Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wakenya wengi hawajui lolote kuhusu Tanzania. Huo ndio ukweli na haubadiliki. Wakenya wengi wanajua tu stereotypes za Watanzania. Kwa mfano Wakenya wanaamini kwamba Watanzania ni

Mambo mabaya
1. Wavivu
2. Wanapenda masengenyo na kugombana. Yaani huwezi kumshinda Mtz kwenye vita ya mdomo
3. Masikini.
4. Hamjasoma vizuri. Masomo yenu ni hafifu na wengi hawajasoma


Mambo mazuri
5. Kiswahili chenu ni bora kushinda chetu.
6. Nyinyi ni wakarimu. Hata mwizi anakuambia "naomba kukuibia" na polisi anasema "naomba kukukamata"
Huku Kenya hatuombi, tunafanya tu maana sisi ni wajeuri
7. Mziki wenu unavutia sana yaani bongo fleva.
Haya ndio mambo ambayo wakenya wanaamini zaidi.
maisha huwa yanaenda mbele hayasimami...

hayo ndiyo mawazo potofu yaliyowatawala wakenya waliowavivu kujifunza mambo kwa kujidanganya kuwa mpo ahead .....

hii dunia ni nzuri sana,tuendelee kuusoma huo mchezo
 
EslrsDNW4AA5qID



 
Issue ya card imesisima kutokana na ujanja ujanja wa mzabuni wa sasa hivi,nahisi mwaka huu kuna mzabuni mpya atatangazwa kulikua na kampuni kadhaa za kutoka nje ya nchi ambazo nazo ziliomba zabuni ya kuendesha mradi brt,za chini ya kapeti kuna kampuni ya germany na dubai kama sikosei mojawapo ndio inaweza kupewa kazi
Kuna mzabuni tayari keshapatikana kwa mujibu wa waziri Jafo. Anatarajiwa kuanza kazi April au May. Wanadai tayari keshanunua mpaka mabasi yote 305 yanayotakiwa.
 
Kwa hivyo hata watu wa kabila la Wahadza ambao ni hunter gatherers na hawajichanganyi sana na Watanzania wengine na hawakifahamu Kiswahili vizuri pia hao ni Waswahili? Kama uswahili ni utaifa basi Wahadza pia ni waswahili japo hawawezi kuongea lugha ya kiswahili vizuri. Hata wengi wao hawawezi kukiongea kabisa. Huoni hapo kuna contradiction. Huwezi kuwa mswahili kama huwezi kuongea lugha ya kiswahili.
View attachment 1687454View attachment 1687455View attachment 1687456View attachment 1687457View attachment 1687459



aliyekudanganya ni nani ndani ya karne hii,,,,,?


usifananishe kiswahili/mswahili na ukabila hivyo ni vitu viwili tofauti huwezi kulinganisha....

mtanzania yeyote yule ni mswahili
 
Wadau kumbe kuna flyover nyngne junction ya kawawa road na nyerere road..na iko under construction tayar
Bro Magu kaamua kuja na model ya kuunganisha fly over ni brt. Hata mikoani, sasa hivi miradi kama by pass na dual carriage roads zinaunganishwa na miradi mikubwa ya barabara ili pamoja na mambo mengine kurahisisha financing na masuala ya tendering.

Kwa mfano pale Mbeya mjini; miradi wa Uyole - Mbalizi bypass na njia nne za Uyole-Mbalizi zimeunganishwa na mradi wa Igawa-Tunduma. So unauwa kundi la ndege kwa jiwe moja.
 
Back
Top Bottom