Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Unajua maana ya future
Kwahiyo mbasubiri future au sio, wkt huo tutakuwa tushatawala kila kitu, simply mtakuwa mshachelewa
JamiiForums1477327967.jpg
JamiiForums1850341150.jpg
 
reli yetu imechapa kazi kwa mda bila matatizo kama reli ya Ethiopia - Djibouti ambayo iko electrified.....Ikumbukwe Ethiopia wanazalisha umeme mwingi kuliko nchi yeyote ukanda huu.Only time will tell between kenya na Tanzania nani amekurupuka
Ethipia watazalisha si wanazalisha the Grand Renaissance damn haijakamilika!
 
Yaani ikiwekwa umeme itakuwa ndio the world's most expensive railway ever na bado itaendelea kwenda hivyo hivyo kama konono au hata ikapungua speed kidogo
Kawaulizeni ethiopia
Kwn nyie mna umeme kuwazidi ethiopia lkn bado kitu kinapata shida kuendeshwa on a daily basis...

Mwisho wake tutauona tu wakurupukaji
 
Kawaulizeni ethiopia
Kwn nyie mna umeme kuwazidi ethiopia lkn bado kitu kinapata shida kuendeshwa on a daily basis...

Mwisho wake tutauona tu wakurupukaji
Mbali na umeme pia treni za mizigo zipo za kutumia disel
 
Ni nini tena iko hapo apart from brt? Ama unataka tujenge daraja juu ya uhuru Park Nairobi? Hata joburg haina bridges but does that mean Dar is better than Jozi just because Dar kuna bridges? Or did you forget that Nairobi is an inland city?

So much excuses..kwa hiyo brt si development ati kwa sababu naislums haiko!!!!...😁😁😂😂

Jamani oneni onyango ilivyomiksiwa
 
Back
Top Bottom