Tanzania must be doing something right. Jamani kwenye tourism mnaelekea kuzuri sana. Siri ni nini?Ngoro ngoro hiyoo,mungiki vitu kama hivi wanaishia kuviona kwenye picha
Majivuno tu haya lakini tukifika uwanjani nyang'au huwa tunawatandika vibaya sana. Kwenye Cecafa tumezoea kuwapiga kama watoto wetu.Kwa kauli hii mana ake umeshatii kuhusu football clubs so case closed, ongelea mbio![]()
Sasa komora096 inakuaje hatuwafikii kwenye kuchapa dimba lakini clubs za bongo ndio zinaiwakulisha East Africa kwenye mashindano makubwa Tena zinafika mbali.?Tumerudi pale pale pa uwekezaji mbovu huku kwetu, lkn likija swala la kuchapa dimba wenzetu wala hamtugusi
Hata tukimuabudu nini kinakuuma!?Huyu Mwalimu japo nakubali alikuwa mtu mzuri ila huwa mnamuabudu sana.
Tony254, tuzo ni bidhaa gani?Hebu tulinganishe.
Yanga vs Gor MahiaView attachment 1695620View attachment 1695621View attachment 1695623View attachment 1695624
Kenya wanauhaba na vitu vizuri so hawezi kukuelewa maana hawajui vitu vizuriJapokuwa mimi ni fan wa yanga,lakini ngoja niwaeleshe wakunya
Mrembo komora kwa mujibu CAF jezi ya simba sc ndo jezi bora barani africa,elewa sio east bali africa yoote,gor mahia hata haijulikani ilipo
Kanisa lenyewe linamuabudu liko njiani kumfanya Mtakatifu! viongozi wa Kiafrika ukiacha wachache wa Kenya wanamuabudu! mara ngapi Raila anamtaja?Huyu Mwalimu japo nakubali alikuwa mtu mzuri ila huwa mnamuabudu sana.
Kenya kuna uhaba mkubwa wa vitu vizuri hawajui vitu vizuri so nendanao taratibu tuuWe nawe mgumu kuelewa kweli, hiyo ndiyo jezi ya Yanga uliyosema low quality.
tokalini wakunya wakajua kuvaa wewe?Kw kenya timu ambayo inatoa uzi ambao sio kanjanja naweza sema wazito fc..
Mi nimevaa jezi sana, uzi km ni wa kiboya naujua tuView attachment 1695636View attachment 1695637
msnambie mekata tamaa mapema hivyoo (komaeni kuichafua tz 😂😂😂😂Tanzania must be doing something right. Jamani kwenye tourism mnaelekea kuzuri sana. Siri ni nini?
Eti mlengo wa kisiasaWatz tuko huru kila mtu anachangia anavyojisikia, wengi wa wanaoponda ni wale wenye mlengo wa kisiasa especially wale waliotumbuliwa, lkn hata wao pia cku hz wameanza kuelewa taifa linaelekea wapi, co nyinyi nchi imejaa upuuzi eti mnaona haya kusema ukweli humu.

the dude is totally objective, wacha lame excuse, move on peacefully.Umesema ukweli aseeRoho zao mbaya/nyeusi kama sura zao zilivyoo.
Kwenye maeneo mengi tz ya mipaka utakuta wakenya kibao wanafanya shughuli/makazi bila hata vibali lakini wa tz hatuwachomi tunakanao kama ndugu.
Ni rahic sana mtz kumchomea myarwanda, waethiopia kuliko mkenya lakini ni tofauti sana wanavyotuchukulia tukiwa kunya land
Nyerere angekuwa Mkenya, Dunia isinge pumuaHuyu Mwalimu japo nakubali alikuwa mtu mzuri ila huwa mnamuabudu sana.
Uliopewa ndio ukweli mzee.upinzani wa bongo now upo negative sana kiufupi haulitakii mema taifa letu kwahyo hautawahi kuona wakisifu hata mzee afanye mema yepi. Kwakifupi upinzan kwa tz ni upuuzi tu kama kutembea uchi na aina zingine za upuuzi unazozijuaEti mlengo wa kisiasathe dude is totally objective, wacha lame excuse, move on peacefully.