Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nyie mmegundua nn ktk science, cc tumegundua km unabisha muulize Tony254, btw haya mambo ww huyajui cz u r a watchman thou
The only thing mligundua na dunia yote ikaona ni kwamba corona virus inaweza ambukiza hadi mbuzi na papai. Hapo tunawapa kongole 😂
 
hebu kuwa muwazi tu hiyo town naijua kiasi nimewahi kaa 1week na sehemu ya interchange naipata vyema 5th town si kitu rudi kwenye point ya msingi,,,,,,


unauhakika kuwa mlijenga kwa tija kulingana na mahitaji....?
Hapo ndio huwa mnanishangaza sasa. Eti Kenya ikifanya kitu au kujenga kitu, it's not because of demand ila Tanzania ikifanya hivyo, it's because kuna mahitaji. Aya basi wewe niambie, hiyo mnayoplan kujenga Mwanza ni kwa sababu ya mahitaji ama?
 
Hapo ndio huwa mnanishangaza sasa. Eti Kenya ikifanya kitu au kujenga kitu, it's not because of demand ila Tanzania ikifanya hivyo, it's because kuna mahitaji. Aya basi wewe niambie, hiyo mnayoplan kujenga Mwanza ni kwa sababu ya mahitaji ama?

Kenya kuna mifano mingi ya kujenga jenga ovyo bila uhitaji...ndo maana miradi yenu mingi ni white elephant
 
This picture will be epic once 88Nairobi rules the skyline. I can see the crane in the foreground

Kenya mumeifanya Nairobi kuwa Nchi yaan Ukitoa Nairobi hakuna Kenya...Na msivyokuwa na Akili miaka sio mingi kenya nzima itaamia Nairobi maana wakenya wa Vijijini hawawez kukosa huduma muhimu na kubaki kuona wakenya wenzao wanafaidi Nairobi yaan jiandaeni huo mji kucheua.
 
Kenya mumeifanya Nairobi kuwa Nchi yaan Ukitoa Nairobi hakuna Kenya...Na msivyokuwa na Akili miaka sio mingi kenya nzima itaamia Nairobi maana wakenya wa Vijijini hawawez kukosa huduma muhimu na kubaki kuona wakenya wenzao wanafaidi Nairobi yaan jiandaeni huo mji kucheua.
Now look at how self-cotradictory you are. Tukijenga miradi nje ya Nairobi mnalakamika na kusema tunajenga bila kuzingatia umuhimu wa mradi yenyewe. Tukijenga Nairobi pia mnalalamika. Si ni saa hii tu umesupport yule kilaza mwenzako who was wondering about the need to build an interchange in Eldoret? Kwani Eldoret ni Nairobi? Chuki mtakuwa nayo hadi roho zipasuke ila number mtazidi kusoma
 
Ina maana hujui SGR yenu ni mfano tosha...Train to No where
Unadhihirisha tu niliyosema hapo awali. Sisi tukifanya miradi Ni white ephant. Nyinyi mkifanya the same projects kama yetu (hata kama imekwama vichakani), ni project ya maana. Hizi chuki zenu haitawasaidia kutupiku kwa lolote
 
Breaking news:

Uganda elections: Museveni declared winner with 58.4pc votes​



SATURDAY JANUARY 16 2021​

Yoweri Museveni.

Incumbent Yoweri Museveni wins Uganda's presidential election. PHOTO | AFP


General Image

By JULIUS BARIGABA
More by this Author

The Ugandan electoral commission has declared incumbent President Yoweri Museveni winner of the January 14 election with 58.64 per cent of the votes cast.

His closest rival Robert Kyagulanyi, popularly known as Bobi Wine, came second with 34.83 per cent of the votes.

Vote counting ended Saturday, with results from the Electoral Commission (EC) confirming the victory by Mr Museveni, 76, who is now set to begin his sixth term in office.

Just over 10 million people cast their votes out of the 18.1 million registered voters.

Justice Byabakama said Mr Museveni, who ran on a National Resistance Movement (NRM) ticket won with 5,851,037 votes while Mr Kyagulanyi had 3,475,298 votes.

Bobi Wine had as early as Friday dismissed the election results as the Electoral Commission announced provisional numbers. He claimed there were malpractices during voting and assured his supporters of victory.


MY TAKE
Now lets get back to work Mr Museveni, EACOP is waiting to kickstart!
 
Top 10 Universities in East Africa


  1. University of Nairobi
  2. Makerere University
  3. Kenyatta University
  4. University of Dar es Salaam
  5. Egerton University
  6. Moi University
  7. The University of Dodoma
  8. University of Rwanda
  9. Sokoine University of Agriculture
  10. Strathmore University
Mnakijua chuo cha Ardhi, ARU kinatoa kozi ambazo huwezi pata chuo chochote Eastern en central Africa
 
Lobby ya Nairobi Terminus haifikii hii hata robo! Nairobi terminus Imekaa kama warehouse! Dude lina Milango manual ya kusukuma! Njoo Dar SGR station uone milango yenye sensor ya kufunguka automatically!
Hamna zege pale
Dude limejengwa kivingine kabisa
 
Sizungu mzii origin pimbi...na rudia swali unajua sababu ya kujengwa kwake? Alafu ujue cable stayed bridge za miaka iyo uwezi fananisha na za sasa ziko more dvloped, ila izo ushuzi wa clover leaf haujabadilik hata .walio anzish wenyew wanazibadilish nyie mpo meganda 1900s
Naona sasa umeshapigika
Suspendion bridges mnazoringa nazo no za 15th century
 
Back
Top Bottom