Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 75,695
- 107,133
Magufuli anapenda Chato sana. Huu ni upendeleo wa kimaendeleo.
Magufuli anapenda Chato sana. Huu ni upendeleo wa kimaendeleo.
Mbona British wanaitwa English/waingereza wakati humo ndani kuna watu wanazungumza scotish na native language zao?🙂Ati sasa nyinyi nyote mnajiita Waswahili? Wacheni mchezo bwana. Hakuna siku Mchagga au Msukuma atakuja kuwa Mswahili. Waswahili original ni yale makabila yanayoishi kwenye ufuo wa bahari la hindi ambayo yalitangamana na waarabu na kupata kuchanganya lugha na damu. Ndio maana watu hao wanaongea kiswahili kizuri bila lahaja nzito za kibantu na pia wana ngozi nyeupe. Mtu kama Geza Ulole kwa kiswahili chake cha ndani utajua tu kwamba yeye anatokea upande wa mashariki mwa Tanzania karibu na bahari la hindi. Yeye ngozi yake itakuwa kama ya muarabu. Lakini watanzania wenye lafudhi nzito ya kibantu wanaoharibu kiswahili wanatokea upande wa magharibi mwa Tanzania, huko mbali na bahari la hindi. Wanatumia r badala la l. Wanasema rara badala la lala. Hawa hawawezi kujiita waswahili maana kiswahili chao ni kibovu ajabu. Hawa watu wa zanzibari, pemba, kilwa na maeneo mengine kando kando mwa bahari la hindi ikiwemo Lamu, Malindi, Kwale na Mombasa ndio waswahili halisi. Hawa wengine wa bara ni wa kujifanya tu. Ni waswahili feki.
Safi Sana 🙂Uswahili ni utaifa Tanzania! makabila yanakuja chini ya utaifa Uswahili! Usichanganye tabia ya Uswahili yaani ile conotation ya stereotype na general wider definition ya Uswahili! mimi nina kabila langu lakini utaifa wangu ni lugha na kama Kiswahili ni lugha mama na tamaduni zangu ni za Kiswahili basi mimi ni Mswahili! get the concept! usibishe kifalafala plse! kenya na tanzania tuko tofauti kwenye hilo!
British ni jina la jumla kwa raia wa Great Britain. Englishman ni mtu mweupe wa England. Raia yoyote wa Great Britain ni British ila sio kila raia wa Great Britain ni English.Mbona British wanaitwa English/waingereza wakati humo ndani kuna watu wanazungumza scotish na native language zao?🙂
hajui kama mswahili/uswahili ni utaifa ambapo ndani yake imebeba tabia ya watanzania.....Uswahili ni utaifa Tanzania! makabila yanakuja chini ya utaifa Uswahili! Usichanganye tabia ya Uswahili yaani ile conotation ya stereotype na general wider definition ya Uswahili! mimi nina kabila langu lakini utaifa wangu ni lugha na kama Kiswahili ni lugha mama na tamaduni zangu ni za Kiswahili basi mimi ni Mswahili! get the concept! usibishe kifalafala plse! kenya na tanzania tuko tofauti kwenye hilo!
kwa kifupi tungemuuliza swali dogo tu ,,,hao watu wa pwani na hao ambao hawapo pwani walifikaje fikaje kwenye hayo maeneo...?nilikuwa namweleza huyo ili hoja yake kwamba ni kwa wapwani pekee haina mashiko.
maana mpaka wanyamwezi huko ni waswahili pia.
ha haa unajichanganya [emoji28][emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787] nimekuuliza swali dogo tu kulingana na kauli yako kuwa waswahili ni tribe...Ati sasa nyinyi nyote mnajiita Waswahili? Wacheni mchezo bwana. Hakuna siku Mchagga au Msukuma atakuja kuwa Mswahili. Waswahili original ni yale makabila yanayoishi kwenye ufuo wa bahari la hindi ambayo yalitangamana na waarabu na kupata kuchanganya lugha na damu. Ndio maana watu hao wanaongea kiswahili kizuri bila lahaja nzito za kibantu na pia wana ngozi nyeupe. Mtu kama Geza Ulole kwa kiswahili chake cha ndani utajua tu kwamba yeye anatokea upande wa mashariki mwa Tanzania karibu na bahari la hindi. Yeye ngozi yake itakuwa kama ya muarabu. Lakini watanzania wenye lafudhi nzito ya kibantu wanaoharibu kiswahili wanatokea upande wa magharibi mwa Tanzania, huko mbali na bahari la hindi. Wanatumia r badala la l. Wanasema rara badala la lala. Hawa hawawezi kujiita waswahili maana kiswahili chao ni kibovu ajabu. Hawa watu wa zanzibari, pemba, kilwa na maeneo mengine kando kando mwa bahari la hindi ikiwemo Lamu, Malindi, Kwale na Mombasa ndio waswahili halisi. Hawa wengine wa bara ni wa kujifanya tu. Ni waswahili feki.
kashapotea huyo huwa anaropoka topoka tuMbona British wanaitwa English/waingereza wakati humo ndani kuna watu wanazungumza scotish na native language zao?[emoji846]
Huyo NairobiWalker ni mpuuzi anayemfuatia Teargass ni Wakenya wa kale sn, yn wale Waafrika wa stone age.umesahau NairobiWalker ni falamanga mmoja mkubwa sana! lakini hata Tony254 ana ujinga wake juzi nimemu-expose Terminal 1 yao JKIA ina milango ya toka medieval era yyani ya kusukuma kufungua na kuvuta kufunga! akadai hana uhakika nikamwekea video akanyuti!
🤣🤣🤣kashapotea huyo huwa anaropoka topoka tu
Kirinyaga townHapa Ni Tz wapi😍?
View attachment 1687215
Sisi hata terminal one ina milango ya kujifungua.umesahau NairobiWalker ni falamanga mmoja mkubwa sana! lakini hata Tony254 ana ujinga wake juzi nimemu-expose Terminal 1 yao JKIA ina milango ya toka medieval era yyani ya kusukuma kufungua na kuvuta kufunga! akadai hana uhakika nikamwekea video akanyuti!
Huo ni uongo mkubwa sana,Neno Tz kwa mkenya yyte au Tanzania lazima aijue ,ni sawa na mimi niseme siifahamu uganda lol acha izo tantalila zakoMwenzako kikihboy ameuliza swali kwa roho safi lakini wewe badala ya kumjibu unaanza kumkejeli. Kitu usichokijua ni kwamba Wakenya wengi sana hawajui lolote kuhusu Tanzania licha ya sisi kuwa majirani. Kwa hivyo hapa sote tumekuja kujifunza jambo kuhusu jirani yetu.
😁 Huyu kama hapiki chang'aa sijui
Tz hakuna road iliyopauka na ghorofa ugly kama hizoHapa Ni Tz wapi😍?
View attachment 1687215
Kaongea lini hii huyu mzee.kwa kweli.. it’s too kutrust hizo chanjo za nje! anything can happen; good or bad!
Leo mchanaKaongea lini hii huyu mzee.