Kalio bangi [emoji3][emoji3][emoji3]Hatuziwezi kivipi, manake km ni kisoka hata kariobangi anajipigia tu wote hao
Wapo wengi tu, huyo Bashe anatokea Tabora.Yaani Geza nyinyi pia mna Wasomali huko Tanzania? Dadeki. Sikujua hili.
The best 007 yaani mna Wasomali huko na mbona sikuwa nalifahamu jambo hilo?
Naona concrete jungle [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Expressway is meandering smoothly in Westlands. There is a certain poor country that hasn't completed 9km road after 4 years of construction.View attachment 1695821View attachment 1695822View attachment 1695823View attachment 1695824View attachment 1695825
endelea kupost nyumba za wahindi na wazungu tu, tafutenu uhuru wa kiuchumi kwanzaThe Capital of East Africa.View attachment 1695828View attachment 1695830
Ni aibu capital of East Africa iwe hivi ni aibu sana.The Capital of East Africa.View attachment 1695828View attachment 1695830
Kwanza EA haina port yenye crude oil storage terminal! Kwahiyo huna unachojua kwenye magnitude ya terminal ya crude oil ya ku-handle 200,000 barrels a day!Wewe tatizo lako ni kwamba wewe sio mwepesi wa kuelewa mambo. Sasa Tanga itakuwaje the biggest port in East Africa? Itashindaje port of Mombasa kwa weight of cargo handled? Hata tukiconvert lita za mafuta zitakazopitia port of Tanga from litres into tonnes bado port of Tanga haitafikia port of Mombasa in terms of tonnage of cargo handled. So in terms of tonnage of cargo handled, Mombasa ni King leo na itazidi kuwa King hata siku za usoni hata wakati EACOP itakapoanza kufanya kazi. Hata siku za usoni Mombasa bado itakuwa inahandle more tonnes than Tanga. Na ukubwa wa port huwa inapimwa aidha na tonnes handled au TEUs handled.
Najua basi!? Timu za Kenya kiukweli huwa sizifahamu.hyo jersey nyeupe ya gol mahia ndo ya mech za kimataifa au?
Mwalimu snaheshimika duniani kote. Legacy yake is unquestionable, tafuta tu interviews zake YouTube utaelewa what kind of person Mwalimu was. Angalia pia state visits zake US, UK, China utaona vile nchi hizo zilisimamisha shughuli zake kwa kumpokea.Huyu Mwalimu japo nakubali alikuwa mtu mzuri ila huwa mnamuabudu sana.
Cecafa zote naona ni timu za Tz na Uganda ndio zimedorminateMajivuno tu haya lakini tukifika uwanjani nyang'au huwa tunawatandika vibaya sana. Kwenye Cecafa tumezoea kuwapiga kama watoto wetu.
Yaani timu ya Kenya imenyakua kombe mara ya mwisho miaka 13 iliyopita!Cecafa zote naona ni timu za Tz na Uganda ndio zimedorminate
View attachment 1695868View attachment 1695869
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] sasa hilo ndio jina ilkua we unatakajeKalio bangi [emoji3][emoji3][emoji3]
Lkn wale waliozaliwa kenya huaga mnawakataaWapo wengi tu, huyo Bashe anatokea Tabora.
onyesha evidence tumewakataa wasomali wa kenya? sisi tunawatetea kila siku dhidi ya dhulma mnayofanyia! mnawasingizia ati ni Al Shabaab!Lkn wale waliozaliwa kenya huaga mnawakataa
Hehehe!!leo unapinga na wakati mnasema wameiteka kenya mkitumia mifano ya eastleighonyesha evidence tumewakataa wasomali wa kenya? sisi tunawatetea kila siku dhidi ya dhulma mnayofanyia! mnawasingizia ati ni Al Shabaab!
leta evidence!Hehehe!!leo unapinga na wakati mnasema wameiteka kenya mkitumia mifano ya eastleigh
Leo imekua mnawatetea sio na huaga mnashinda mkisema wataichukua nchi[emoji1787][emoji1787]onyesha evidence tumewakataa wasomali wa kenya? sisi tunawatetea kila siku dhidi ya dhulma mnayofanyia! mnawasingizia ati ni Al Shabaab!
Evidence gani hyo unayotaka na huaga mnakataa..leta evidence!