Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Uswazi uko poa tu,ukishuka kwa ground unakutana na house kali huwezi kupata mathare,kakamega au kariobange...hizo juu ni rust tu wala zisikutie wenge
Eti kwa ground 😱🤣🤣🤣

0350d14358fac645615902fb9a7b9a57.jpg
 
Wakenya wengi hawajui lolote kuhusu Tanzania. Huo ndio ukweli na haubadiliki. Wakenya wengi wanajua tu stereotypes za Watanzania. Kwa mfano Wakenya wanaamini kwamba Watanzania ni

Mambo mabaya
1. Wavivu
2. Wanapenda masengenyo na kugombana. Yaani huwezi kumshinda Mtz kwenye vita ya mdomo
3. Masikini.
4. Hamjasoma vizuri. Masomo yenu ni hafifu na wengi hawajasoma


Mambo mazuri
5. Kiswahili chenu ni bora kushinda chetu.
6. Nyinyi ni wakarimu. Hata mwizi anakuambia "naomba kukuibia" na polisi anasema "naomba kukukamata"
Huku Kenya hatuombi, tunafanya tu maana sisi ni wajeuri
7. Mziki wenu unavutia sana yaani bongo fleva.
Haya ndio mambo ambayo wakenya wanaamini zaidi.
ndio maana kupitia huu uzi kila kitu kimekuwa maajabu.

imagine mtu anaamini tanzania haina wasomi,unajiuliza huyu anawaza kwa kutumia nini???
 
Wakenya wengi hawajui lolote kuhusu Tanzania. Huo ndio ukweli na haubadiliki. Wakenya wengi wanajua tu stereotypes za Watanzania. Kwa mfano Wakenya wanaamini kwamba Watanzania ni

Mambo mabaya
1. Wavivu
2. Wanapenda masengenyo na kugombana. Yaani huwezi kumshinda Mtz kwenye vita ya mdomo
3. Masikini.
4. Hamjasoma vizuri. Masomo yenu ni hafifu na wengi hawajasoma


Mambo mazuri
5. Kiswahili chenu ni bora kushinda chetu.
6. Nyinyi ni wakarimu. Hata mwizi anakuambia "naomba kukuibia" na polisi anasema "naomba kukukamata"
Huku Kenya hatuombi, tunafanya tu maana sisi ni wajeuri
7. Mziki wenu unavutia sana yaani bongo fleva.
Haya ndio mambo ambayo wakenya wanaamini zaidi.
Huku tunaamini kwamba
1)Kenya hakuna usalama, watu wake ni katili Sana.
2)Kenya ni njaa sana, maisha ni mabaya Sana
3)Wakenya wana roho mbaya sana
4)Wakenya wengi ni masikini sana
5)Wanawake wa Kenya wana sura mbaya na ni katili Sana
6)Wakenya wote ni wezi

Mazuri

1)Wakenya wanajua kukimbia mbio ndefu
2)Wasichana wa Kenya wanawapenda Sana watanzania
3)Wakenya wanapenda Kiswahili cha TZ
4)Wakenya wengi wanapenda kuishi TZ

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Uswahili ni utaifa Tanzania! makabila yanakuja chini ya utaifa Uswahili! Usichanganye tabia ya Uswahili yaani ile conotation ya stereotype na general wider definition ya Uswahili! mimi nina kabila langu lakini utaifa wangu ni lugha na kama Kiswahili ni lugha mama na tamaduni zangu ni za Kiswahili basi mimi ni Mswahili! get the concept! usibishe kifalafala plse! kenya na tanzania tuko tofauti kwenye hilo!
Kwa hivyo hata watu wa kabila la Wahadza ambao ni hunter gatherers na hawajichanganyi sana na Watanzania wengine na hawakifahamu Kiswahili vizuri pia hao ni Waswahili? Kama uswahili ni utaifa basi Wahadza pia ni waswahili japo hawawezi kuongea lugha ya kiswahili vizuri. Hata wengi wao hawawezi kukiongea kabisa. Huoni hapo kuna contradiction. Huwezi kuwa mswahili kama huwezi kuongea lugha ya kiswahili.
images (3).jpeg
images (4).jpeg
images (5).jpeg
images (6).jpeg
images (7).jpeg




 
Wakenya wengi hawajui lolote kuhusu Tanzania. Huo ndio ukweli na haubadiliki. Wakenya wengi wanajua tu stereotypes za Watanzania. Kwa mfano Wakenya wanaamini kwamba Watanzania ni

Mambo mabaya
1. Wavivu
2. Wanapenda masengenyo na kugombana. Yaani huwezi kumshinda Mtz kwenye vita ya mdomo
3. Masikini.
4. Hamjasoma vizuri. Masomo yenu ni hafifu na wengi hawajasoma


Mambo mazuri
5. Kiswahili chenu ni bora kushinda chetu.
6. Nyinyi ni wakarimu. Hata mwizi anakuambia "naomba kukuibia" na polisi anasema "naomba kukukamata"
Huku Kenya hatuombi, tunafanya tu maana sisi ni wajeuri
7. Mziki wenu unavutia sana yaani bongo fleva.
Haya ndio mambo ambayo wakenya wanaamini zaidi.
Unaelewa kitu ulichokiandika hapo juu...😋👆👆
 
Kwa hivyo hata watu wa kabila la Wahadza ambao ni hunter gatherers na hawajichanganyi sana na Watanzania wengine na hawakifahamu Kiswahili vizuri pia hao ni Waswahili? Kama uswahili ni utaifa basi Wahadza pia ni waswahili japo hawawezi kuongea lugha ya kiswahili vizuri. Hata wengi wao hawawezi kukiongea kabisa. Huona hapo kuna contradiction. Huwezi kuwa mswahili kama huwezi kuongea lugha ya kiswahili.
View attachment 1687454View attachment 1687455View attachment 1687456View attachment 1687457View attachment 1687459



rudia definition yangu ya Uswahili! 99% ya Watanzania wanaongea Kiswahili na ni Waswahili!
 
Exactly,,hapo umeongea ukweli,,ukisimamisha yeyote hapa Kenya umulize about TZ atasema exactly hivi
Sasa unajua ninyi ni wajinga sn, mtz gn anayejua kuhusu Kenya? Mmoja wapo mm ckuwa najua chochote kuhusu Kenya kabla ya kuja humu na siyo mm tu ni Watz wengi hawajui chochote kuhusu Kenya na wengi wala hawana taarifa km kuna battle kati ya Tz na Kenya.

Linapokuja suala la kufatilia ya nchi zingine ni bora nyie wakenya lkn sio cc Watz, yn cc huwa tunadhani Africa nzima kuna njaa except Tz.

Ukimuuliza mtz wa kawaida kuhusu Kenya atakuambia ni nchi yenye njaa na yenye raia wenye roho mby, hicho ndicho anachojua.
 
1. Tanzania inawalisha as u speak!
2. Unavyoongea saahii kuna jamii wanachapana mapanga na kuchomana mishale ndani ya kenya
3. Hapa nguchiro anamcheka mwenzie
4. Kusoma is relative thing if kenya has illeteracy of 80% and Tanzania has 77%, i dont see a reason for an idiot from Kenya to laugh at us!
Hata hyo rate ni kwasababu wao wapo wachache kuliko sisi.
 
Huku tunaamini kwamba
1)Kenya hakuna usalama, watu wake ni katili Sana.
2)Kenya ni njaa sana, maisha ni mabaya Sana
3)Wakenya wana roho mbaya sana
4)Wakenya wengi ni masikini sana
5)Wanawake wa Kenya wana sura mbaya na ni katili Sana
6)Wakenya wote ni wezi

Mazuri

1)Wakenya wanajua kukimbia mbio ndefu
2)Wasichana wa Kenya wanawapenda Sana watanzania
3)Wakenya wanapenda Kiswahili cha TZ
4)Wakenya wengi wanapenda kuishi TZ

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Nimemwambia mm, nashukuru umeweka vzr zaidi
 
Kwamba Wakenya waseme Watz ni maskini, kumbe kweli wewe akili zako haziko sawa ndo naamini leo.
Naongea kuhusu stereotypes. Stereotype sio lazima iwe ukweli. Inaweza kuwa uongo. Yaani mambo tu ambayo watu wanaamini kuhusu wengine. Punguza hasira
 
Kwa hivyo hata watu wa kabila la Wahadza ambao ni hunter gatherers na hawajichanganyi sana na Watanzania wengine na hawakifahamu Kiswahili vizuri pia hao ni Waswahili? Kama uswahili ni utaifa basi Wahadza pia ni waswahili japo hawawezi kuongea lugha ya kiswahili vizuri. Hata wengi wao hawawezi kukiongea kabisa. Huona hapo kuna contradiction. Huwezi kuwa mswahili kama huwezi kuongea lugha ya kiswahili.
View attachment 1687454View attachment 1687455View attachment 1687456View attachment 1687457View attachment 1687459



Kwnn nyie mna maneno ya kibaguzi namna hii? Ss unasema hawajichanganyi na Watz kwahiyo wao ni kina nani? Kwann nyie wakenya mnakuwa na hii tabia mby ya kubaguana? Nani aliwaroga mkawa na tabia mby ya chooni hii?
 
Hapa kwa kutoa maji Lake Victoria tunastahili kujifunza kutoka kwenu. Sijui ni kwa nini sisi hatujawahi kufikiria kutoa maji Lake Victoria na kuyasambaza Kenya nzima. Mbaya zaidi ni kuwa Lake Turkana is a fresh water lake na bado kuna misimu ambayo watu wanakufa njaa. Serikali inastahili kuweka bomba ya kutoa maji kutoka L. Turkana hadi maeneo yote ya Turkana
Mkuu, nyie mtakuwa mnaogopa ule mkataba wa matumizi ya mto Nile. Sisi pia kwa miaka mingi tulikuwa na huo upuuzi na hivyo hii miradi ya kutoa maji ziwa Victoria ikawa inawekwa pending. Sidhani kama serikali yenu inao ujasiri wa kuwatazama usoni Wamisri na Waingereza na kufanya miradi kama hii.
 
Huku tunaamini kwamba
1)Kenya hakuna usalama, watu wake ni katili Sana.
2)Kenya ni njaa sana, maisha ni mabaya Sana
3)Wakenya wana roho mbaya sana
4)Wakenya wengi ni masikini sana
5)Wanawake wa Kenya wana sura mbaya na ni katili Sana
6)Wakenya wote ni wezi

Mazuri

1)Wakenya wanajua kukimbia mbio ndefu
2)Wasichana wa Kenya wanawapenda Sana watanzania
3)Wakenya wanapenda Kiswahili cha TZ
4)Wakenya wengi wanapenda kuishi TZ

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Hahaha. Hayo mazuri yako yameegemea TZ sana.
 
1. Tanzania inawalisha as u speak!
2. Unavyoongea saahii kuna jamii wanachapana mapanga na kuchomana mishale ndani ya kenya
3. Hapa nguchiro anamcheka mwenzie
4. Kusoma is relative thing if kenya has illeteracy of 80% and Tanzania has 77%, i dont see a reason for an idiot from Kenya to laugh at us!
Nilijua tu kwako utaona mabaya ya Kenya na hutaona mazuri yoyote.
 
Hata mimi na hamu na hyo maana inaenda all the way to airport na hadi azikiwe streeet posta mpya

Pia BRT ya Tegeta Phase 4 Hii inakuja Bagamoyo road all way to Posta

In short phase zote 6 ni muhimu i wish wangetoa tender zote sita kwa mara moja uishe .Tuanze ku focus kwenye Planned Light Rail Mass Transit

Kuna ile project ya ku develop Jangwani Msimbazi River Basin iwe ya aina yake cost intially was around 100mil usd sijajua imefikia wapi
Nilimsikia waziri siku moja akisema mradi wa msimbazi/jangwani uko kwenye detailed design na akatoa baadhi ya specifications.
 
Back
Top Bottom