Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ukiangalia ratio nyie ndiyo mpo wengi kulingana na udogo wa nchi yenu, ila sisi tunatakiwa tuwe wengi kuliko nyie tena inatakiwa tuwe mara tatu yenu na sio km ilivyo sasa eti kanchi ka Kunyaland kadogo hv lkn tumewazd watu milioni 6 pekee, sisi kweli wavivu kupiga mashine [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Wakuu tupigeni mashine tuikuze nchi inatudai hii wakuu [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Huko Kenya chance ya kuzaliwa squatter in a land owned by a landlord is 2:1! Sasa watazaana vp?
 
Takataka tena. Leta justification ya hayo unayoyasema. Nimekuwekea reference mbona unakimbia. Hatutaki maneno tupu.
Nimekuambia wakati unadeal na mimi uje na reliable sources. Kuja na World bank, Imf, UN au UNDP, OECD, Tanzania Bureau of statistics. Tosha. Ukienda kwenye internet kuokota ujinga na kuniletea basi nitakuaibisha bure.

Let me prove to you kwamba hio website ya Tradingeconomics ni takataka. Kama uonavyo kwenye screenshot ya laptop yangu, hio website uchwara inasema kwamba Tanzania ina Gdp per capita ya $930. Kama hio ni ukweli basi Tanzania bado ni LDC. So wewe amua kama Tanzania bado ni LDC au hio website ndio ya uchwara. Either website yenyewe ndio mbaya au Tanzania bado ni LDC, wewe amua.

1611336799788.png
 
Ai sasa niliona haina Haja kubishana about an exel file extracted out of a database ati you have to be a proggrammer to read it..... the only closest thing that you might ever come close to programming which ain't is maybe you write a small script to extract specific information when the data is too bulky. But I dont see how programming which involves creating executable files got to do with reading an exel file
Mimi hata niliiruka haswa walai[emoji23][emoji23][emoji23]
Ku extract file jamaa anajiona bingwa kweli wakati watoto shule za msingi wanaosomea kompyuta wanafanya hyo
 
Nimekuambia wakati unadeal na mimi uje na reliable sources. Kuja na World bank, Imf, UN au UNDP, OECD, Tanzania Bureau of statistics. Tosha. Ukienda kwenye internet kuokota ujinga na kuniletea basi nitakuaibisha bure.

Let me prove to you kwamba hio website ya Tradingeconomics ni takataka. Kama uonavyo kwenye screenshot ya laptop yangu, hio website uchwara inasema kwamba Tanzania ina Gdp per capita ya $930. Kama hio ni ukweli basi Tanzania bado ni LDC. So wewe amua kama Tanzania bado ni LDC au hio website ndio ya uchwara. Either website yenyewe ndio mbaya au Tanzania bado ni LDC, wewe amua.

View attachment 1683642
Mbona unakimbia maswali yangu!?
Nimekuuliza maswali muhimu sana. Unazunguka zunguka tu.
Nijibu maswali niliyokuuliza with arithmetics.
 
Mbona unakimbia maswali yangu!?
Nimekuuliza maswali muhimu sana. Unazunguka zunguka tu.
Nijibu maswali niliyokuuliza with arithmetics.
Umeniambia niprove kwamba hio website ni takataka na nimefanya hivyo. Website yenyewe inasema kwamba nyinyi bado ni Ldc. Ama unakubaliana nao?
 
Bro you dont know about open source hardware 🤣🤣🤣🤣 you think open source is just to softwares nkt we rudi village an example of such a controller is aduino Google aduino you will understand na uwache kujiaibisha kwa umati
I think you are crazy
Open Source Controller hahahahaha!!!
Dear you need school.
Wewe hujui chochote usinipotezee muda.
 
Sasa mbona unaanza kukimbia. Nimekuuliza mambo mawili.
1. What will happen if Revenue is less than expenditure!!?

2. Does Per capita is GDP/Population!? Explain with proofs the Per capita of your country how is calculated.

View attachment 1683641
Wacha ujinga. Nimeshacalculate Gdp per capita. Sitarudia. Usinipotezee muda wangu. You are so retarded.
 
I think you are crazy
Open Source Controller hahahahaha!!!
Dear you need school.
Wewe hujui chochote usinipotezee muda.
Ama lemmie post evidence here for everyone to see ndo tujue nani ni crazy vile umeniita
WADAU NANI ANAPOTEZEA MWINGINE MUDA MUKIONA?

 
Tz ni bongo pekeyake,hapa Kenya mpaka hip-hop ziko Kali Sana,,hakuna mwanamziki hapo Tz naweza hii Rap🔥🔥🔥🔥🔥

Huyo awatishe nyie Sisi tuna wakazi,Nikki wa pili Baba Malcom wanapiga hip-hop za ukweli🙂
 
Bro you dont know about open source hardware 🤣🤣🤣🤣 you think open source is just to softwares nkt we rudi village an example of such a controller is aduino Google aduino you will understand na uwache kujiaibisha kwa umati
Yaani unazidi kunichekesha kijana. C# is an intermediate programming language which depends on .Net Framework.
If you want to program controllers either C or C++.

Nimesema nenda shule kwanza. Hujui chochote Mzee wa Open Source Controller.
Also do you know the meaning of Open Source!? Hahahahaha!!! Acha ujinga.
 
Kukopa as long as it's not for for recurrent expenditures ni kuzuri mimi nina deni benki ilinijengea nyumba nalipa pole pole Bora hivi nina deni but silipi kodi kuliko nilipokua bila deni nikulipa kodi. Sasa naishi kwangu ni vile lazima deni ya benki nilipe pole pole hapo kuna ubaya gani?
Kukopa siyo tatizo, ndiyo sababu hata sisi tunatafuta mikopo. Tatizo ni;

1. Kukopa pesa kwa miradi overpriced. Mradi usioakisi thamani ya pesa unayolipia kwa mkopo ni afadhali kutoutekeleza kuliko kuutekeleza. Kumbuka hii miradi ya reli siyo commercial. Ukitaka iwe commercial huduma itakuwa ghali hivyo itakosa maana.

2. Kukopa mikopo yenye masharti magumu yanayoweka rehani rasilimali za nchi. Mikopo yenu inaweka rehani assets zenu muhimu kama vile ports! Huo ni zaidi ya wendawazimu. Ya nini kuweka rehani? Wapi mlisikia nchi imepelekwa polisi kwa kudaiwa? Mngekuwa na Kilimanjaro si mngesha iweka rehani kwa wachina nyinyi!

Sie wakija na hayo masharti tunawaambia wakajaribu kwa jirani. Waturuki tuliwaomba watukopeshe $400m kwa ajili ya phase II wakatuletea pozi tukawapotezea na kukopa kwingine. Ingekuwa nyinyi mngeshaingia mkenge.
 
Ama lemmie post evidence here for everyone to see ndo tujue nani ni crazy vile umeniita
WADAU NANI ANAPOTEZEA MWINGINE MUDA MUKIONA?

programmable logic controller(PLC) is not an Open Source Controller.
Huku kwenye programming umepotea huku ndio Nyumbani kwangu. Usiokoteze websites to justify your stupidity.
 
Naona maswali yangu unayakimbia.
Mbona tunapoteza muda kwa vitu vilivyo straight!?
View attachment 1683663
Hii ni nini hapa chini? Ama unataka kujifanya kwamba hujaisoma hii comment? Unakuanga na mchezo sana ndio maana hakuna mtu anayekuchukia seriously hapa. Unaniuliza swali ambayo nimeshakujibu?
Kwani hapa kuna nini ngumu? Gdp per capita inategemea unatumia data gani. Chukua Gdp ya Kenya ambayo latest figures ilikuwa $98 billion in 2019. Chukua population ya Kenya ambayo census ya 2019 ilisema ni around 48 million. Halafu divide hizo mbili. Gdp per capita ukichukua population ya 48 million itakuwa above $ 2,000. Lakini kabla ya census`watu wengi walikuwa wanafikiri population ya Kenya kuwa ni 52 million. Ukitumia population ya 52 million basi Gdp per capita inapungua hadi around $1,800.
 
Wanaanza na madaraja, ss cjui ya nn hayo madaraja kwenye BRT, Kenya ni nchi ya kisenge duniani hakuna[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Ila Wakenya sijui wanakwama Wapi. Kwa hiyo mameanza na Madaraja, alafu hawajui Barabara itapita wapi... Daah

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Let's do a simple test tumaluza Haya mambo let's all do a speed test of the internet we currently using we post a screenshot here be it wifi or cellular. Bytheway noticed most screenshots za watanzania ni za 3G bytheway dont know why.... sometimes I use 3G when am in an area that is concentrated coz it's more stable but I rarely prefer it
hii ni ttcl moja ya mtandao dhaifu tu tz.

bado voda,smile na smart.
Screenshot_20210122-205944.jpg
 
Express way inajulikana own by chinnese for 30years na mutalipia ushuru kwa wachina 1798ksh kila gari na juu ya hapo ajira zote zinazohusiana na expressway ni za wachina pia kama vile SGR walivowatia viboko
Hawa watu wamelala sana. Sisi tuliupiga chini mradi wa Chalinze express way kwa kuwa "wafadhili" walitaka waujenge, waumiliki, kisha wakabidhi. Yaani ukitoka Moro unaenda Kigamboni unalipia Chalinze, pia unalipia daraja la Nyerere! Bro Magu akawaambia hii nchi ni tajiri subirini mcheki picha.

Siku Kenya wanajenga hata km 19 tu za express way kama Kibaha kwa pesa za ndani (gvt funds) watafanya sherehe ya kitaifa.
 
Back
Top Bottom