na kwamba haijakamilika mingine but ishafunika ile aliyofanya kikwete for 10yrs.
Hawezi furahia hilo plus tax makusanyo yamedouble.
Kwa wastaafu pekee walio hai Magu anaweza wasikiliza ni Mwinyi na Pinda.
 
Back
Top Bottom