Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

huyu jamaa ndo kajenga station za Compressed Natural Gas kule mtwara.. sehem ya replies kasema wameyawekea mfumo wa gas magari(trucks) 250
IMG_1612603503.108087.jpg
IMG_1612603548.407877.jpg
 
Yaani Geza nyinyi pia mna Wasomali huko Tanzania? Dadeki. Sikujua hili.
The best 007 yaani mna Wasomali huko na mbona sikuwa nalifahamu jambo hilo?
Moja wapo ya nchi za afrika ambayo ipo na history ya mixed races from all over the world ni nchi yetu tukufu Tanzania na Wala hotowahi kuskia unaulizwa we kabila ghan 🙂ukabila na race hauna nafasi bongo,mbongo ni mbongo tu🙂ukabila tuliwaachia nyie🙂
 
Moja wapo ya nchi za afrika ambayo ipo na history ya mixed races from all over the world ni nchi yetu tukufu Tanzania na Wala hotowahi kuskia unaulizwa we kabila ghan [emoji846]ukabila na race hauna nafasi bongo,mbongo ni mbongo tu[emoji846]ukabila tuliwaachia nyie[emoji846]
Watumwa nyie[emoji1787][emoji1787]
Heri tena jiwe anajitambua ndio manake hasahau keao na watu wake..
 
Tanzania ina watu wote wa east africa and central kama marehemu mzee Mungai alikua mwanasiasa mkubwa
Lkn ikija uoande wa hku kwetu hao watu wa nje mnawaita wageni[emoji1787][emoji1787]
Unafiki katika kiwango chake
 
Watumwa nyie[emoji1787][emoji1787]
Heri tena jiwe anajitambua ndio manake hasahau keao na watu wake..
Ndo maana mnapigwa viboko hadharani na wachina na wahindi🙂utumwa wetu huo huo umetuunganisha makabila na races zote tuwe pamoja VP nyie wazee wako huru? VP issue ya Tom chomley iliishia wapi? Baada ya kumpiga mkenya risasi akifikiria ni monkey?🙂
 
Ndo maana mnapigwa viboko hadharani na wachina na wahindi[emoji846]utumwa wetu huo huo umetuunganisha makabila na races zote tuwe pamoja VP nyie wazee wako huru? VP issue ya Tom chomley iliishia wapi? Baada ya kumpiga mkenya risasi akifikiria ni monkey?[emoji846]
Nyie mumepotoshwa ke kisingizio cha ukabila ndio mkatengezewa kabila moja kuu..
Mila na tamaduni za ccm heri tena kabila langu, hapo sai ukijichanganya RC anakupiga viboko au mchina akupige karate
 
tokalini wakunya wakajua kuvaa wewe?
yan nyie mnauhaba na vitu vizuri so hamjui vizuri vinafananaje [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji86][emoji86][emoji86][emoji86][emoji86][emoji86][emoji86][emoji86][emoji118]
Umepanic[emoji1787][emoji1787]
Uzi wa adidas huo, bila shaka umeupenda lkn unaona haya
 
Tanzania ina watu wote wa east africa and central kama marehemu mzee Mungai alikua mwanasiasa mkubwa
Huyu Mungai sijui alikuwa na agenda gani ya siri na elimu yetu, kipindi cha uwaziri wake wa elimu alifuta masomo ya biashara kwa o'level akaunganisha physics and chemistry ikawa somo moja kuanzia form one mpk form four, ni mkenya mamluki huyu ameharibu maisha ya watu.
 
Umepanic[emoji1787][emoji1787]
Uzi wa adidas huo, bila shaka umeupenda lkn unaona haya
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji205][emoji205][emoji205][emoji205][emoji205][emoji205][emoji205][emoji205][emoji205][emoji205][emoji205][emoji205][emoji205][emoji205][emoji205][emoji85][emoji118]
20201227_122532.jpg
 
Huo

Uliopewa ndio ukweli mzee.upinzani wa bongo now upo negative sana kiufupi haulitakii mema taifa letu kwahyo hautawahi kuona wakisifu hata mzee afanye mema yepi. Kwakifupi upinzan kwa tz ni upuuzi tu kama kutembea uchi na aina zingine za upuuzi unazozijua
you might be correct, but I doubt any Tanzanian anaweza kua haitakii mema nchi yake, just because wapinzani wako na different ideology politically haimanishi wao ni adui wa taifa, your argument is a total fallacy fed by propaganda, it is clear your blind patriotism has clouded your judgment on the matter. However yule jamaa ambaye alitoa jibu lake alikua sahihi, he gave a clear observation objectively, lakini kwa vile hampendi ukweli unao onyesha aibu mtatoa vijisababu., the dude was actually correct. The best anyone would have done munge mu prove wrong tu.
 
Back
Top Bottom