Wewe ni mjinga wa mwisho...
Kutopigana ni highest level of civilazation.
Sun Tzu...
Katika kitabu chake anasema njia bora kuliko zote Duniani ya kushinda vita ni tutopigana...
Yaani ndani ya nchi yenu mnataka mpigane wenyewe kisa nini?
Kisa kabila lenu halijoatoa Rais ?
Kisa Dini yenu haijatoa Rais?
Kisa hamna mkate?.
Kwa nini msikae mkalima pamoja? Au mnapigania maji kwa nini msikae mkachimba kisima pamoja?.
Hakuna sababu ya maana nchi zenye rebels zinapigania
1. Libya waliazani wanamtoa Ghadafi kumbe wana serve selfish interest za watu.
2. Yemen, Syria, Ukraine.
3. Kenya 2017 mliuana kwa ajili ya Uhuru na akina Raila nini mmepata ?, na bado tu hamjajifunza? Bado mnaradio za Makabila, kwa tabia yenu mlivokuwa wabinafsi mkaanzisha ugatuzi na soon mtakuwa na federal goverments.
Ulishwahi kuumuliza baba yako kwa nini ulikuwa hilo Kabila lako?, je ungekuwa kabila lingine ungebadilika nini?.
Yaani kama hii ndio mindset yenu, kweli mnasafari ndefu...
Wazungu walipigana wakati ni wajinga walipogundua sio tofauti wakaungana... Acheni mawazo ya kinyani
Sent using
Jamii Forums mobile app