komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
Kiswahili ni cha wapwani wala sio cha kamusi, kwhyo kila watu wana lahaja yaoBTW hamna neno kizere kwenye kiswahili! Usichanganye Gikuyu na Kiswahili!
Kiswahili ni cha wapwani wala sio cha kamusi, kwhyo kila watu wana lahaja yaoBTW hamna neno kizere kwenye kiswahili! Usichanganye Gikuyu na Kiswahili!
leta evidence inayoonyesha kuwa mswahili wa kwanza alizaliwa pwani.....?Leo wasukuma wamejitokeza kw hasira
Bila wapwani na waarabu hakingelikuja kiswahili so waswahili wanapatikana pwani kw sababu ya kutangamana sana na waarabu ndio manake hata rangi zao kidogo zimewaka sana..


huyo si muhindi tena ni mtanzania na siyo kuongea kiswahili pekee,huyo ni mzawa halisi wa hili taifa na kakulia kwenye mazingira ya kiswahili/uswahili....na anaweza kuzaliwa tanga,pemba,moshi,dar,mtwara,bukoba au chatoHapo lazima wakasirike
Wale wahindi nao ni waswahili kwa sababu wanaongea kiswahili
Kiswahili ni cha wapwani wala sio cha kamusi, kwhyo kila watu wana lahaja yao




whaaaaaaaaaaat.......?????Unapingana na historia we jamaa wa chato, upende usipende chato sio uswahilini...leta evidence inayoonyesha kuwa mswahili wa kwanza alizaliwa pwani.....?
je mswahili unayemsema wewe alishuka kutoka mbinguni na kujikuta peke yake pwani ama....?
kabla yautumwa binadamu alikuwa akitoka sehemu moja kwenda nyingine ikiwemo visiwani pwani mpaka bara,,,,
na baada ya utumwa pia wakoloni waliwachukua watu kutoka sehemu tofauti tofauti ya nchi kwa kuwatumikisha nakuwasafirisha kutoka sehemu moja kwenda nyingine....na hiki kitendo walikifanya sana waarabu kwa kuuza watu ili wakawajibike kwenye shughuli mbali mbali za kitumwa....



Umesoma kiswahili wewe.?Unapingana na historia we jamaa wa chato, upende usipende chato sio uswahilini...
Kiswahili bila wapwani na waarabu hakingelikuja, we ukitaka lia![]()
Unajua kwamba kiswahili it's a language of instruction in primary level of education in tz.?Unapingana na historia we jamaa wa chato, upende usipende chato sio uswahilini...
Kiswahili bila wapwani na waarabu hakingelikuja, we ukitaka lia![]()
Unalijua lahaja la msingi (language of standardization) la lugha ya kiswahili.?Unapingana na historia we jamaa wa chato, upende usipende chato sio uswahilini...
Kiswahili bila wapwani na waarabu hakingelikuja, we ukitaka lia![]()
Ila huyu narrator lugha yake mhh!!!
Wengine tumesoma kiswahili vizuri na tunakijua kinaganaga,historia yake,watumiaji wake,faida zake na mapungufu yakeUnapingana na historia we jamaa wa chato, upende usipende chato sio uswahilini...
Kiswahili bila wapwani na waarabu hakingelikuja, we ukitaka lia![]()
Usije ukabishana nasi tena kuhusu kiswahili coz hakuna unachojua,kaa kimyaUnapingana na historia we jamaa wa chato, upende usipende chato sio uswahilini...
Kiswahili bila wapwani na waarabu hakingelikuja, we ukitaka lia![]()
sawa nitalia kichunaUnapingana na historia we jamaa wa chato, upende usipende chato sio uswahilini...
Kiswahili bila wapwani na waarabu hakingelikuja, we ukitaka lia![]()