Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

1613823594001.png
 
Yaani dar mna ghorofa tatu amabazo huwa mna zipiga picha kila upande.. halafu na kale ka ubungo bridge washamba wa tz huenda kupigia picha ahpo na ku propose wakiwa hapo juu ya ubungo...ilipokuwa inaundwa mlitutishia saana kumbe ni ka daraja ka kijinga tu....enyewe maskini akipata matako hulia mbwata. OYAA tazama viveo hizo halafu ujionee jinsi nairobi ipo juuu, na dar ni takataka mbele ya nai
rudia tena ongeza sauti hatujakusikia,,,,,,wala hatujakuelewa
 
kwa taarifa yako hii battle imeanzishwa 2017 bado hujamaliza chuo (mkazi wa Mathare uyo hana elimu iyo mkuu). kitu cha maana dar ilikuwa nacho ni BRT tu.

flyover hazikuwepo.
airport haikuwepo terminal III.
masoko hayakuwepo ya maana.
tulikuwa ldc bado.
hakukuwa na ndege hata moja.
hizo tower 5 ambazo unaona ni tatu, zilikuwa tatu.

endelea kufukia kichwa mchangani kama utapta nafuu, wenzako wanaleft chart maana mambo ni mazito.


Sent from my DUB-LX1 using JamiiForums mobile app


Mkuu nadhani hii imekaa vizuri zaidi
 
HALAFU TZ HAMNA POICHA ZA ESTATES NZURI ZA KWENU NA TUZIONE
zipo sema hatuna estate zakufana nyingi .....

tupo tofauti na nyie ,,kwa kifupi tuna mifumo tofauti tofauti nyie mmetuzidi kwa wingi wa estate pekee na sisi tumewazidi upande kwa wingi wa ujenzi wa kila mtu kumiliki nyumba yake na kujenga design aipendayo
 
faoro pumzi imeisha?! na picha zako za kuokota?!karibu Dar es Salaam ujionee mwenyewe kuna mwenzako mmoja alikuja akaishia kutafuta mtaa wa mabanda hakuupata!Hasira zilimjaa mno.
 
Tazameni ukuta wa kuzuia mmomonyoko wa Udongo. Hii ni western Bypass Nairobi ambayo itakamilika mwaka ujao. Yaani ukuta mzito na mkubwa kama huu hata Thika road haina. Obviously Tanzania pia hamjawahi kuona kitu kama hiki.
View attachment 1684959


Ukuta wa aina yake huu
View attachment 1684961

Barabara yenyewe itakuwa pana
View attachment 1684963

Kwenye sophistication ya barabara hamtuwezi. Leteni battle kwenye mambo mengine lakini sio kwenye sophistication ya barabara
Mkuu sasa hivi uku kwetu Corona ndo imepamba moto, tuliwacheka mlivyochukua hatua sasa ni zamu yetu kuzikana.
Hii serikali ya ccm Haina mpango na sisi watanganyika ..ngoja tuendelee kufiana

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
huwa hamnaga kipya cha kupost hapo nairobi zaidi ya estate ambazo kila siku ni hizo hizo tu

hapo ndiyo mwisho wenu
NYI na nyinyi hamna cha ku post isipokuw aubungo bridge na zile ghorofa tatu zilijengwa juzi
 
Ukitazama idadi ya viwanda vipya vinavyojengwa haupati shida kujua tutakuwa wapi in 5-10 yrs. Miundombinu ndiyo hakuna hata haja ya kuiongelea.

Leo nilikuwa naangalia miradi ya ujenzi bandari za Tanga, Mtwara, na ziwa Nyasa. It's spectacular, we are going to kill people with this president.
Mkuu, kuna airport inajengwa kule Mtwara pia na Wachina walewale waliojenga Mkapa Stadium, kampuni ya BCEG(Modern Stadium in Sub Saharan Countries except Soccer City in RSA)
 
Mkuu sasa hivi uku kwetu Corona ndo imepamba moto, tuliwacheka mlivyochukua hatua sasa ni zamu yetu kuzikana.
Hii serikali ya ccm Haina mpango na sisi watanganyika ..ngoja tuendelee kufiana

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Hata hivyo naipenda sana imani ya rais wenu kwamba kila kitu kitakuwa shwari... Ana imani sana kwa Mwezi. Mungu
 
Back
Top Bottom