Tony254
JF-Expert Member
- May 11, 2017
- 16,016
- 16,433
Hio kitu ilipangwa kuanzia mwanzo. Hata kabla ya SGR yenu kujengwa. Yetu tayari ilikuwa na provision ya kuwa electrified in future. Hata tunnels zina nafasi ya kutosha juu ya kuconnect nyaya za umene. Tukipata pesa tutaunganisha umeme kwenye SGR yetu.Aawapi mlikurupuka baada ya kuona yetu ya umeme!

Mchina aliwapa proforma invoice ya project wakapoteana, walifikiri sababu Tanzania imeweza basi ni rahisi tu hata wao wanamudu 

