Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kawadanganye wa south sudan
Huo mgodi ukitelekezwa na wale jamaa wa accacia sijui wanajiitaje vile ndio wakapewa hao wajinga ambao hawajui kunaendaje..

Yani huo ni mgodi ambao ilikua tayari unaleta hasara
Ushawahi ona mzungu anaingia mkataba wa kindezi? Mbn wewe ni mjinga hv?
 
View attachment 1682525

Sisi haitachukua muda sababu meter gauge ishajengwa ni ku electrify tu imebaki
Express way inajulikana own by chinnese for 30years na mutalipia ushuru kwa wachina 1798ksh kila gari na juu ya hapo ajira zote zinazohusiana na expressway ni za wachina pia kama vile SGR walivowatia viboko
 
Not just south africa almost all countries that join middle class economy lazima wapitie shida hizo us we joined in 2014 nyinyi mmejoin 2020 naona, jipe Mike mitano ndo utaelewa what am saying Uganda pia itafwata karibuni wakijitahidi.... a country develops in stages and it's hard to jump a stage
Kwahiyo Tz siyo ldc, unajitia kidole alafu unanusa
 
Kumbe walisimamisha electrification? 😂😂
2E0B0EFC-0433-44A7-B1C6-BC82511CEBEF.jpeg
 
Kukopa as long as it's not for for recurrent expenditures ni kuzuri mimi nina deni benki ilinijengea nyumba nalipa pole pole Bora hivi nina deni but silipi kodi kuliko nilipokua bila deni nikulipa kodi. Sasa naishi kwangu ni vile lazima deni ya benki nilipe pole pole hapo kuna ubaya gani?
Sasa kwanini mushtuka leo 🤣🤣👇👇
 
Bytheway SGR ya kenya pia inaanza kua electrified if you dint know meaning hata kabla mtumie your train hata mara moja hata yetu itakua electrified. So ujinga ya woo yetu ya stima woo hiyo itaisha soon
View attachment 1682516
Wanaenda kupigwa tena hawa, yn reli haiko designed to be electrified but wameona Tz reli yao iko electrified nao wanataka kulaghai wananchi ili wapige pesa kwa mara nyingine, na makenya yalivyo mafisi hata hayaulizi umeme utatoka wapi, maana Tz kabla ijenge electric sgr ikaanza na hydropower the same way to Ethiopia, ss failed state inataka ianze na electric sgr.

Btw tunawakaribisha ktk ulimwengu wa umeme mana tutakuwa tunawauzia umeme wa bei rahisi
 
Ni ngumu sana kumuelewesha mtu ambae amelemazwa akili kw pumba za ujamaa..
Hku akijua ipo siku tu mkuu wa mkoa atamcharaza viboko vya matako atakavyo anytime

Watu wa freedom of mind mpo
Hahaha. Hii ni kali
 
Wanaenda kupigwa tena hawa, yn reli haiko designed to be electrified but wameona Tz reli yao iko electrified nao wanataka kulaghai wananchi ili wapige pesa kwa mara nyingine, na makenya yalivyo mafisi hata hayaulizi umeme utatoka wapi, maana Tz kabla ijenge electric sgr ikaanza na hydropower the same way to Ethiopia, ss failed state inataka ianze na electric sgr.

Btw tunawakaribisha ktk ulimwengu wa umeme mana tutakuwa tunawauzia umeme wa bei rahisi
SGR ya Kenya ilikuwa designed to be electrified baadaye kutoka Mwanzoni. Hio provision iliwekwa wakati wa construction. Inaonekana hujafuatilia hii maneno vizuri. Muulize Geza Ulole maana yeye anajua mambo ya Kenya sana.
 
SGR ya Kenya ilikuwa designed to be electrified kutoka Mwanzoni. Hio provision iliwekwa wakati wa construction. Inaonekana hujafuatilia hii maneno vizuri. Muulize Geza Ulole maana yeye anajua mambo ya Kenya sana.
Kua design is not an issue mzee tatizo linakuja kwenye implementations hapo ndio shida hupatikana? Ukiangalia SGR yenu kwanza mushaitelekeza machakani naivasha na lapili mpaka sasa hvi bado inaendesha hasara huku ikionekana ulipaji wake wa deni linaweza kuchukua mpaka miaka 40😁😁😁
 
Kukopa as long as it's not for for recurrent expenditures ni kuzuri mimi nina deni benki ilinijengea nyumba nalipa pole pole Bora hivi nina deni but silipi kodi kuliko nilipokua bila deni nikulipa kodi. Sasa naishi kwangu ni vile lazima deni ya benki nilipe pole pole hapo kuna ubaya gani?
Mmeanza kushindwa kulipa madeni au huna habari

 
Mmeanza kushindwa kulipa madeni au huna habari

Mchina kawapa miezi 6 holiday baada ya hapo makamuzi yanarndelea 😃😃 mchina anaakili sana kafanya hvo ili waendelee kukopa china na mchina apate tender zote
 
SGR ya Kenya ilikuwa designed to be electrified baadaye kutoka Mwanzoni. Hio provision iliwekwa wakati wa construction. Inaonekana hujafuatilia hii maneno vizuri. Muulize Geza Ulole maana yeye anajua mambo ya Kenya sana.
Aawapi mlikurupuka baada ya kuona yetu ya umeme! Nakumbuka sana former KR managing Director Mr. Maina alivyosaini mkataba! Now 3 years down the line hamna kitu!
 
Back
Top Bottom