Trubarg
JF-Expert Member
- Jan 8, 2020
- 4,394
- 7,242
Wanapita watu kumi kwa siku
Wanapita watu kumi kwa siku

.. nacheka sana afu nina maswal mengi 

Jam ya kuenda airport wakenya hawapendi Kukaa kwa traffic and it's a major highway connecting other counties to mombasa route so people who are in transit from other counties to mombasa and dont want to waste time when they reach nairobi and also tracks going to tanzania and Mombasa. It's like a bridge over nairobikuna ile ya nairobi expressways ya kulipia.. nacheka sana afu nina maswal mengi
kwa uchumi wa kusuasua walionao.. hiv nn kitachowashawishi watu kupita ya kulipia na kuacha ya kupita bure?? at least ingekuwa inapita juu ya water bodies kama Salender bridge, Busis-Kigongo au Kigamboni ningeelewa!
Wewe ni mjinga wa mwisho...Tanzania is the most peaceful country in Africa. Ni kwa nini? Ni uoga wenu wa kuogopa kupindua serikali au ni nature yenu kutulia kama maji ya mtungini? Hata hamna rebels kwenye nchi yenu yet rebels wako katika 80% ya nchi za kiafrika. Aisee shukuruni mwalimu kwa kuwafanya muwe watulivu na waoga. Vita sio jambo nzuri.
Wacha kutudangany melundikaka kwa slums ni km 1mill tu ya wakenya wanao ishi kwa izo apartment wengine wote hohehaheunazunguka tu sehemu moja tu, na kwa wivu na machungu unasema eti 70% ya Nairobians wanaishi kule, uko desperate sana hehehe, Dar umaskini umetapakaa 90% of sq km, iko wazi tu!, 60% of Nairobians live in eastlands Kibera iko Southlands.,, nionyeshe sehemu ya average Dar residents of this magnitude., weka hapa., ukipata such in TZ ya normal residnets nafunga account humu., video clips, nipe nikupe..,
EASTLANDS.,
BURUBURU an estate in Eastlands..,
Punguza unachotumia na tufanye real research kenya si level yenyu it's high time mkubali mnajaribu ndio lakini bado...Wacha kutudangany melundikaka kwa slums ni km 1mill tu ya wakenya wanao ishi kwa izo apartment wengine wote hohehahe
Ukweli gani naujua hebu niambie ni ukweli gani wakat source zinasema 2.5m people ww unataka kujititetea kwa source gani ???🤣🤣 Mkibananaishwa mnaanza kulia kuliaUnajua wewe tatizo lako ni kwamba huheshimu ukweli. Na nilikataa kabisa kudebate na watu kama wewe. Unajua ukweli lakini unaipuuza na kudanganya ili ushinde debate. Unajua vizuri kwamba Kibera ina 250k people na hata sources zimewekwa hapa na ukazisoma lakini bado unarudi kwa ule upuuzi wako wa kusema kwamba Kibera ina 2.5 million people. Ni ngumu sana kukuelewa. Ndio maana huwa sitaki kudebate na akili punguani kama wewe maana huheshimu ukweli.
Yaani nawapongeza kwa kuwa wapole na watulivu halafu wewe unanitukana? Una mtindio wa ubongo wewe.Wewe ni mjinga wa mwisho...
Kutopigana ni highest level of civilazation.
Sun Tzu...
Katika kitabu chake anasema njia bora kuliko zote Duniani ya kushinda vita ni tutopigana...
Yaani ndani ya nchi yenu mnataka mpigane wenyewe kisa nini?
Kisa kabila lenu halijoatoa Rais ?
Kisa Dini yenu haijatoa Rais?
Kisa hamna mkate?.
Kwa nini msikae mkalima pamoja? Au mnapigania maji kwa nini msikae mkachimba kisima pamoja?.
Hakuna sababu ya maana nchi zenye rebels zinapigania
1. Libya waliazani wanamtoa Ghadafi kumbe wana serve selfish interest za watu.
2. Yemen, Syria, Ukraine.
3. Kenya 2017 mliuana kwa ajili ya Uhuru na akina Raila nini mmepata ?, na bado tu hamjajifunza? Bado mnaradio za Makabila, kwa tabia yenu mlivokuwa wabinafsi mkaanzisha ugatuzi na soon mtakuwa na federal goverments.
Ulishwahi kuumuliza baba yako kwa nini ulikuwa hilo Kabila lako?, je ungekuwa kabila lingine ungebadilika nini?.
Yaani kama hii ndio mindset yenu, kweli mnasafari ndefu...
Wazungu walipigana wakati ni wajinga walipogundua sio tofauti wakaungana... Acheni mawazo ya kinyani
Sent using Jamii Forums mobile app
Sehemu moja tu nimekupa ili ulie nayo kwanza ukimalizana na hio sema nikupe nyingine 😅😅😅😅😅😂 😂 😂 😂 😂sehemu ya Mombasa tu., kojoa ulale bro.,
🤣🤣🤣🤣🤣 imeishia kupaka rangi tu pale thika na kuita BRTTony,nicxie,Simba,yosef,Kiki hii project iliishia wapi??😃😃tupeni updates👇👇👇👇
Wacha nikuongezee tusi.Yaani nawapongeza kwa kuwa wapole na watulivu halafu wewe unanitukana? Una mtindio wa ubongo wewe.