Kwangu mimi ninaliona tofauti kidogo, wizara ya fedha inapanga matumizi kulingana na taarifa za uchumi wa nchi, taarifa zinaonyesha kwamba uchumi wa nchi ni mkubwa (Bigger GDP), wizara inatumia taarifa hizo katika kupanga matumizi bila kujua kwamba taarifa hizo sio za kweli ni taarifa za kupika.Hilo ni tatizo la planning na halina uhusiano wowote na Gdp. Wizara ya fedha ya Kenya ndio ina planning mbaya ya matumizi na wameshindwa kupunguza expenditure au kuongeza revenue. Hilo ni tatizo mbaya la planning maana huwezi kutumia pesa nyingi kushinda mapato yako. Kwa hivyo hakuna haja ya sisi kuongea kuhusu Gdp. Tuongee tu kuhusu planning mbaya ya wizara ya fedha
Usione aibu mbn kwenu ni jambo la kawaida tuNani Huyo Hana,sema hapa![]()









Huu wimbo wa zamani bado unauimba leo? Uko nchi gani ww au Taured?Nyie number ni kubwa Sana nchi ya asali na maziwa eti!, Rotuba kote kote! Madini chungu nzima! Kama si laana hii itakua upumbavu umechanganishwa na ujinga.Kigezo cha kupima ni kile cha LDC
walai wakitunlmia ya lower mido income si mtakua 90%
![]()



...na ujue mimi Tz hainilishi propaganda I get the facts na ku compare na what CCM says si kupiga makofi kishenzi na kifala fala. Sio mimi nilikusanya ushuru wa Tz na sio mimi niliandika budget wacha hasira kakaWacha ujinga, nenda moja kwamoja tafuta Tanzania budget deficit 2020/21 utaona, huna sababu ya kupoteza nguvu nyingi, angalia ni nchi gani yenye kutekeleza miradi mingi na mikubwa kwa pesa za ndani bila kukopa, hiyo ndio ishara halisi kwamba budget deficit ni ndogo sana
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app



, "pesa za ndani" narrative ni political statement tu, facts speaks otherwise.Haha Sasa wataka kumaanisha hii chakula ndyo wanakula mpaka sa hii,haya yalipitwa na wakati Kaka😂😂😂
Hapa ss ndo wamekuelewa, ndo mana huwa wanakataa ww co form four failureKwangu mimi ninaliona tofauti kidogo, wizara ya fedha inapanga matumizi kulingana na taarifa za uchumi wa nchi, taarifa zinaonyesha kwamba uchumi wa nchi ni mkubwa (Bigger GDP), wizara inatumia taarifa hizo katika kupanga matumizi bila kujua kwamba taarifa hizo sio za kweli ni taarifa za kupika.
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app



Hamfai kutajwa nchi masikini wa kutupwa ichoboy01 , ona vile mna paradiso! Tatizo huwa nini kaka., Leo nifafanulie..., weka debate kando..
Hahaha. Sahihisha. Ndiposa inastahili kuwa nini? Venye inastahili kuwa nini? Na yenyu nadhani inastahili kuwa yenu.Lugha ni grammar na vocabulary, sio pronunciation. Wakenya hamjui Kiswahili kabisa, huwa ninashangaa haya maneno ya wakenya
1)Ndiposa
2)Venye
3)Yenyu
Haya maneno sio Kiswahili, wakenya msichanganye na Kikuyu
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Facts ndo projects zinazoendelea au huoni? Tuna miradi ambayo ninyi hamuwezi kuifanya kwa miaka 30 ijayo au hutaki...na ujue mimi Tz hainilishi propaganda I get the facts na ku compare na what CCM says si kupiga makofi kishenzi na kifala fala. Sio mimi nilikusanya ushuru wa Tz na sio mimi niliandika budget wacha hasira kaka, "pesa za ndani" narrative ni political statement tu, facts speaks otherwise.






Kwn mmeacha kuomba? Au tulete zingine ili tuelewaneHaha Sasa wataka kumaanisha hii chakula ndyo wanakula mpaka sa hii,haya yalipitwa na wakati Kaka![]()






Report iliyo tolewa na world Bank kuhusu extreme poverty in Tz uliisoma wewe?, Walitumia Kigezo cha LDC $0.99. na mkapatikana fukara millioni 28 , kwa sasa wataanza kutumia $2.99 since mko lower middle income., Wacha tusubiri tuoneHuu wimbo wa zamani bado unauimba leo? Uko nchi gani ww au Taured?![]()



..kwa pesa ipi? Hapa ndio argument iko..,Facts ndo projects zinazoendelea au huoni? Tuna miradi ambayo ninyi hamuwezi kuifanya kwa miaka 30 ijayo au hutaki![]()
Hamfai kutajwa nchi masikini wa kutupwa ichoboy01 , ona vile mna paradiso! Tatizo huwa nini kaka., Leo nifafanulie..., weka debate kando..










Kwahiyo sio tena masikini au sioReport iliyo tolewa na world Bank kuhusu extreme poverty in Tz uliisoma wewe?, Walitumia Kigezo cha LDC $0.99. na mkapatikana fukara millioni 28 , kwa sasa wataanza kutumia $2.99 since mko lower middle income., Wacha tusubiri tuone![]()







Nimekwambia angalia projects tunazofanya kwa pesa ya ndani linganisha na projects zenu ambazo ni mikopo alafu njoo tuongee...kwa pesa ipi? Hapa ndio argument iko..,
Yes I know that Middle income Kama Kenya, Zambia, Ghana, Nigeria etc, nafahamu vyema welcome to the club., but mido income sio suluhisho kwa ufukara

