Don YF
JF-Expert Member
- May 24, 2014
- 11,111
- 10,547
Masikini fukara yote kwa mpigo! Less than $0.99 Now wakitumia $2.99 ya lower mido income mnaanguka wapi? HiiKwahiyo sio tena masikini au sio![]()

ni wale below $0.99Masikini fukara yote kwa mpigo! Less than $0.99 Now wakitumia $2.99 ya lower mido income mnaanguka wapi? HiiKwahiyo sio tena masikini au sio![]()

ni wale below $0.99So umekasirika 😅😅😅😅 tanzania imeanza kuinuka just 12 yrs ago leo inawakosesha usingizi wakat nyie baada ta uhuru mukajitenga mukaanza kufanya biashara yani mulifaa muwe sawa na germany lakini ushuzi mtupu 😅😅😅😅Hamfai kutajwa nchi masikini wa kutupwa ichoboy01 , ona vile mna paradiso! Tatizo huwa nini kaka., Leo nifafanulie..., weka debate kando..
Unaweza ukajionea projects tunazofanya kwa ss zen linganisha na zenu alafu kuja tuongeee.Yes I know that Middle income Kama Kenya, Zambia, Ghana, Nigeria etc, nafahamu vyema welcome to the club., but mido income sio suluhisho kwa ufukara![]()








Usijali nyege zitaisha tu 😅😅😅😅Hongera sana majirani. Habari kama hizi za kupiga hatua ya kwenda mbele kisayansi zinanipa nyege sana. Afrika tukuze sayansi na teknolojia yetu.
Kwahiyo hawa huwataki tenaMasikini fukara yote kwa mpigo! Less than $0.99 Now wakitumia $2.99 ya lower mido income mnaanguka wapi? Hiini wale below $0.99
View attachment 1688251










Pesa za ndani my foot, that propaganda we debunked long ago. Hiyo pumbaza nayo idiots. Even WH questioned (yaani 1+1 doesn't add up) Next...Nimekwambia angalia projects tunazofanya kwa pesa ya ndani linganisha na projects zenu ambazo ni mikopo alafu njoo tuongee.
Kwahiyo GoT ni waongo?Pesa za ndani my foot, that propaganda we debunked long ago. Hiyo pumbaza nayo idiots. Even WH questioned (yaani 1+1 doesn't add up) Next...





Baada ya kupigania uhuru mlikuja mkatupiku kiuchumi kwa muda flani, then what happened? Your excuses bado hai explain your poverty , na haitukoseshi amani kamwe coz I know it will take ages to level., understand the fundamentals za uchumi si porojo..,So umekasirikatanzania imeanza kuinuka just 12 yrs ago leo inawakosesha usingizi wakat nyie baada ta uhuru mukajitenga mukaanza kufanya biashara yani mulifaa muwe sawa na germany lakini ushuzi mtupu
tanzania baada ya uhuru ilianza kuzipugania nchi za africa juu ya uhuru wao alaf leo unaongea nn wewe
What do u think?Kwahiyo GoT ni waongo?![]()
Sio tuliwapiku bali sisi ndiyo tulianza zen nyie mkatupiku ila baadaye mkaanza upumbavu wa kupika data baada ya wimbi la corrupt leaders ku emerge in Kenya, but now mtajua hamjui mana hata mkiongeza zero hamtatufika cz u r going to be a dependent on our economy whether you like or not.Baada ya kupigania uhuru mlikuja mkatupiku kiuchumi kwa muda flani, then what happened? Your excuses bado hai explain your poverty , na haitukoseshi amani kamwe coz I know it will take ages to level., understand the fundamentals za uchumi si porojo..,
Jibu swali.What do u think?
Mambo kama hayo huwa hayawezekani kule kwao failed state ndio maana anatoa mapovu.Kwahiyo GoT ni waongo?![]()
Tanzania imepoteza muda mwingi sana kwenye kukomboa nchi za africa kupata uhuru wao yani tanzania imeanza kujenga nchi within 12 yrs wakat kenya imejitenga toka imepata uhuru mukaanza kujihusisha na biashara toka mulipopata uhuru nilifkiri tok uhuru mpaka leo mayb mutaku sawa na ufaransa kumbe mko level moja na congo kuomba msaada chakula 😅😅😅😅😅😅Baada ya kupigania uhuru mlikuja mkatupiku kiuchumi kwa muda flani, then what happened? Your excuses bado hai explain your poverty , na haitukoseshi amani kamwe coz I know it will take ages to level., understand the fundamentals za uchumi si porojo..,
Get the facts bro., Kupika wapi na nikikuambia uweke hapa facts ya your economic output kila sector na ulinganishe na ya Kenya kote kote unakimbia., Private sector is King(ubepari bro), Mnatamani sana fikra zenu na ndoto zitimie lakini never, hadi mwisho wa dahari halitatendeka. We can bet.,Sio tuliwapiku bali sisi ndiyo tulianza zen nyie mkatupiku ila baadaye mkaanza upumbavu wa kupika data baada ya wimbi la corrupt leaders ku emerge in Kenya, but now mtajua hamjui mana hata mkiongeza zero hamtatufika cz u r going to be a dependent on our economy whether you like or not.
Kenya imeanza kuinuka 2002! We grew at negative na stunted growth in the 90s kama vile SA walivyo sasa, Check the economic differences Kati ya Ke na Tz then uone, let me be just straight with u; Tz tatizo ni uzembe ukichanganya na ujamaa iliyo lemaza uchumi, vita Ghana wamekua nazo Sana kwanza coup de tat, na wako juu yenyu., Try something else substantial bro..,Tanzania imepoteza muda mwingi sana kwenye kukomboa nchi za africa kupata uhuru wao yani tanzania imeanza kujenga nchi within 12 yrs wakat kenya imejitenga toka imepata uhuru mukaanza kujihusisha na biashara toka mulipopata uhuru nilifkiri tok uhuru mpaka leo mayb mutaku sawa na ufaransa kumbe mko level moja na congo kuomba msaada chakula![]()
Nenda ukalilie nyanya yako na rank ushuziJwtz,,ni uharo tu kwa KDF,ata kwa rankings hamuonekani![]()








Nyie mliwai kupigana na nani?Sasa mkipigana na watu wako na rungu na panga nanyi mko na bunduki, what do you expect
Kwa rankings in Africa hamjulikani ata,,sa sijui mnalia nini![]()
sasa GDP ya $100 bln inashindwa vp ku-raise budget to at least a deficit of 15%?Hilo ni tatizo la planning na halina uhusiano wowote na Gdp. Wizara ya fedha ya Kenya ndio ina planning mbaya ya matumizi na wameshindwa kupunguza expenditure au kuongeza revenue. Hilo ni tatizo mbaya la planning maana huwezi kutumia pesa nyingi kushinda mapato yako. Kwa hivyo hakuna haja ya sisi kuongea kuhusu Gdp. Tuongee tu kuhusu planning mbaya ya wizara ya fedha