Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

. Na wahindi nao wanatumia lolh.!! Watu wapo na technology za hyperloop sie tunashindana kwa SGR 😂😂😂 Africa nani ameturoga ,ila Kenyans mko na Safar ndefu sana diesel SGR Tena it's 120km/h 😂😂 et AE economic hurb dunia ikujua mtachekwa sana 😂😂😂
 
Tony254, tuzo ni bidhaa gani?
Ni maziwa ya Brookside. Yaani hujui hilo. Hiyo ndio maziwa ambayo mngekuwa mnakunywa sasa hivi kama hamgezuia maziwa ya Uhuru kuja Tanzania
images.jpeg
images (1).jpeg
 
. Na wahindi nao wanatumia lolh.!! Watu wapo na technology za hyperloop sie tunashindana kwa SGR 😂😂😂 Africa nani ameturoga ,ila Kenyans mko na Safar ndefu sana diesel SGR Tena it's 120km/h 😂😂 et AE economic hurb dunia ikujua mtachekwa sana 😂😂😂

Hyperloop haitumiki commercially mahali popote kubeba watu. Hii technology bado iko kwa testing phase. Bado haijakuwa certified kama safe technology for use by the general public na nchi yoyote.
Ni kama tu taxi drones ambazo zipo na zinaweza kubeba mtu ila bado ziko kwenye testing phase na hakuna nchi ambayo ina taxi drones zinazafanya kazi commercially.
 
. Bora ya Egypt inaejitahid kuendana na dunia, EA unafki na kujisifia kwingi 😂😂 Kenyans wa kutumia vizuri adjective mpo.? (The biggest.. in Africa 😂😂 the most beautiful what not in Africa 😂😂 the longest I don't in Africa 😂 😂😂 ) jirani mnafurahisha sana .ukija ground Ni vumbi tu The best 007 sema na ndugu zako hao

Tatizo la majirani ni kelele yet hawana mpunga!
 
Japokuwa mimi ni fan wa yanga,lakini ngoja niwaeleshe wakunya
Mrembo komora kwa mujibu CAF jezi ya simba sc ndo jezi bora barani africa,elewa sio east bali africa yoote,gor mahia hata haijulikani ilipo
Sisi tunaongea kuhusu Yanga na wewe unabweka kuhusu Simba. Nini mbaya na wewe? Sisi tunasema Yanga ina jersey mbaya.

Cc komora096
 
Ni maziwa ya Brookside. Yaani hujui hilo. Hiyo ndio maziwa ambayo mngekuwa mnakunywa sasa hivi kama hamgezuia maziwa ya Uhuru kuja Tanzania
View attachment 1695760View attachment 1695761
Nikuambie kitu nnikiwa Kenya huwa sigusi maziwa yenu🙂 zina ujazo wa vitu flani,sijui soya au ingredient ghan nikiyagusa tu napata kichefu chefu,kwa hiyo mda mwingi ina nilazimu kunywa chai ya rangi🙂na si Mimi tu wengi tunaofanya nao kazi Wana lalamika pia mwanzoni kulikua na KCC maziwa Yao yalikua vizuri,mount Kenya ilikua nzuri pia,nikiwa huko nikajaribu gold crown kwa mda ilikua safi tu lakin saiv kiukweli hamna maziwa 🙂watu wamekua wajanja Bora maziwa direct kutoka kwa ngombe.
 
Majivuno tu haya lakini tukifika uwanjani nyang'au huwa tunawatandika vibaya sana. Kwenye Cecafa tumezoea kuwapiga kama watoto wetu.
Hujaona Brazil akikutana na Mexico huwa anapata tabu? Ni kwasababu Mexico huwa anakamia mechi.
 
Back
Top Bottom