Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Uko spot on. SA hata wakiingia recession kwa miaka kumi mfululizo bado watakuwa mbele ya nchi nyingi sana hapa Africa. They have the systems in place so hata wakizembea bado they will still be ahead of us. Sisi sasa hivi ndio tunajenga misingi za kiuchumi ilhali SA tayari wanazo kwa miaka nyingi.
Sysytem ya uchumi ya kizamani ni tofauti sana na system ya sasa kijana.
Upo too primitive na hutaki kubadilika. Technology inabadili mambo mengi sana kwa kasi.

SA ilikuwa inakimbia sana kutokana na production ya Gold(Aurum). Lakini kwa sasa technology imebadilika. And in near future Gold yatakuwa madini ya kawaida tu maana mfumo wa kifedha unabadilika kwa kasi. Tunaingia katika digital money na siyo gold tena.

Wake up kijana.
 
Report iliyo tolewa na world Bank kuhusu extreme poverty in Tz uliisoma wewe?, Walitumia Kigezo cha LDC $0.99. na mkapatikana fukara millioni 28 , kwa sasa wataanza kutumia $2.99 since mko lower middle income., Wacha tusubiri tuone
Ww ulisoma hiii au ni kichaa kimekujaa
Screenshot_20201222-174859.jpg
Screenshot_20201222-175133.jpg
 
Hii wimbo ya Sisi emu iweke kando. Ni uongo mtupu kwamba hamkuwa na uchumi mkubwa zamani. Hata kama mlikomboa nchi zingine hiyo haikuwazuia kujenga uchumi wenu. In fact kuna wakati kwa miaka kadhaa nadhani in the 1980s au 1990s mlikuwa na uchumi mkubwa kushinda wetu. Kuna wakati Kenya tulikuwa na rais mpumbavu sana ambaye aliharibu uchumi wetu kabisa. Hata kuna wakati tulipigwa sanctions na USA. Uchumi ukazorota kabisa. Imf nao wakaja na masharti ya ujinga ya kuprivatise public companies, watu wengi wakapoteza kazi. Wakati huo tulipokuwa tunapitia mateso Tanzania ilikuwa na uchumi mkubwa kushinda wetu. Jifunze historia ya uchumi wa nchi zetu mbili sio kuimba wimbo za ccm hapa. Kwanza wakati wa Benjamin Mkapa uchumi wenu ulikuwa unatoka mbio kama wa Usain Bolt. Sijui mbona Mkapa hakupewa term ya pili maana hatungewaona. Mngekuwa first world saa hii.
Hayo mauchumi ya karatasi ni nonesense, elite Africans washaachana nayo hayo mauchumi, now vitu on ground.

Unaniambia uchumi umekuwa kwa asilimia 7 wkt sioni hospitali zikijengwa, sioni madaraja yakijengwa, sioni barabara za kisasa, sioni maji safi na salama, sioni infrastructure baharini, sioni aviation industry ikiendelea but u tell me eti uchumi umekuwa, vipi utatengeneza ajira mpya km huboreshi hayo mambo? Vp uchumi utakuwa kiukweli km huboreshi hzo sekta? huo ni ufala wa wazungu ambao sitaki kuusikia.
 
..mbona hampendi kukubali Kenya iko juu yenu licha ya obvious evidence? ni wivu ama nyinyi ni asie kubali kushindwa ?, ama kwa vile tuna changamoto?., Kwa mfano SA wanachangamoto kama zote kwa sasa, Airline inakufa recently KQ imechukua biashara ya freight yenya SA waliacha, joblessness, negative growth, several industrial strikes, licha ya haya yote hakuna siku tutasema uchumi wao ni wa kwenye makaratasi why? Ama sasa Egypt imewapiku kwasababu hawana same issues, why? coz Kuna other factors that keeps them on top: well established systems, easy to recover when environment becomes condusive.
Hizo other factors kwenu hazipo na ndiyo maana tunasema mnapika data.
 
Uko spot on. SA hata wakiingia recession kwa miaka kumi mfululizo bado watakuwa mbele ya nchi nyingi sana hapa Africa. They have the systems in place so hata wakizembea bado they will still be ahead of us. Sisi sasa hivi ndio tunajenga misingi za kiuchumi ilhali SA tayari wanazo kwa miaka nyingi.
Hiyo pia ni nchi ambayo kukosa uwepo wa wazungu ingelikuwa failed state km yenu, ni nchi ya kipumbavu yenye raia goi goi wasiopenda kufanya kazi na wenye roho mby na wivu uliopitiliza.

Yn SA without whites ingekuwa ni zaidi ya Somalia.
 
Uko spot on. SA hata wakiingia recession kwa miaka kumi mfululizo bado watakuwa mbele ya nchi nyingi sana hapa Africa. They have the systems in place so hata wakizembea bado they will still be ahead of us. Sisi sasa hivi ndio tunajenga misingi za kiuchumi ilhali SA tayari wanazo kwa miaka nyingi.
SA ni Kenya iliyochangamka.
 
Hizo other factors kwenu hazipo na ndiyo maana tunasema mnapika data.
Wewe weka hapa facts tuone Tz ni wapi na Kenya ni wapi in economic output., Hapa hakuna porojo, wacha kutapatapa na fikra zako finyu blinded by blind patriotism.,
 
Hiyo pia ni nchi ambayo kukosa uwepo wa wazungu ingelikuwa failed state km yenu, ni nchi ya kipumbavu yenye raia goi goi wasiopenda kufanya kazi na wenye roho mby na wivu uliopitiliza.

Yn SA without whites ingekuwa ni zaidi ya Somalia.
Wangekua bado ni bushmen khoi khoi na khoi San!.,
 
Kenya imeanza kuinuka 2002! We grew at negative na stunted growth in the 90s kama vile SA walivyo sasa, Check the economic differences Kati ya Ke na Tz then uone, let me be just straight with u; Tz tatizo ni uzembe ukichanganya na ujamaa iliyo lemaza uchumi, vita Ghana wamekua nazo Sana kwanza coup de tat, na wako juu yenyu., Try something else substantial bro..,
Imeanza kuinuka 2002 na toka mulipopata uhuru mulikua munafanya nn hebu tudanganye sasa😂😂😂😂
 
Hii wimbo ya Sisi emu iweke kando. Ni uongo mtupu kwamba hamkuwa na uchumi mkubwa zamani. Hata kama mlikomboa nchi zingine hiyo haikuwazuia kujenga uchumi wenu. In fact kuna wakati kwa miaka kadhaa nadhani in the 1980s au 1990s mlikuwa na uchumi mkubwa kushinda wetu. Kuna wakati Kenya tulikuwa na rais mpumbavu sana ambaye aliharibu uchumi wetu kabisa. Hata kuna wakati tulipigwa sanctions na USA. Uchumi ukazorota kabisa. Imf nao wakaja na masharti ya ujinga ya kuprivatise public companies, watu wengi wakapoteza kazi. Wakati huo tulipokuwa tunapitia mateso Tanzania ilikuwa na uchumi mkubwa kushinda wetu. Jifunze historia ya uchumi wa nchi zetu mbili sio kuimba wimbo za ccm hapa. Kwanza wakati wa Benjamin Mkapa uchumi wenu ulikuwa unatoka mbio kama wa Usain Bolt. Sijui mbona Mkapa hakupewa term ya pili maana hatungewaona. Mngekuwa first world saa hii.
Soma vzr kwa makini nilichoandika👇👇👇
Tanzania imepoteza muda mwingi sana kwenye kukomboa nchi za africa kupata uhuru wao yani tanzania imeanza kujenga nchi within 12 yrs wakat kenya imejitenga toka imepata uhuru mukaanza kujihusisha na biashara toka mulipopata uhuru nilifkiri tok uhuru mpaka leo mayb mutaku sawa na ufaransa kumbe mko level moja na congo kuomba msaada chakula 😅😅😅😅😅😅
 
..mbona hampendi kukubali Kenya iko juu yenu licha ya obvious evidence? ni wivu ama nyinyi ni asie kubali kushindwa ?, ama kwa vile tuna changamoto?., Kwa mfano SA wanachangamoto kama zote kwa sasa, Airline inakufa recently KQ imechukua biashara ya freight yenya SA waliacha, joblessness, negative growth, several industrial strikes, licha ya haya yote hakuna siku tutasema uchumi wao ni wa kwenye makaratasi why? Ama sasa Egypt imewapiku kwasababu hawana same issues, why? coz Kuna other factors that keeps them on top: well established systems, easy to recover when environment becomes condusive.
Swali linakuja iko juu ya nn, iko juu ya kitu gani ???? Usiniambie iko juu wakat watu wanakufa na njaa huku nchi inaomba saada wa chakula ??? Zingatia hayo😄😄😄
 
Back
Top Bottom