Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mbn huwa wanasema ni $0.6bn mchina katoa? Yani hawa ni wehu kweli, wapo tayari kuikandamiza nchi yao ili wapate sifa aisee, we have the most stupid neighbor.
Wewe jamaa ni mjinga kweli. Kwani kuna tofauti gani kati ya $600m and $0.6b ? Now I understand why your education system is the weakest in Africa.
 
Mlongazila Hospital

IMG_5572.jpg
 
Hakuna nchi haina slums..cha muhimu ni nchi gani tajiri Africa mashariki..nchi gani inaogopewa Kwa masomo, spoti, uchumi,. demokrasia, GDP, Best university, Best and busy airports, Tallest buildings, many hotels, best runners, beautiful roads, etc....Kwa haya yote nime taja na mengine zaidi..kenya inaongoza Africa mashariki na ya kati Kwa haya mambo yote..NAJIVUNIA KUWA MKENYA
Kwa maneno tu mbn tayari mko mbele ya USA, cc tupo hapa kwa ajili ya mambo kwa ground
Screenshot_20210129-154017.jpg
JamiiForums-1271764689.jpg
 
Eh Bana eh...WATANZANIA mmejaa Kenya sana na tunawapenda na kuwakaribisha zaidi....Tafuteni riziki....kuna sababu hamwendi Rwanda na ug ...au kubaki home...ni kwa sababu kenya is a land of opportunities.... Karibuni Kenya ndungu zetu tunawapenda
Yah tunakuja kuwatawala, ukiona kuna raia wa nchi fulani wengi mno kwenu juwa kwamba nchi ya hao raia ni super power kuliko yenu, ivyo yani.
 
Si huwa mnasema kuna omba omba wa Tz wapo Kenya? Unadhani wamekimbia nn huku? Ni kwamba hii co nchi ya omba omba inabidi waende kwa ndugu zao
Omba omba united mna tabu
Lel kuna kilema feki kakamatwa, amesema katokea kw jiwe ana mwezi sasa
 
Sasa unapiga nduru just because I said that 99% of Zanzibar is made of Shacks? Which of course is true. It's the same shacks that recently collapsed on tourists and it's also the same shacks that tourist are complaining that are filled with bedbugs. Have you ever asked yourself why tourist who visit Zanzibar never come back?
kwani unawajua watalii wote waliowahi kufika zanzibar....?
 
Eh Bana eh...WATANZANIA mmejaa Kenya sana na tunawapenda na kuwakaribisha zaidi....Tafuteni riziki....kuna sababu hamwendi Rwanda na ug ...au kubaki home...ni kwa sababu kenya is a land of opportunities.... Karibuni Kenya ndungu zetu tunawapenda
ivi ikitokea paap......baina ya hizi nchi mbili zikakubaliana kuwa nchi moja yaani kila mtu aweze kuishi popote nakuanzisha makazi baina ya hizi nchi mbili,,bila unafki unadhani ni nchi gani itatoa watu wengi zaidi kuhamia kwenye nchi nyingine...?...

uongee ukweli wako wa moyoni usiongee unafki ,,maana hata ukiongea unafki nafsi yako itakusuta huko huko ndani kwa ndani
 
mkuu huo msemo wa kuwa hayo ni majengo ya watu wa kawaida ni watu wa kawaida jina tu,,,
hayo yamejengwa na kuitwa ya watu wa kawaida lakini in reality wanaokuja kuyavamia na kuishi ni zaidi ya watu wa kawaida yaani kwa huko kenya wanaokaa humo ni watu ambao wako njema...

mtu wa kawaida hubaki kuyatazama tu kwakuwa hawezi kuefford rent ya hayo majengo japokuwa hayana kiwango bora
emoji1.png
emoji1787.png
emoji1787.png
Mbona huko kwenu hayako?

My friend stop stressing yourself 🙂lie to those who have never been to Nairobi Sawa🙂

Show me a planned estate like that in Dar es Salaam.
 
Back
Top Bottom