Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Swali ni ipo au haipo🤣🤣🤣 na kama ipo basi jibu unalo

balala ni miongoni mwa waziri vilaza wakenya hata sishangai maneno yake 😄😄😄
Linapita juu ya miti na bushes. Sasa hio ni expressway gani?
 
Hhaaaahhaa hilo eneo siwezi ishi wala kukatiza mitaa yake,maana jina lake latisha!😃😃
Sema mazingira magumu eneo Hilo,lakin watu wa Hilo ghetto wako peace Sana sijui mda mwingi ni shida huwa zinawafanya watu wanakua wapole au VP?🙂
 
Yaani ni shida mazingira ya Kule mtihani 😔Libya ilikua nchi nzuri hata ukifika Kule infrastructure inakuambia bahati mbaya inchi haiko stable Kama zamani
Kuna Wakati zamani kidogo Libya ndio ilikuwa na one of the highest standards of living in Africa. Ilikuwa ndio nchi ya Kiafrika yenye Gni per capita ya juu. Masomo bure, maji bure, apartments wanapewa bure na serikali. Yaani hakukuwa na masikini kule. Halafu serikali ilikuwa inapokea pesa nyingi kwa kuuza mafuta na haikuwa inafuja pesa through corruption. Pesa yote ilikuwa inakwenda kwenye kujenga taifa.
 
Kuna Wakati zamani kidogo Libya ndio ilikuwa na one of the highest standards of living in Africa. Ilikuwa ndio nchi ya Kiafrika yenye Gni per capita ya juu. Masomo bure, maji bure, apartments wanapewa bure na serikali. Yaani hakukuwa na masikini kule. Halafu serikali ilikuwa inapokea pesa nyingi kwa kuuza mafuta na haikuwa inafuja pesa through corruption. Pesa yote ilikuwa inakwenda kwenye kujenga taifa.
Jamaa wa Libya wanalia na kujutia Sana,tukiwa Kule unaambiwa safety na security not guaranteed ukitoka kwenye kambi za UNHCR mda wote lazima utoe taarifa unaenda wapi na kama sio dharura tulia tu, armoured vehicles ndio usafiri wenu everytime Yani huwa nawaza Sana nashukuru mungu Sana kwa Tanzania yetu.
 
Jamaa wa Libya wanalia na kujutia Sana,tukiwa Kule unaambiwa safety na security not guaranteed ukitoka kwenye kambi za UNHCR mda wote lazima utoe taarifa unaenda wapi na kama sio dharura tulia tu, armoured vehicles ndio usafiri wenu everytime Yani huwa nawaza Sana nashukuru mungu Sana kwa Tanzania yetu.
Tanzania is the most peaceful country in Africa. Ni kwa nini? Ni uoga wenu wa kuogopa kupindua serikali au ni nature yenu kutulia kama maji ya mtungini? Hata hamna rebels kwenye nchi yenu yet rebels wako katika 80% ya nchi za kiafrika. Aisee shukuruni mwalimu kwa kuwafanya muwe watulivu na waoga. Vita sio jambo nzuri.
 
Tanzania is the most peaceful country in Africa. Ni kwa nini? Ni uoga wenu wa kuogopa kupindua serikali au ni nature yenu kutulia kama maji ya mtungini? Hata hamna rebels kwenye nchi yenu yet rebels wako katika 80% ya nchi za kiafrika. Aisee shukuruni mwalimu kwa kuwafanya muwe watulivu na waoga. Vita sio jambo nzuri.
sio uoga hata, ila hatuna shida kama nyie kiasi cha kufanya watu waasi taifa lao,
mgawanyo wa maendeleo upo kwa usawa maeneo yote ya tz so why rebels? wakati raia wote ni sawa tz hata tofaut ya kipato sio ķubwa hapa sahaauni tuu uasi tz
 
Back
Top Bottom