Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Budget Ksh 3trl
Total revenue collection 1.6trl
Budget deficit 1.4trl

Where is GDP?


Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Total revenue collection in Tz avarages Tshs18T and National budget a Tsh33- 34T., with your big country na population and projects hiyo ni nafuu kwako?., Tofauti kidogo sana na Kenya nilikuambia jiangalie kwanza kabla ya kuropokwa na ya jorani
 
poor schooling. Hawajui factors za kuchangia GDP.,
Hapa vp tumeelewana au umepita kmy kmy
Pic_1611833076843.jpg
 
Tanzania ni Dar es Salaam, outside mnalazolimisha tu kwa vile hampendi aibu, though Kuna maendeleo Tz sipingi ila bado hamjafika level ya Kenya licha ya mapungufu yetu, na ujue nchi nyingi za Africa zinaendelea kwa speed kama wewe no msafiri utakubaliana nami lakini ila tu are not quite publicized. Nyie propaganda inawafumba macho., just because mumejaza mtandao na taarifa za Tz haimanishi Kenya maendeleo hayapo. County govt system ilituletea ukombozi kwa kiwango flani.,
Ukombozi gani hebu tueleze 😂😂😂 yani county government ni ukombozi wakat ni uharo mtupu kil siku wanapunguziwa pesa kutoka mfuko wa nchi alaf unasema ukombozi
 
TRANSFORMATION OF ZANZIBAR PORTS

New malindi tourist sea port
View attachment 1688065
View attachment 1688066

New mangapwani industrial and economic business zone sea port
View attachment 1688067
project expected to start this year after 3 to 6 months of completion of the feasibility study.

Also in the coming 2 weeks, another Turkish investor is expected to sign the MoU for building a Fishing port, Fish processing facilities and a Maritime institute at the Mpiga duri area in Zanzibar.

CC: Tony254

Hii kitu itaanza na kuisha kabla ya lamu port!
 
Wakuu,

Tusidharau hata kidogo hizi tiba zetu. Kuanzia juzi hapo yalinishika mafua moja konki mpaka nikaanza kuwa na hofu. Nimepiga nyungu version2.0, 1*2*2 mixer tangawizi, vitunguu swaumu, vitunguumaji na asali, and now I see that influenza going to hell.

Never undestimate natural cure developed within the society for the society. I'm sure hata Sir God anatupa big up kwa hili. Ndiyo sababu we are perhaps the one society with the least impact of this corona bullshit.

Respect natural cure.
ni kweli hivi ndivyo tunavyoishi nayo
 
Total revenue collection in Tz avarages Tshs18T and National budget a Tsh33- 34T., with your big country na population and projects hiyo ni nafuu kwako?., Tofauti kidogo sana na Kenya nilikuambia jiangalie kwanza kabla ya kuropokwa na ya jorani
Hahahaha, stupid as usual, Tanzania TRA collection only ndio hiyo ulitoyataja, hiyo sio total Government collection, our budget deficit is less than 5%, ndio sababu hatukopi Kama ninyi.

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Ukombozi gani hebu tueleze yani county government ni ukombozi wakat ni uharo mtupu kil siku wanapunguziwa pesa kutoka mfuko wa nchi alaf unasema ukombozi
Wewe unaangalia the bottlenecks na hiccups za ugatuzi unadhani hakuna impact? Siku zote wewe uko ovyo kimawazo "Mr. Dar baby!*., ., Do research uone, wewe ujitazama news za Kenya unaona tu siasa za Tangatanga na kieleweke na BBI with strikes unadhani kazi imesimama., Pole we always silence u with facts.
 
Wewe unaangalia the bottlenecks na hiccups za ugatuzi unadhani hakuna impact? Siku zote wewe uko ovyo kimawazo "Mr. Dar baby!*., ., Do research uone, wewe ujitazama news za Kenya unaona tu siasa za Tangatanga na kieleweke na BBI with strikes unadhani kazi imesimama., Pole we always silence u with facts.
Ww ni fala sijapata kuona hakuna kitu mulienda mchomo kama mfumo wa county governments 😅😅😅 ndio maana nimeski juzi mumepumguza pesa zinazotoka serekali ya taifa kwenda counties kisa nchi iko broke au nasema urongooooo🤣🤣🤣🤣
 
Hahahaha, stupid as usual, Tanzania TRA collection only ndio hiyo ulitoyataja, hiyo sio total Government collection, our budget deficit is less than 5%, ndio sababu hatukopi Kama ninyi.

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
ndio CCM ilikuambia?., Wakati mwingine chunguza kwanza., Propaganda umelishwa Hadi Basi., hebu weka hapa total revenue ya 2019/2020 financial year na National budget then we discuss..., Please harakisha kaka
 
Back
Top Bottom