Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hahahaaaa, unajitekenya au sio
tapatalk_1596712787823.jpg
 
Hizo other factors kwenu hazipo na ndiyo maana tunasema mnapika data.
Kenya has well established economic system, la sivyo baada ya 2007 violance tungezama, ama elections or any economic shocks, but our economy is diversified and driven by private sector, only peace is enough for Kenya to flourish, Kama tunapiga siasa 24/7 na maendeleo yanafanywa na bado kuna ufisadi but kazi itafanywa., nyie dhoruba kidogo mtazama kaburi la sahau.
 
Tanzania imepoteza muda mwingi sana kwenye kukomboa nchi za africa kupata uhuru wao yani tanzania imeanza kujenga nchi within 12 yrs wakat kenya imejitenga toka imepata uhuru mukaanza kujihusisha na biashara toka mulipopata uhuru nilifkiri tok uhuru mpaka leo mayb mutaku sawa na ufaransa kumbe mko level moja na congo kuomba msaada chakula 😅😅😅😅😅😅

🤣🤣🤣 Kenya -DRC aka Wazee wa Njaa. 🤣🤣
 
Kenya has well established economic system, la sivyo baada ya 2007 violance tungezama, ama elections or any economic shocks, but our economy is diveesified and driven by private sector, only peace is enough for Kenya to flourish, Kama tunapiga siasa 24/7 na maendeleo yanafanywa na bado kuna ufisadi but kazi itafanywa., nyie dhoruba kidogo mtazama kaburi la sahau.
Which economic system wakat leo tunaambiwa uchumi wa kenya unapumulia kende kutokana na madeni yakipuuzi?? Hvi nchi gani duniani siasa zinaanza 2yrs before election ulishawah kuiona hio nchi 😄😄 hvi utasema muna system gani ya maana ushuzi wa bata, maendeleo gani munafanya wakat unemployment rate iko three times of tanzania and uganda ????
 
Kenya has well established economic system, la sivyo baada ya 2007 violance tungezama, ama elections or any economic shocks, but our economy is diveesified and driven by private sector, only peace is enough for Kenya to flourish, Kama tunapiga siasa 24/7 na maendeleo yanafanywa na bado kuna ufisadi but kazi itafanywa., nyie dhoruba kidogo mtazama kaburi la sahau.
Dhoruba itokee wapi wkt nchini angalau watu wanagawana national cake japo co kivile ila ni too far from yours
tapatalk_1599739866174.jpg
 
Kenya imeanza kuinuka 2002! We grew at negative na stunted growth in the 90s kama vile SA walivyo sasa, Check the economic differences Kati ya Ke na Tz then uone, let me be just straight with u; Tz tatizo ni uzembe ukichanganya na ujamaa iliyo lemaza uchumi, vita Ghana wamekua nazo Sana kwanza coup de tat, na wako juu yenyu., Try something else substantial bro..,

Ghana hawako juu yetu wewe Mpumbavu. Ni hizi GDP za kupika ndio huonesha wako na GDP kubwa kuliko yetu inayokandamizwa kwa sababu ya our socialist policies.

Airport Kubwa ya Ghana haipokei ndege nyingi zaidi ya Zanzibar airport.
 
Ila mazee Ghana wanajitahidi sana wako wachache my wanatengeneza dow mob kutuzidi...hata gdp per capital wanawazidi nyan'gau
 
Which economic system wakat leo tunaambiwa uchumi wa kenya unapumulia kende kutokana na madeni yakipuuzi?? Hvi nchi gani duniani siasa zinaanza 2yrs before election ulishawah kuiona hio nchi hvi utasema muna system gani ya maana ushuzi wa bata, maendeleo gani munafanya wakat unemployment rate iko three times of tanzania and uganda ????
Nabado itasimama, it is resilient watch hii 2021, post covid recharge., nyie hamukufunga uchumi lakini bado hamjapiga hatua., economic output na revenue bado hafifu. Shughulikia hali yenyu. Post covid most countries are struggling, so your argument is nul and void, wewe haja yako ni kupinga .,
 
kwani kwa sasa hivi corruption na ukabila hakuna....?
Bado iko but the resilience of Kenyans and the economy's ability to whither shocks due to diversity na heavy investment by the private sector, ndio maana tunapaa despite the setbacks, imagine tukiwa tu na amani mwaka mmoja tu! Tz haina resilience economy can't withstand shocks take it to the bank, I pray musiwe na tatizo lolote even natural disasters, kwa vile mlivyo mnaeza zama kishenzi.
 
Nabado itasimama, it is resilient watch hii 2021, post covid recharge., nyie hamukufunga uchumi lakini bado hamjapiga hatua., economic output na revenue bado hafifu. Shughulikia hali yenyu. Post covid most countries are struggling, so your argument is nul and void, wewe haja yako ni kupinga .,
Unasemaa uchumi gani utasimama wakat unemployment rate iko 3 times of tanzania and uganda ??😀😀😀😀
Bado unataka kusema economy gani ambayo madeni yameua nchi mpaka leo deficit ya budget inafika almost half of the budget
Hakuna kusingizia corona😄 kenya imeanza kudodoka hata kabla ya corona na wachumi wenu walisema hilo akiwemo prof lumumba
 
Bado iko but the resilience of Kenyans and the economy's ability to whither shocks due to diversity na heavy investment by the private sector, ndio maana tunapaa despite the setbacks, imagine tukiwa tu na amani mwaka mmoja tu! Tz haina resilience economy can't withstand shocks take it to the bank, I pray musiwe na tatizo lolote even natural disasters, kwa vile mlivyo mnaeza zama kishenzi.
😅😅😅😅😅😅munasingizia corona acha ujinga wewe
 
Bado iko but the resilience of Kenyans and the economy's ability to whither shocks due to diversity na heavy investment by the private sector, ndio maana tunapaa despite the setbacks, imagine tukiwa tu na amani mwaka mmoja tu! Tz haina resilience economy can't withstand shocks take it to the bank, I pray musiwe na tatizo lolote even natural disasters, kwa vile mlivyo mnaeza zama kishenzi.
Kila kitu corona haha 😅😅😅😅 mambo yafanywe na ujinga wenu museme corona




 
Back
Top Bottom