Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Are you trying to deliberately pretend dumb kuficha the fact that you didnt know about open source hardware?
Screenshot_20210122-213109.png
 
Mzee usitupotezee muda na maneno. You are just twisting words. Hujui programming.
Wewe niambie kwa kifupi tu. Which programming languages do you know!?
The once I know ama once I use with my controllers??? If its once i know Python, Visual Basic, Java, java script C, C++, SQL,html php, u90 in short I can work with several high levels languages some from school some kujifunza due to client demands
 
Kukopa siyo tatizo, ndiyo sababu hata sisi tunatafuta mikopo. Tatizo ni;

1. Kukopa pesa kwa miradi overpriced. Mradi usioakisi thamani ya pesa unayolipia kwa mkopo ni afadhali kutoutekeleza kuliko kuutekeleza. Kumbuka hii miradi ya reli siyo commercial. Ukitaka iwe commercial huduma itakuwa ghali hivyo itakosa maana.

2. Kukopa mikopo yenye masharti magumu yanayoweka rehani rasilimali za nchi. Mikopo yenu inaweka rehani assets zenu muhimu kama vile ports! Huo ni zaidi ya wendawazimu. Ya nini kuweka rehani? Wapi mlisikia nchi imepelekwa polisi kwa kudaiwa? Mngekuwa na Kilimanjaro si mngesha iweka rehani kwa wachina nyinyi!

Sie wakija na hayo masharti tunawaambia wakajaribu kwa jirani. Waturuki tuliwaomba watukopeshe $400m kwa ajili ya phase II wakatuletea pozi tukawapotezea na kukopa kwingine. Ingekuwa nyinyi mngeshaingia mkenge.
Nambie mkuu EZZ CHEZZ naona umechange id.
 
Hahahahaaa ss we huoni kama anajua? Kuna mwenzio nurse alipigwa maswali hapo jasho la meno likamtoka [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Huyo jamaa pengine ni mtu wa masoftwares. Naona kidogo anaelewa mambo ya softwares. Tatizo ni kwamba anajifanya kujua kila kitu including geography ambayo alikuwa anajaribu kunifunza.
 
Huyo jamaa pengine ni mtu wa masoftwares. Naona kidogo anaelewa mambo ya softwares. Tatizo ni kwamba anajifanya kujua kila kitu including geography ambayo alikuwa anajaribu kunifunza.
Ngoja nikwambie kitu. Huenda ukanijua vizuri. My first degree was Religious Studies Degree
Second Degree was Cosmology Degree
Third Degree was Computer Science
Then Political Science, Certificate of Finance and Statistics, certificate of Intel and Investigation, Certificate of Mathematics, Certificate of Metaphysics.
Kwa sasa na Law.
 
Huyo jamaa pengine ni mtu wa masoftwares. Naona kidogo anaelewa mambo ya softwares. Tatizo ni kwamba anajifanya kujua kila kitu including geography ambayo
Hapana nikama ana Google hakuna mtu ambaye anaeza kua wa software engineering asijue open source hardware sababu hizo ndo hutumika kufanya project zote.... na anapinga eti hakuna kitu kama hiyo.... me nikiwa jkuat lazima tungefika nerokas iko thika kila wiki kuzitafuta
 
Hapana nikama ana Google hakuna mtu ambaye anaeza kua wa software engineering asijue open source hardware sababu hizo ndo hutumika kufanya project zote.... na anapinga eti hakuna kitu kama hiyo.... me nikiwa jkuat lazima tungefika nerokas iko thika kila wiki kuzitafuta
Wewe ni empty.
Endelea na executable files.
 
Huyo jamaa pengine ni mtu wa masoftwares. Naona kidogo anaelewa mambo ya softwares. Tatizo ni kwamba anajifanya kujua kila kitu including geography ambayo alikuwa anajaribu kunifunza.
sio yeye pekee,hao ndio watz .kama mnadhani tu ashika kimoja mnajidanganya.

huyo hata biology anajua[emoji23][emoji23][emoji23],sasa unajua mwenyewe jamaa kasomea nini.
 
Back
Top Bottom