Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kweli jamani 🤣🤣🤣🤣👇👇👇👇👇 usiniambie kibera mumeihamisha dar😄😄
A2C33984-5DD9-4CF5-94DF-8DA7732EF266.jpeg
 
@Lusematic,where do majority of dar residents live, nipewe jibu.
hatuna wote tunaishi uswahilini,,karibu sana chief....

vile vile tunaweza kushirikiana tukapost sehemu mbovu mbivu mimi nikapost sehemu mbovu za dar uswahilini na wewe ukapost sehemu mbovu za nairobi...

unaonaje hili swala...?...maswala ya lunda estate,oysterbay sijui tuachane nayo
 
ukiona anaandika kinyonge hivyo maana yake hiyo battle haiwezi.

kwamba kupiga mpinzani punch ni kujifariji.

Sent from my DUB-LX1 using JamiiForums mobile app
hawana ujanja huo tena nimemwambia kuwa nitamsaidia kuonyesha kwa dar sehemu chafu chafu kabisa bila hiyana ili tuelewane vyema halafu tutatembea kwa maskini appearence ya watu choka kwenye madampo wanaolala chini ya madaraja n.k
 
hawana ujanja huo tena nimemwambia kuwa nitamsaidia kuonyesha kwa dar sehemu chafu chafu kabisa bila hiyana ili tuelewane vyema halafu tutatembea kwa maskini appearence ya watu choka kwenye madampo wanaolala chini ya madaraja n.k
Kwn mnasubiria nini tumeni vitu
 
Huaga mnazungukia hapo slum, bedsitter, bedsitter slum ndo maisha yenu halisi
Ukoo wao umezaliwa hapo hapo bedsitter sio
Hku sio tz kila mtu akifika dar basi anasahau kwao, kila mtu ana kwao huku na wala hatudharau makwetu pamoja na tamaduni zetu..

Bedsitter ni za wanafunzi na vijana wanaotafuta maisha, ukiona mtu mzima anaishi kw besitte basi ujue ameacha familia nyumbani..
Vile vile familia ya watu ambao vipato vyao ni vya wanaenda kupanga ghetto ili kupunguza gharama..

Alafu unafikiria kijana wa dar anaweza survive nairobi, rent tu itamrudisha au aishie kw slums km wale wa pale gikomba
 
Back
Top Bottom