Lusematic
JF-Expert Member
- Feb 2, 2017
- 12,051
- 11,839
aisee ni nomaHaha dah acha tu tasks zilikuwa up to the root top asikwambie mtu
aisee ni nomaHaha dah acha tu tasks zilikuwa up to the root top asikwambie mtu
Hahahaha hivi huyu boya anawachukulia WCB kama chokoraa wa magengeniton? Huyo dancer alishakua nominated BET na international platforms kibao, anafikiri ni makirikiri 😂😂usijisumbue haumuwezi ,,,hawezi kudate na chokoraa kama wewe,,,
ni bora uendelee kupost estate na life ya nairobi cbd hapa ,,siku iende tu
Kulazimisha Dar ifanane na na kibera namba nane🙂Mgeni huyo ila naye atanyooka tu.
Ushawahi Wakenya wanawezana na madada wa Bongo (Tanzanitee)? Nyie kwanza nakskia hamtahiliwi ndo mana huwezi pata Tanzanitee wewe, cc ndio tunachukua dada zenu kuanzia Amani-Ay, mpk icho kidemu cha Mondi japo nao ni circumsized women.Kenya is a very beautiful country...Siwezi kuja ishi ardhi ya tz mimi...
labda Kidogo tu nifate yule dada dancer wa zuchu mweupe...huyo tu ndio atanileta upande huo..na baada ya kujirithisha nirudi ardhi ya kenya
🤣 🤣 🤣zipo nyingi,,sina picha wait ninunua kadrone nikuchukulie site kisha nitakujuza mama masakuu
Jana nilikuulizia mkuuMdada dancer wa Zuchu mweupe ndio yupi? Sababu naona kama wote weupe



Kafanye tohara kwnzaisee watanzania namtaka huyu demu...dancer wa zuchu...huyu pekee ndiye atakaye nileta huko tz....Yuatwa Nani vile...atakaye niubganishia nitamkaribisha Nairobi wiki nzima Kwa gharama yangu...And then I'll take you to the tallest building in East Africa






We umeshawahi kufika DSM?🙂maana Mimi Nairobi nimekaa tuanzie hapo 🙂?Mbona huko kwenu hayako?
Show me a planned estate like that in Dar es Salaam.
Hahahaha hivi huyu boya anawachukulia WCB kama chokoraa wa magengeniton? Huyo dancer alishakua nominated BET na international platforms kibao, anafikiri ni makirikiri![]()


wakenya wengi waliopo humu ni watu wa kuota ndoto wakiwa na bugatt wakija kushtuka in reallity life bado wanajikuta kwenye vibanda wakiwa na hard life nakukurupuka kwa kuingia JF kujifarijiUmuachie akothee nani🙂? Vitu vizuri mtaishiaga kuviona kwa YouTube 🙂Kenya is a very beautiful country...Siwezi kuja ishi ardhi ya tz mimi...
labda Kidogo tu nifate yule dada dancer wa zuchu mweupe...huyo tu ndio atanileta upande huo..na baada ya kujirithisha nirudi ardhi ya kenya
dar ni jiji mzee tembea.....![]()
![]()
Ukizipata nitag
Dar es Salaam nimefika na narudi hapo April. Nitawapeperushia picha humu.We umeshawahi kufika DSM?🙂maana Mimi Nairobi nimekaa tuanzie hapo 🙂?
Sawa, wewe post picha unitag. 🤣 🤣dar ni jiji mzee tembea.....
usipende kujifurahisha na kujidanganya
Hivi wewe una Bugatti? Kama huna tofauti yako na hao wakenya ni nini?🤣🤣🤣wakenya wengi waliopo humu ni watu wa kuota ndoto wakiwa na bugatt wakija kushtuka in reallity life bado wanajikuta kwenye vibanda wakiwa na hard life nakukurupuka kwa kuingia JF kujifariji
sina nikizipata zilizopigwa nitakutag......Sawa, wewe post picha unitag.![]()
![]()
Huna hata picha na unaboast? 🤣 🤣 🤣sina nikizipata zilizopigwa nitakutag......
😅😅😅😅 Nilimiss kijiwe kichiziJana nilikuulizia mkuu![]()
unananijua......?Hivi wewe una Bugatti? Kama huna tofauti yako na hao wakenya ni nini?![]()