Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

EskOlSoXEAEs5D9






















MYTAKE

Majirani wakiambiwa Tanga port is poised to be the largest port in the region hupiga njuru ya kukataa! Ila ukweli utajulika mwaka huu in the first half pale ujenzi wa EACOP utakapoanza! hii gas pipeline ya kutoka Dar-Tanga-Mwanza nadhani GoT inaweza kuchukua loan maana so far debt to GDP ratio ipo chini ya 35%!

CC: Tony254
 
EskOlSoXEAEs5D9






















MYTAKE

Majirani wakiambiwa Tanga port is poised to be the largest port in the region hupiga njuru ya kukataa! Ila ukweli utajulika mwaka huu in the first half pale ujenzi wa EACOP utakapoanza! hii gas pipeline ya kutoka Dar-Tanga-Mwanza nadhani GoT inaweza kuchukua loan maana so far debt to GDP ratio ipo chini ya 35%!

CC: Tony254

Wewe tatizo lako ni kwamba wewe sio mwepesi wa kuelewa mambo. Sasa Tanga itakuwaje the biggest port in East Africa? Itashindaje port of Mombasa kwa weight of cargo handled? Hata tukiconvert lita za mafuta zitakazopitia port of Tanga from litres into tonnes bado port of Tanga haitafikia port of Mombasa in terms of tonnage of cargo handled. So in terms of tonnage of cargo handled, Mombasa ni King leo na itazidi kuwa King hata siku za usoni hata wakati EACOP itakapoanza kufanya kazi. Hata siku za usoni Mombasa bado itakuwa inahandle more tonnes than Tanga. Na ukubwa wa port huwa inapimwa aidha na tonnes handled au TEUs handled.
 
Yaani Geza nyinyi pia mna Wasomali huko Tanzania? Dadeki. Sikujua hili.
The best 007 yaani mna Wasomali huko na mbona sikuwa nalifahamu jambo hilo?
tunao sio wa Asili lakini bali kuna wiliohamia Tanzania toka miaka ya 1970 wengine wako Sumbawanga ila hatuna kabila la Kisomali! na huyu ni Myamwezi wa Kisomali toka Nzega na ni Naibu Waziri wa Kilimo! Vp roho inakuuma?
 
Yaani Geza nyinyi pia mna Wasomali huko Tanzania? Dadeki. Sikujua hili.
The best 007 yaani mna Wasomali huko na mbona sikuwa nalifahamu jambo hilo?
Utajuaje wakati sisi hatuangalii kabila Wala rangi ya mtu ...si tunamjua ni mtz na amezaliwa tz hayo mambo ya huyu msomali sijui mhindi endelezeni kwenu huko sio tz
 
tunao sio wa Asili lakini bali kuna wiliohamia Tanzania toka miaka ya 1970 wengine wako Sumbawanga ila hatuna kabila la Kisomali! na huyu ni Myamwezi wa Kisomali toka Nzega na ni Naibu Waziri wa Kilimo! Vp roho inakuuma?
Asante. Nimejifunza jambo mpya leo.
 
Back
Top Bottom