Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hamna. Kama huyo mzungu ni mswahili mbona Wakenya wa kawaida wanaozungumza kiswahili wasiwe waswahili?
Nimekuambia ubaguzi wenu huko Kenya uache hukohuko! Tanzania ina around 3% ya wasio Wabantu yaani caucasian and Asians! Na wamezaliwa na kukulia Tanzania vizazi! Kitu ambapo sipendi kwenye hili upo ethnocentric huwezi kufungua fikra zako na kufikiri nje ya box!

Nchi yako inaendekeza matabaka na sasa ndo unataka kulazimishia Tanzania! Kwetu sisi huyu ni Mswahili kama mweusi anaweza kuwa Mjerumani kwa asili ama nasaba! sikuwa najua kwamba upo unconscious Mbaguzi na pia Mkabila!
 
Nimekuambia ubaguzi wenu huko Kenya uache hukohuko! Tanzania ina around 3% ya wasion Wabantu yaani caucasian and Asians! Na wamezaliwa na kukulia Tanzania vizazi! Kitu ambapo sipendi kwenye upo ethnocentric huwezi kufungua fikra zako na kufikiri nje ya box! Nchi yako inaednekeza matabaka na sasa ndo unataka kulazimishia Tanzania! Kwetu sisi huyu ni Mswahili kama mweusi anaweza kuwa Mjerumani kwa asili ama nasaba!
Sawa basi. Hio nchi yenu ni very strange. Ni nchi ya kushangaza sana. Hizi nchi mbili zina tamaduni tofauti sana.
 
Less talk, more action
Screenshot_20210127-222505.jpg
 
Huku tunaamini kwamba
1)Kenya hakuna usalama, watu wake ni katili Sana.
2)Kenya ni njaa sana, maisha ni mabaya Sana
3)Wakenya wana roho mbaya sana
4)Wakenya wengi ni masikini sana
5)Wanawake wa Kenya wana sura mbaya na ni katili Sana
6)Wakenya wote ni wezi

Mazuri

1)Wakenya wanajua kukimbia mbio ndefu
2)Wasichana wa Kenya wanawapenda Sana watanzania
3)Wakenya wanapenda Kiswahili cha TZ
4)Wakenya wengi wanapenda kuishi TZ

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Umesahau mkenya anapenda Sana sifa,ustaarabu ulishawakimbiaga zamani,hakuna kitu kinaaenda kwao bila ya rushwa mkenya anakupa salaam kama anataka usaidizi kutoka kwako🙂
Mazuri hawana mfumo wa nyumba kumi unaweza ukawa gaidi ukaishi maisha fresh tena kama Una hela za kumwaga utapewa na walinzi wa serikali🙂
 
Uswahili ni utaifa Tanzania! makabila yanakuja chini ya utaifa Uswahili! Usichanganye tabia ya Uswahili yaani ile conotation ya stereotype na general wider definition ya Uswahili! mimi nina kabila langu lakini utaifa wangu ni lugha na kama Kiswahili ni lugha mama na tamaduni zangu ni za Kiswahili basi mimi ni Mswahili! get the concept! usibishe kifalafala plse! kenya na tanzania tuko tofauti kwenye hilo!
Hakuna kiti km uswahili taifa, taifa ni tanzagiza kiswahili kina wenyewe..
We km unatokea chattle huwezi kuwa mswahili, eti nao wale matahira ya kagera yanajiita waswahili
 
kwa kifupi tungemuuliza swali dogo tu ,,,hao watu wa pwani na hao ambao hawapo pwani walifikaje fikaje kwenye hayo maeneo...?
pili kwa jinsi inchi ilivyokubwa alitegemea watu waishi pwani pekee....?..

hajui kuwa enzi za utumwa watu walitolewa kutoka sehemu nyingine kuja pwani kwaajili ya biashara..
Leo wasukuma wamejitokeza kw hasira
Bila wapwani na waarabu hakingelikuja kiswahili so waswahili wanapatikana pwani kw sababu ya kutangamana sana na waarabu ndio manake hata rangi zao kidogo zimewaka sana..
 
Huku tunaamini kwamba
1)Kenya hakuna usalama, watu wake ni katili Sana.
2)Kenya ni njaa sana, maisha ni mabaya Sana
3)Wakenya wana roho mbaya sana
4)Wakenya wengi ni masikini sana
5)Wanawake wa Kenya wana sura mbaya na ni katili Sana
6)Wakenya wote ni wezi

Mazuri

1)Wakenya wanajua kukimbia mbio ndefu
2)Wasichana wa Kenya wanawapenda Sana watanzania
3)Wakenya wanapenda Kiswahili cha TZ
4)Wakenya wengi wanapenda kuishi TZ

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Yani average kenyan akiskia ulichokisema atakucheka sana
We hujapatana na wakenya wazalendo kikweli kweli, utalia nakwambia manake wana maneno ya kuumiza..

Kamuulize harmonize kw kuwaita watu kw tamasha pale nairobi maskini wenzangu, yani alikiona cha moto
 
Huyo ni mzungu we kizere acha ku force vitu
Mzungu ni ethnicity na Uswahili si ethnicity! Machoko wa kikenya sijui mtaeleweshajwe muelewe! Plse bakini na Ukikuyu wenu achaneni na dhana nzima ya Uswahili!

Ufalamanga ni pale Mnapoita Swahili ethnicity or a tribe! N yet call Kenya a swahili Nation! I think vichwa vyenu vimejaa funza!
 
Mzungu ni ethnicity na Uswahili si ethnicity! Machoko wa kikenya sijui mtaeleweshajwe muelewe! Plse bakini na Ukikuyu wenu achaneni na dhana nzima ya Uswahili!

Ufalamanga ni pale Mnapoita Swahili ethnicity or a tribe! N yet call Kenya a swahili Nation! I think vichwa vyenu vimejaa funza!
Acha upumba weye, yani hvo ndio mumedanganywa na nyerere..
 
Back
Top Bottom