Lusematic
JF-Expert Member
- Feb 2, 2017
- 12,051
- 11,839
hatariNaona nyumba za tope Nairobi!
hatariNaona nyumba za tope Nairobi!
hatujengi low quality kama zenu unfinished building.....huko uswazi hakuna tatizo kupo poa tu,,,government/private sector watawavua watu na kusimamisha mijengo siku za mbeleni......Hzo ni za watu wa chini aisee
Mna mpango gani nyie na uswazi manale sisi serekali yetu ndio inaendelea kuyainua hayo majengo kila kona
HABARI ZA WEEKEND NDUGU ZANGU WAKENYA..?...Watueee!!kuna jamaa kakasirika huku
Haamini km hzo zinajengewa watu wa chini..pole sana kijana wa lumumba


Iyo picha ya mwisho inatisha sana
Aibu napata Mimi
Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app




aswaa....nimepanic mpaka corona inaniogopaJamaa umepanic vibaya komora096 huyu umemfanyaje mpaka kaandika insha. Mimi ningependa utumie nguvu hizi hizi utuwekee estates zenye wakaazi wengi wa Dar wanaishi.






Post tu hujakatazwaHABARI ZA WEEKEND NDUGU ZANGU WAKENYA..?...
Leo tufanye kitu kimoja tu,,,mjitokeze kwa upsnde wa kenya muwe mnapost sehemu mbaya za dar na kwa upande wa tanzania tuwe tunapost sehemu mbaya za kenya yaani sehemu chafu...
pia nitawasaidia kupost picha sehemu mbaya za dar...au kwa upande wa kenya mpost sehemu mbaya ,chafu za kenya na sisi tupost sehemu mbaya za dar.....
ajitokeze mkenya mmoja tuanze hii battle![]()


Paza sauti kabisahatujengi low quality kama zenu unfinished building.....huko uswazi hakuna tatizo kupo poa tu,,,government/private sector watawavua watu na kusimamisha mijengo siku za mbeleni......
Jamaa katoa povu balaa yani hakuamini macho yake, si ajabu anatamani hata hzo nyumba zibomoke hta sai manake sio kw machungu alo nayo..Jamaa umepanic vibaya komora096 huyu umemfanyaje mpaka kaandika insha. Mimi ningependa utumie nguvu hizi hizi utuwekee estates zenye wakaazi wengi wa Dar wanaishi.
Kuta mtu anae miliki ardhi au nyumba ni mtihani🙂asilimia kubwa wanakaa kwenye ma bed sitters na sqs walobakia slums wamejaza🙂huwa hawanaga jipya wakishapost estate wamemaliza,,,,,upande wa pili huwa wanajificha.....
4M & something peoples eti wote wanaenea kuishi kwa hizo estate imekaaje hii...?![]()
My friend stop stressing yourself 🙂lie to those who have never been to Nairobi Sawa🙂
Kwn before wakomboe hzo bedsitters walikua wametokea wapi?Kuta mtu anae miliki ardhi au nyumba ni mtihaniasilimia kubwa wanakaa kwenye ma bed sitters na sqs walobakia slums wamejaza
![]()
Mkuu sasa hivi uku kwetu Corona ndo imepamba moto, tuliwacheka mlivyochukua hatua sasa ni zamu yetu kuzikana.
Hii serikali ya ccm Haina mpango na sisi watanganyika ..ngoja tuendelee kufiana
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
If this is a wealthy neighborhood in Mwanza then you don't even deserve to speak in front of Thika.
Ukinieleza hapo ni dar sehem gani mm nafunga acc jamii forum🤣🤣🤣🤣 rudisha ulipoitoa
hapana hapa hakuna cha kujifariji wala kupata faraja vitu kama hivi vyahitaji ushirikiano...Post tu hujakatazwa
Anza kupost ndio mjifariji vizuri