Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Dar is slum. Nangoja wale watu wa kukataa mji wao wapinge kuwa hapa sio Dar.
IMG_20210220_234333.jpeg
 
Endelea kuokota picha mtandaoni tu. Niambie hiyo picha ni sehemu gani ya dar?
Kushoto juu karibu na wingu ni Vingunguti Machinjioni, kushoto chini ni Buguruni kwa Mnyamani, kulia chini ni Matumbi na kulia juu ni Baracuda.
 
Kizungu mingi na bado unaishi ocha, kwn huku ndio hakuna shirika la nyumba..
Hyo sababu yako peleka chato kwa sababu nchi inayoendelea vizuri lazima mchango wa private investors
Nilikupa ofa, utoke huko nchi ya laana uje Bongo. Changamka kabla sijaahirisha.
 
Kenya Moran has qualified for FIBA Afrobasket. The only East African country to do so. Which sport do Tanzania good at apart from witchcraft?


IMG_20210221_001119.jpeg
IMG_20210221_001020.jpeg
IMG_20210221_001018.jpeg
IMG_20210221_001224.jpeg
 
That place looks like Dandora dumpsite
Hapo utaambiwa kuna maghorofa, hawa majamaa wajinga, kisha utakuta mjinga mmoja atakuja hapa aseme wao wanapenda kujijengea private houses lkn ukiziangalia kw mbali unaona heri uendelee ku rent mjini na ujijengee nyumba nzuri tu kwenu kijijini
 
Back
Top Bottom