Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wakati wa Uhuru in the 1960s. Nyinyi mlikuwa watu 11 million na sisi tulikuwa 10 million. Gap ya 1 million pekee. Miaka hamsini baadaye gap hio imeongezeka hadi 12 million. Sasa hebu niambie ni watu gani wanazaana kama panya?
Nchi yetu kubwa ina rasilimali zote unazozijua ww hapa duniani, ina amani, ina chakula cha kutosha ina kila kitu why tusizaane.

On the other hand, nyie hamuwezi kuwa na population kubwa cz maelfu ya Wakenya wanakufa kwa njaa, police brutality, tribal wars, huduma mbovu za afya etc, so usitegemee kuwa na population kubwa kuliko sisi.
 
Wakati wa Uhuru in the 1960s. Nyinyi mlikuwa watu 11 million na sisi tulikuwa 10 million. Gap ya 1 million pekee. Miaka hamsini baadaye gap hio imeongezeka hadi 12 million. Sasa hebu niambie ni watu gani wanazaana kama panya?
Nchi yetu kubwa ina rasilimali zote unazozijua ww hapa duniani, ina amani, ina chakula cha kutosha ina kila kitu why tusizaane.

On the other hand, nyie hamuwezi kuwa na population kubwa cz maelfu ya Wakenya wanakufa kwa njaa, police brutality, tribal wars, huduma mbovu za afya etc, so usitegemee kuwa na population kubwa kuliko sisi.
Na kuongezea tu ni kwamba popln yetu ita double baada ya miaka michache mbele mana mkulu keshaturuhusu tuzaane ili tuhimili kuendelea kuwa top in EA mana resources ni nyingi mno watu hakuna zinabaki tu idle [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Nchi yetu kubwa ina rasilimali zote unazozijua ww hapa duniani, ina amani, ina chakula cha kutosha ina kila kitu why tusizaane.

On the other hand, nyie hamuwezi kuwa na population kubwa cz maelfu ya Wakenya wanakufa kwa njaa, police brutality, tribal wars, huduma mbovu za afya etc, so usitegemee kuwa na population kubwa kuliko sisi.
Hayo yote ni sawa. It is obvious nyinyi ndio mumezaana sana.
 
😅😅😅😅

Ergz7A2XMAE_eYG.jpg
Ergz70BXcAADyAa.jpg




 
Hayo yote ni sawa. It is obvious nyinyi ndio mumezaana sana.
Ukiangalia ratio nyie ndiyo mpo wengi kulingana na udogo wa nchi yenu, ila sisi tunatakiwa tuwe wengi kuliko nyie tena inatakiwa tuwe mara tatu yenu na sio km ilivyo sasa eti kanchi ka Kunyaland kadogo hv lkn tumewazd watu milioni 6 pekee, sisi kweli wavivu kupiga mashine [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Wakuu tupigeni mashine tuikuze nchi inatudai hii wakuu [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
kikihboy [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] yani kwakutumia akili tu na mahesabu ya haraka haraka nairobi na addis slum ni lazma bila shaka

dar es salaam...1600km sq = 6m people

Nairobi ......696km sq (nairobi national park included) = 5m people

Addis ......520km sq = 5m people
Tupe ya new york city tucheke[emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom