Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Bytheway SGR ya kenya pia inaanza kua electrified if you dint know meaning hata kabla mtumie your train hata mara moja hata yetu itakua electrified. So ujinga ya woo yetu ya stima woo hiyo itaisha soon
View attachment 1682516
This tweet is from 2018. That’s about three years ago. Do you have any current news on the so called electrification?
 
Bytheway SGR ya kenya pia inaanza kua electrified if you dint know meaning hata kabla mtumie your train hata mara moja hata yetu itakua electrified. So ujinga ya woo yetu ya stima woo hiyo itaisha soon
View attachment 1682516
Unajua electrification inachukua muda gani?sisi kipande cha dar Moro electrification is done imechukua sio chini ya miezi 24 kujengwa
 
Screenshot_20210121-100529_Twitter.jpg

Unajua electrification inachukua muda gani?sisi kipande cha dar Moro electrification is done imechukua sio chini ya miezi 24 kujengwa
Sisi haitachukua muda sababu meter gauge ishajengwa ni ku electrify tu imebaki
 
Bytheway SGR ya kenya pia inaanza kua electrified if you dint know meaning hata kabla mtumie your train hata mara moja hata yetu itakua electrified. So ujinga ya woo yetu ya stima woo hiyo itaisha soon
View attachment 1682516
yaaani Tanzania inawasumbua sana kichwa......

mbona mtakoma sana hii miaka,na kilichobakia mtaenda hadi mombasa bridge pale kuweka cable ili bridge iwe cabla bridge wakati design yake si cable bridge

kazi mnayo
 
R these two the same? au upumbavu unakusumbua? Nyali bridge ipo oversea channel while nililoonyesha lipo inland huko ndanindani over a river! Outside Nyali bridge hamna cha kuonyesha!
Hzo ni bridge tofauti tofauti jomba
Umepanic
 
Geza Ulole hivi ni vitu tofauti kabisa na vipo kenya
We si unajotia kuijua kenya imekuaje leo tena umepanic..
Magufuli zama hvzo alikua natembelea mitumbwi
images.jpeg-2.jpg
images.jpeg-1.jpg
images.jpeg-3.jpg
images.jpeg-4.jpg
 
Nyinyi ndo maskini hata mtoto wa class one anajua Google which country is richer kenya or tanzania simple na uwache kuuliza maswali hata wewe unajua jibu
Maskini huwa anajenga reli kwa pesa za ndani tena ya umeme, ninyi hamna mradi mkubwa mliojenga kwa pesa zenu hata mmoja, expressway tu km 5 mmeenda kukopa France, nchi yenu ni ya kisenge sn sijawahi kuona.
 
Back
Top Bottom